Sawa NBCHata kwenye ligi zingine kubwa duniani zawadi za mshindi huwa ndogo kuliko bajeti.
Ila vilabu hupata faida kupitia matangazo ya biashara, mauzo ya tiketi, udhamini wa klabu, mauzo ya wachezaji na uwekezaji wa matajiri/kampuni kwenye klabu.
tff imesaidia nn ligi ya tz kuwa juuJamani njooni mmuone mbumbumbu na mjinga anaeshindwa kuficha ujinga wake hadharani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee JF kuna misumali!!.. Huwezi amini unaweza kukutana na Nondo namna hii!!.. Asante Mtanzania Mwenzangu Kwa Maoni haya mazuri sana!!..Kazi iendeleeHivi hebu nieleweshen kipimo cha ubora wa ligi yetu ni club kutumia pesa nyingi kusajili au vilabu vyetu kufanya vizuri mashindano ya nje..
Maana swala la vilabu kutumia fedha nyingi.. Halipandishi hadhi ya ligi
Tukija kwenye Vilabu vyetu na mashindano ya nje... Ni Simba tu walau wamefika robo fainali ndan ya miaka 5...
Sasa unataka mdhamin aweke pesa ndefu kwa kigezo kipi ikiwa .. Huna viwanja vya mpira vya maana... Club zenu hazina structure ya kueleweka... mashindano nje ndio hivyo homa za vipindi
Bado mnataka mdhaminiwe kwa bilion 100.. Wakat uwanjan mashabiki hadi mechi kubwa
Ndo viwanja vijae...
Tatizo mnapima ligi kwa kuangalia Simba, Yanga na Azam.. Tunaweza tukawa namba nane kwa ubora sababu tuko kwenye kundi la wasiojiweza... Kwenye kundi la vipofu akiwepo mwenye chongo yeye ndo atakuwa kawazid wenzie ... Ila haimanishi kwamba yuko kamili
Nenden na uhalisia wenu... Ingekuwa ligi yetu ni bora kihivyo achilia mbali udhamin wa ligi ila vilabu vyote vingekuwa na wadhamin kwa pesa ya maana... Automaticaly mdhamin wa ligi angetoa peaa ndefu
NBC imefilisika?!!!...Wewe Ndugu hata hujui unacho Ongea!!!..NBC ishafirisika hiyo
Huwezi kuwa mfanyabiashara mkubwa bila kuwa na account na NBC!!!...Mkuu lengo la NBC ni kujitangaza, watu tulishaanza isahau hii bank kwahiyo kwa kudhamini hii ligi watu mtaanza kuitumia tena hii bank
Bro wewe ndo hujui hawa walikuwa master bank wa kampuni nayofanya kazi.NBC imefilisika?!!!...Wewe Ndugu hata hujui unacho Ongea!!!..
Wewe hujui lolote kuhusu mifumo ya fedha za Nchi hii!!..wewe unaongelea miaka 1990 wakati tupo 2021!!.. National Bank of Commerce ifilisike kweli!!..Tupo uchumi wa Kati alafu benki yetu ya Taifa ya Biashara imefilisika!!!..Hebu Acha UongoBro wewe ndo hujui hawa walikuwa master bank wa kampuni nayofanya kazi.
Kampuni ya kimataifa. Zaifi ya wafanyakazi 5000.Waliferi,ukienda atm hazina pesa,mikopo wakasitisha,nikama local bank flani uswahili mwingi.
Tukajisepea NMB na Ecobank pamoja na CRDB.
Kama unajua mambo, sema nyinyi munaimiliki kwa asilimia ngapi,nakaburu anamiliki kwa aslimia ngapi.Wewe hujui lolote kuhusu mifumo ya fedha za Nchi hii!!..wewe unaongelea miaka 1990 wakati tupo 2021!!.. National Bank of Commerce ifilisike kweli!!..Tupo uchumi wa Kati alafu benki yetu ya Taifa ya Biashara imefilisika!!!..Hebu Acha Uongo
Acha kuwaza kwa mihemko.maana inaonekana unawaza makusanyo tu ila matumizi hutaki kujua.Hali ngumu wapi.. katazame financials za CRDB na NMB kisha urudi hapa.
Umeona makusanyo ya TRA juzi. Unasemaje hali ngumu.
Achana naye huyo voda wenyewe waliweka 1billion tu kwa mwakaligi imeanza na ilikuwa inaenda bila na mdhamini kujitokeza.. amejitokeza mdau kwa dau ndogo bado unalalamika?
heri kuwa na 0 Tsh ya udhamini au kuwa na 2.5b Tsh?