Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Bila ya kupepesa macho suala lililifanywa hivi leo na Singida Black stars linaonesha viashiria vyote vya upangaji wa matokeo katika ligi kuu ya NBC nchini Tanzania.
Yaani Singida BS wameanza na kikosi kwa kuweka nje nyota wake wote wapya ww kimataifa huku wakianza wachezaji wenye viawango vidogo na kawaida ili kuwarahisishia ushindi timu ya Yanga ,ishike usukani wa ligi kuu.
Soma Pia: FT | Yanga 2-1 Singida Black Stars | NBC Premier League | KMC Complex | 17.02.2025
Bodi ya Ligi, TFF na TAKUKURU Waingilie kati sakata hili. Mbona Singida Black stars wakicheza na Simba na Azam huwa wanakamia sana mechi na kuanzisha strong first eleven tofauti na wakicheza na timu yenye vinasaba nao , Dar Young Afirika?
Kulikuwa na ulazima wowote wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ghana Jonathan Sowah kukaa benchi?
Je kulikuwa na sababu gani ya Arthur ,imoro,chukwu n.k kukaa benchi dhidi ya Yanga?
Na tumeshuhudia first half jinsi walivyoiachia Yanga ipate goli mbili na kuifanya mechi kuwa imeisha.
Yaani Singida BS wameanza na kikosi kwa kuweka nje nyota wake wote wapya ww kimataifa huku wakianza wachezaji wenye viawango vidogo na kawaida ili kuwarahisishia ushindi timu ya Yanga ,ishike usukani wa ligi kuu.
Soma Pia: FT | Yanga 2-1 Singida Black Stars | NBC Premier League | KMC Complex | 17.02.2025
Bodi ya Ligi, TFF na TAKUKURU Waingilie kati sakata hili. Mbona Singida Black stars wakicheza na Simba na Azam huwa wanakamia sana mechi na kuanzisha strong first eleven tofauti na wakicheza na timu yenye vinasaba nao , Dar Young Afirika?
Kulikuwa na ulazima wowote wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ghana Jonathan Sowah kukaa benchi?
Je kulikuwa na sababu gani ya Arthur ,imoro,chukwu n.k kukaa benchi dhidi ya Yanga?
Na tumeshuhudia first half jinsi walivyoiachia Yanga ipate goli mbili na kuifanya mechi kuwa imeisha.