kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
TFF ni chombo cha umma na kinachominiwa ndani na nje ya nchi. Jemedari Said anasema kuwa ana uhakika na vyanzo vyake vya habari ambazo zinahifadhiwa TFF. Ni mfanyakazi gani ndani ya TFF ambae anampa Jemedari habari binafsi za watu na taasisi zinazozua taharuki kwa umma? Tuna wasiwasi na TFF na hatuna imani nayo kwenye hili, Kwanini kwa mfano habari za Juma Mgunda na Nabi zianze kumfikia Jemedari kabla ya umma wa wanamichezo na badala ya taasisi zenyewe?