TFF na TAKUKURU waangalie hili suala la upangaji wa matokeo linalofanywa na Yanga wakishirikiana na washirika wao Singida Big stars

TFF na TAKUKURU waangalie hili suala la upangaji wa matokeo linalofanywa na Yanga wakishirikiana na washirika wao Singida Big stars

Mkono Mmoja

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2019
Posts
3,359
Reaction score
6,568
Bila ya kupepesa macho suala lililifanywa hivi leo na Singida Black stars linaonesha viashiria vyote vya upangaji wa matokeo katika ligi kuu ya NBC nchini Tanzania.

Yaani Singida BS wameanza na kikosi kwa kuweka nje nyota wake wote wapya ww kimataifa huku wakianza wachezaji wenye viawango vidogo na kawaida ili kuwarahisishia ushindi timu ya Yanga ,ishike usukani wa ligi kuu.


Soma Pia: FT | Yanga 2-1 Singida Black Stars | NBC Premier League | KMC Complex | 17.02.2025

Bodi ya Ligi, TFF na TAKUKURU Waingilie kati sakata hili. Mbona Singida Black stars wakicheza na Simba na Azam huwa wanakamia sana mechi na kuanzisha strong first eleven tofauti na wakicheza na timu yenye vinasaba nao , Dar Young Afirika?

Kulikuwa na ulazima wowote wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ghana Jonathan Sowah kukaa benchi?

Je kulikuwa na sababu gani ya Arthur ,imoro,chukwu n.k kukaa benchi dhidi ya Yanga?

Na tumeshuhudia first half jinsi walivyoiachia Yanga ipate goli mbili na kuifanya mechi kuwa imeisha.
 
kikosi cha Singida kilichoanza dhidi ya Yanga
Singida.jpg
 
Naunga mkono hoja pia tff na takukuru waitazame yanga vs simba kuna upangaji wa matokeo..

Haiwekani timu kinwa kama Simba kufungwa mechi nne mfululizo, kuna dalili ya vinasaba.
Hili hata muhasibu okwi BOBAN SUNZU analijua.
 
Acha kuwa serious na mpira wa bongo, hakuna mpira hapo usipoteze muda wako,hii ni ligi isiyo na ushindani..hakuna yoyote yule atakaye fuatilia madai yako.
 
Naunga mkono hoja pia tff na takukuru waitazame yanga vs simba kuna upangaji wa matokeo..

Haiwekani timu kubwa kama Simba kufungwa mechi nne mfululizo, kuna dalili ya vinasaba.
Hili hata muhasibu okwi BOBAN SUNZU analijua.
 
Bila ya kupepesa macho suala lililifanywa hivi leo na Singida Black stars linaonesha viashiria vyote vya upangaji wa matokeo katika ligi kuu ya NBC nchini Tanzania.

Yaani Singida BS wameanza na kikosi kwa kuweka nje nyota wake wote wapya ww kimataifa huku wakianza wachezaji wenye viawango vidogo na kawaida ili kuwarahisishia ushindi timu ya Yanga ,ishike usukani wa ligi kuu.

Bodi ya Ligi, TFF na TAKUKURU Waingilie kati sakata hili. Mbona Singida Black stars wakicheza na Simba na Azam huwa wanakamia sana mechi na kuanzisha strong first eleven tofauti na wakicheza na timu yenye vinasaba nao , Dar Young Afirika?

Kulikuwa na ulazima wowote wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ghana Jonathan Sowah kukaa benchi?

Je kulikuwa na sababu gani ya Arthur ,imoro,chukwu n.k kukaa benchi dhidi ya Yanga?

Na tumeshuhudia first half jinsi walivyoiachia Yanga ipate goli mbili na kuifanya mechi kuwa imeisha.

wabongo mmejaa majungu sana!
 
Bila ya kupepesa macho suala lililifanywa hivi leo na Singida Black stars linaonesha viashiria vyote vya upangaji wa matokeo katika ligi kuu ya NBC nchini Tanzania.

Yaani Singida BS wameanza na kikosi kwa kuweka nje nyota wake wote wapya ww kimataifa huku wakianza wachezaji wenye viawango vidogo na kawaida ili kuwarahisishia ushindi timu ya Yanga ,ishike usukani wa ligi kuu.

Bodi ya Ligi, TFF na TAKUKURU Waingilie kati sakata hili. Mbona Singida Black stars wakicheza na Simba na Azam huwa wanakamia sana mechi na kuanzisha strong first eleven tofauti na wakicheza na timu yenye vinasaba nao , Dar Young Afirika?

Kulikuwa na ulazima wowote wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ghana Jonathan Sowah kukaa benchi?

Je kulikuwa na sababu gani ya Arthur ,imoro,chukwu n.k kukaa benchi dhidi ya Yanga?

Na tumeshuhudia first half jinsi walivyoiachia Yanga ipate goli mbili na kuifanya mechi kuwa imeisha.
Waanze na waliokesha uwanja wa JKT usiku kucha wakiwanga wakati mechi sio ya kwao.
 
Bila ya kupepesa macho suala lililifanywa hivi leo na Singida Black stars linaonesha viashiria vyote vya upangaji wa matokeo katika ligi kuu ya NBC nchini Tanzania.

Yaani Singida BS wameanza na kikosi kwa kuweka nje nyota wake wote wapya ww kimataifa huku wakianza wachezaji wenye viawango vidogo na kawaida ili kuwarahisishia ushindi timu ya Yanga ,ishike usukani wa ligi kuu.

Bodi ya Ligi, TFF na TAKUKURU Waingilie kati sakata hili. Mbona Singida Black stars wakicheza na Simba na Azam huwa wanakamia sana mechi na kuanzisha strong first eleven tofauti na wakicheza na timu yenye vinasaba nao , Dar Young Afirika?

Kulikuwa na ulazima wowote wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ghana Jonathan Sowah kukaa benchi?

Je kulikuwa na sababu gani ya Arthur ,imoro,chukwu n.k kukaa benchi dhidi ya Yanga?

Na tumeshuhudia first half jinsi walivyoiachia Yanga ipate goli mbili na kuifanya mechi kuwa imeisha.
Acha kutowa USHUZI zamu yako ya kusokomezwa NONDO itafika.
 
Hii hawezi jibu
Naunga mkono hoja pia tff na takukuru waitazame yanga vs simba kuna upangaji wa matokeo..

Haiwekani timu kinwa kama Simba kufungwa mechi nne mfululizo, kuna dalili ya vinasaba.
Hili hata muhasibu okwi BOBAN SUNZU analijua.
 
Leo ndio watu wanashtuka, anagalia penati za simba, angalia match za simba jinsi marefa wanawabeba, rudi match za Yanga, halafu njoo Azam.

Kiufupi kila team inabebwa kwa mbeleko itakayomuenea tu, leo Simba watalia kwa vile ni Yanga, nao ikija game yao wanavyopendelewa na marefa wataona kawaida vile vile na kusahau vilio wanavyotoa sasa hivi
 
Back
Top Bottom