Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Sio Simba ya sasaMara ya mwisho kuiona Simba ikiishia makundi kimataifa ilikuwa lini?Simba imetoboa kwenye kundi lenye Al Ahly,AS Vita,Wydad na hata kuongoza kundi mbele ya Al Ahly
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Simba ya sasaMara ya mwisho kuiona Simba ikiishia makundi kimataifa ilikuwa lini?Simba imetoboa kwenye kundi lenye Al Ahly,AS Vita,Wydad na hata kuongoza kundi mbele ya Al Ahly
TFF na TAKUKURU waanzie na goli alilojifunga Kelvin Kijiri(Simba vs Yanga),wafatie lile la Kamara aliyerudisha mpira uwanjani(Simba vs Yanga) Baadaye iangaliwe mechi ya Simba na Tabora UTD uchunguzi ungejumuisha na Yanga na SingidaBila ya kupepesa macho suala lililifanywa hivi leo na Singida Black stars linaonesha viashiria vyote vya upangaji wa matokeo katika ligi kuu ya NBC nchini Tanzania.
Yaani Singida BS wameanza na kikosi kwa kuweka nje nyota wake wote wapya ww kimataifa huku wakianza wachezaji wenye viawango vidogo na kawaida ili kuwarahisishia ushindi timu ya Yanga ,ishike usukani wa ligi kuu.
Bodi ya Ligi, TFF na TAKUKURU Waingilie kati sakata hili. Mbona Singida Black stars wakicheza na Simba na Azam huwa wanakamia sana mechi na kuanzisha strong first eleven tofauti na wakicheza na timu yenye vinasaba nao , Dar Young Afirika?
Kulikuwa na ulazima wowote wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ghana Jonathan Sowah kukaa benchi?
Je kulikuwa na sababu gani ya Arthur ,imoro,chukwu n.k kukaa benchi dhidi ya Yanga?
Na tumeshuhudia first half jinsi walivyoiachia Yanga ipate goli mbili na kuifanya mechi kuwa imeisha.
Kawe kocha wewe uwe unapanga kikosa bora cha kuifunga YangaBila ya kupepesa macho suala lililifanywa hivi leo na Singida Black stars linaonesha viashiria vyote vya upangaji wa matokeo katika ligi kuu ya NBC nchini Tanzania.
Yaani Singida BS wameanza na kikosi kwa kuweka nje nyota wake wote wapya ww kimataifa huku wakianza wachezaji wenye viawango vidogo na kawaida ili kuwarahisishia ushindi timu ya Yanga ,ishike usukani wa ligi kuu.
Bodi ya Ligi, TFF na TAKUKURU Waingilie kati sakata hili. Mbona Singida Black stars wakicheza na Simba na Azam huwa wanakamia sana mechi na kuanzisha strong first eleven tofauti na wakicheza na timu yenye vinasaba nao , Dar Young Afirika?
Kulikuwa na ulazima wowote wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ghana Jonathan Sowah kukaa benchi?
Je kulikuwa na sababu gani ya Arthur ,imoro,chukwu n.k kukaa benchi dhidi ya Yanga?
Na tumeshuhudia first half jinsi walivyoiachia Yanga ipate goli mbili na kuifanya mechi kuwa imeisha.
Simba ya yenyewe inadhaminiwa na GSM na wanapanga matokeo Yanga Ishinde dhidi yaoSimba ndio timu inayoongoza kwa ushindi wa magumashi,, Fanya utafiti utajua ni timu Gani malalamiko yamekuwa mengi kwake,,sasa huo uongozi tunaousema sijui ni upi utaojitokeza wakati viongozi wenu ndio vinara wa kupanga matokeo!
Mnatawala Club bingwa na Shirikisho nyie ni Al Ahly na RS Berkane?🤣🤣🤣Hii kwa simba ndio nzuri sana, maana kama tunavyoona club bingwa na shirikisho tunavyotawala, hawa siku wakija kustuka Simba ameshaleta kombe ndio nao watakavyozinduka. Yuke kocha aliongea ukweli watu wakamzodoa
Heeh!Yani unacheza na kiluvya wa uarabuni alafu unakuja kutubania pua eti kimataifa tunafanya vizuri!!!!
Daima mbeleeeee💚💚💛🖤🖤💚🕺
We kimataifa umetoboa nini? Au umetoboa uwanja baada ya kuuchoma.moto south Africa? Una medali ya CAF?Halafu hayo magoli ya vyura umeyaona sasa,ndio maana hawa wajuba kimataifa hawatoboi,maelekezo ni mengi sana
Mtu anapiga header peke yake wachezaji wa timu pinzani hata hawajigusi hata kuzuga kwa kuruka tu.
