Extroverted Introvert
JF-Expert Member
- Aug 18, 2022
- 599
- 1,565
Kama tangia msimu unaanza simba yupo nyuma mechi moja, basi acha Yanga acheze kesho ili aendelee kuwa na mechi moja mbeleya simba.Mzee hujasoma ukaelewa au inawezekana hujafuatilia msimamo wa ligi. Simba huwa yupo nyuma kwa idadi ya mechi tokea mwaka jana kabla hata ya AFCON. Lakini pamoja na hilo bado Yanga anapangiwa ratiba ya idadi sawa za mechi na Simba. Na bado Azam nae wanamuendelezea kucheza mechi.
Walimnyima Chama hattrik.Na mimi naweka malalamiko yangu hapa ili wahusika wafanyie kazi
Hii nayo ni offside
View attachment 2935862
Kwanza kwenye post yako hujaonesha malalamiko yeyote kwamba Azam ndio anayekandamizwa.Huu mkakati upo kwaajili ya Simba, na anayekandamizwa zaidi anajulikana ni Azam. Niliwahi kuhoji kwenye huu uzi
Hizi hapa mechi za Simba sc na Yanga Sc baada ya kutoka kimataifa, Sasa ni zamu ya Nbcpl.
Simba itacheza michezo minne ya ligi kuu mwezi wa tatu. 1. March 06, Simba vs Tanzania Prison 2. March 09, Coastal Union vs Simba 3. March 12, Simba vs Singida FG FC 4. March 15, Simba vs Mashujaa FC * michezo yote ya nyumbani ya Simba itapigwa katika uwanja wa CCM Jamhuri Morogoro * Yanga...www.jamiiforums.com
Kila mwaka nyie ndio mna malalamiko ya TFF na KariaWewe ni balozi wa Simba humu JF hujawahi kusimama katika umbo la uanamichezo zaidi ya kusimama katika ushabiki wa timu. Sikushangai.
Hata swala la kila mwaka kulalamika sisi sikupingi ni kweli ni sisi ndio tunaolalamika kila mwaka na malalamiko yetu sio hilo tu bali yapo mengi ikiwemo GSM kununua wachezaji wa timu pinzani ili wacheze chini ya kiwango, bahasha kwa marefa, timu kutumia uchawi, na GSM kudhamini timu nyingi za ligi kuu. Hivyo ni kawaida yetu kulalamika.
Marumo Galants🤩Wangepangwa na Medema unafikiri haya yote yangekuwepo?