Halafu mbaya zaidi mpira umeisha michezaji ya SBS inatabasamu,yaani,hawaoni huzuni ya kupoteza wakati wangefungwa na Simba malalamiko ya Simba kubebwa yangekuwa ya kutosha tu
Hilo nalo liko wazi .Chama , Baleke , Inonga ni ushahidi tosha. Mechi ya mwisho simba vs Yanga baada ya kuona mambo ni magumu Kayoko akalambishwa chake , akaimaliza mechi.Naunga mkono hoja pia tff na takukuru waitazame yanga vs simba kuna upangaji wa matokeo..
Haiwekani timu kubwa kama Simba kufungwa mechi nne mfululizo, kuna dalili ya vinasaba.
Hili hata muhasibu okwi BOBAN SUNZU analijua.
Bila ya kupepesa macho suala lililifanywa hivi leo na Singida Black stars linaonesha viashiria vyote vya upangaji wa matokeo katika ligi kuu ya NBC nchini Tanzania.
Yaani Singida BS wameanza na kikosi kwa kuweka nje nyota wake wote wapya ww kimataifa huku wakianza wachezaji wenye viawango vidogo na kawaida ili kuwarahisishia ushindi timu ya Yanga ,ishike usukani wa ligi kuu.
Soma Pia: FT | Yanga 2-1 Singida Black Stars | NBC Premier League | KMC Complex | 17.02.2025
Bodi ya Ligi, TFF na TAKUKURU Waingilie kati sakata hili. Mbona Singida Black stars wakicheza na Simba na Azam huwa wanakamia sana mechi na kuanzisha strong first eleven tofauti na wakicheza na timu yenye vinasaba nao , Dar Young Afirika?
Kulikuwa na ulazima wowote wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ghana Jonathan Sowah kukaa benchi?
Je kulikuwa na sababu gani ya Arthur ,imoro,chukwu n.k kukaa benchi dhidi ya Yanga?
Na tumeshuhudia first half jinsi walivyoiachia Yanga ipate goli mbili na kuifanya mechi kuwa imeisha.
We nawe kakojoe ukalale,usijifananishe kimataifa na mimi,we dhamini timu za kipumbavu za bongo uendelee kujipangia matokeo,kule kwa wakubwa wenzetu hupaweziWe kimataifa umetoboa nini? Au umetoboa uwanja baada ya kuuchoma.moto south Africa? Una medali ya CAF?
Mbona unazunguka, una medali ya CAF au kuishia robo fainali ndio mafanikio yako Kolo? Na sisi Yanga tuliocheza Fainali Mwaka.Juzi tuseme nini kaka wewe wa robo unajisifu namna hii?We nawe kakojoe ukalale,usijifananishe kimataifa na mimi,we dhamini timu za kipumbavu za bongo uendelee kujipangia matokeo,kule kwa wakubwa wenzetu hupawezi
Yaani ni hv,sisi hv ni vitu vyetu vya kawaida,ila nyie inaonekana mlibahatisha ndio maana mwaka huu mapema tu pumba na mchele vimejulikana,sindano zimeonekana effects zake baada ya kuanza kuangaliwa kwa jicho la jiraniMbona unazunguka, una medali ya CAF au kuishia robo fainali ndio mafanikio yako Kolo? Na sisi Yanga tuliocheza Fainali Mwaka.Juzi tuseme nini kaka wewe wa robo unajisifu namna hii?
Mashindano uliopo wewe mwaka huu ni mbingu na Ardhi na aliyokuwepo yanga acha kujifanya unalinganisha Pumba na mChele...upo Looser sisi tulkuwa CHampionsYaani ni hv,sisi hv ni vitu vyetu vya kawaida,ila nyie inaonekana mlibahatisha ndio maana mwaka huu mapema tu pumba na mchele vimejulikana,sindano zimeonekana effects zake baada ya kuanza kuangaliwa kwa jicho la jirani
Trhe 8 yanga atafungwaNaunga mkono hoja pia tff na takukuru waitazame yanga vs simba kuna upangaji wa matokeo..
Haiwekani timu kinwa kama Simba kufungwa mechi nne mfululizo, kuna dalili ya vinasaba.
Hili hata muhasibu okwi BOBAN SUNZU analijua.
Mnapoteza haraka sana kumbukumbu zenu mnajua mnacheza na Prison sijui..Trhe 8 yanga atafungwa
Simba bingwaMnapoteza haraka sana kumbukumbu zenu mnajua mnacheza na Prison sijui..