Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Hehehehehehehehehe!!!!!!!!Bila ya kupepesa macho suala lililifanywa hivi leo na Singida Black stars linaonesha viashiria vyote vya upangaji wa matokeo katika ligi kuu ya NBC nchini Tanzania.
Yaani Singida BS wameanza na kikosi kwa kuweka nje nyota wake wote wapya ww kimataifa huku wakianza wachezaji wenye viawango vidogo na kawaida ili kuwarahisishia ushindi timu ya Yanga ,ishike usukani wa ligi kuu.
Bodi ya Ligi, TFF na TAKUKURU Waingilie kati sakata hili. Mbona Singida Black stars wakicheza na Simba na Azam huwa wanakamia sana mechi na kuanzisha strong first eleven tofauti na wakicheza na timu yenye vinasaba nao , Dar Young Afirika?
Kulikuwa na ulazima wowote wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ghana Jonathan Sowah kukaa benchi?
Je kulikuwa na sababu gani ya Arthur ,imoro,chukwu n.k kukaa benchi dhidi ya Yanga?
Na tumeshuhudia first half jinsi walivyoiachia Yanga ipate goli mbili na kuifanya mechi kuwa imeisha.
Ila wakicheza na makolo hutoboa kiwepesi mnooooooo!!!ndio maana hawa wajuba kimataifa hawatoboi,maelekezo ni mengi sana
Kwa mpira huu labda tarehe 8 wairoge timu nzima,hamtokiIla wakicheza na makolo hutoboa kiwepesi mnooooooo!!!
Sasa Simba wanakicheza nini cha maanaKwa mpira huu labda tarehe 8 wairoge timu nzima,hamtoki
Simba unavyowaona wanashinda kwa tabu kwa kuwa kila timu inaikamia hasa zile 7 zinazodhaminiwa na gsmSasa Simba wanakicheza nini cha maana
Kwa timu gani hasa walizokutana nazo huko mnakokuita kimataifaSimba unavyowaona wanashinda kwa tabu kwa kuwa kila timu inaikamia hasa zile 7 zinazodhaminiwa na gsm
Matokeo yake hili linawakomaza kwani wameshajua kila mechi kwao ni kama fainali,ndio maana kimataifa wanafanya vyema.
Simba ndio timu inayoongoza kwa ushindi wa magumashi,, Fanya utafiti utajua ni timu Gani malalamiko yamekuwa mengi kwake,,sasa huo uongozi tunaousema sijui ni upi utaojitokeza wakati viongozi wenu ndio vinara wa kupanga matokeo!Suala la Yanga kupanga matokeo halina utatuzi. Bahati mbaya uongozi wa Simba unajisikia unyonge kukusanya ushahidi na kulikemea. Siku wakifanya hivyo ndio namlaka zitajifanya kustuka
Hii ni mbaya kuliko kitu kingine kwenye sokaBila ya kupepesa macho suala lililifanywa hivi leo na Singida Black stars linaonesha viashiria vyote vya upangaji wa matokeo katika ligi kuu ya NBC nchini Tanzania.
Yaani Singida BS wameanza na kikosi kwa kuweka nje nyota wake wote wapya ww kimataifa huku wakianza wachezaji wenye viawango vidogo na kawaida ili kuwarahisishia ushindi timu ya Yanga ,ishike usukani wa ligi kuu.
Bodi ya Ligi, TFF na TAKUKURU Waingilie kati sakata hili. Mbona Singida Black stars wakicheza na Simba na Azam huwa wanakamia sana mechi na kuanzisha strong first eleven tofauti na wakicheza na timu yenye vinasaba nao , Dar Young Afirika?
Kulikuwa na ulazima wowote wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ghana Jonathan Sowah kukaa benchi?
Je kulikuwa na sababu gani ya Arthur ,imoro,chukwu n.k kukaa benchi dhidi ya Yanga?
Na tumeshuhudia first half jinsi walivyoiachia Yanga ipate goli mbili na kuifanya mechi kuwa imeisha.
Sio unyonge kukusanya ushahidi bali hakuna ushahidi, kama mnaona uongozi wenu wa Simba ni wanyonge basi nyie kama wadau wa soka mnauwezo wa kukusanya ushahidi na kufungua kesi kwenye ngazi husika ili hatua zichukuliwe haikatazwi hilo. Sio mnapiga piga kelele mtandaoni na kuishia kuchafuana bure wakati vyombo vya sheria zipo na rushwa na upangaji wa matokeo hairuhusiwi katika mpira wa miguu na ndio maana Juventus ilishushwa daraja. Pelekeni ushahidi wenu kwenye vyombo husikaSuala la Yanga kupanga matokeo halina utatuzi. Bahati mbaya uongozi wa Simba unajisikia unyonge kukusanya ushahidi na kulikemea. Siku wakifanya hivyo ndio namlaka zitajifanya kustuka
Huu ujinga watakupiga mawe tu ila kiukweli kuna viashiria vyote vya upangaji matokeo..hebu angalia goli alilofunga Dube Asiki anagairi kuruka baada ya kujua kwamba nyuma yake kuna Dube anafungaBila ya kupepesa macho suala lililifanywa hivi leo na Singida Black stars linaonesha viashiria vyote vya upangaji wa matokeo katika ligi kuu ya NBC nchini Tanzania.
Yaani Singida BS wameanza na kikosi kwa kuweka nje nyota wake wote wapya ww kimataifa huku wakianza wachezaji wenye viawango vidogo na kawaida ili kuwarahisishia ushindi timu ya Yanga ,ishike usukani wa ligi kuu.
Bodi ya Ligi, TFF na TAKUKURU Waingilie kati sakata hili. Mbona Singida Black stars wakicheza na Simba na Azam huwa wanakamia sana mechi na kuanzisha strong first eleven tofauti na wakicheza na timu yenye vinasaba nao , Dar Young Afirika?
Kulikuwa na ulazima wowote wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ghana Jonathan Sowah kukaa benchi?
Je kulikuwa na sababu gani ya Arthur ,imoro,chukwu n.k kukaa benchi dhidi ya Yanga?
Na tumeshuhudia first half jinsi walivyoiachia Yanga ipate goli mbili na kuifanya mechi kuwa imeisha.
Ushahidi upo, wawekeze kuutafuta. Yanga inapanga matokeoSio unyonge kukusanya ushahidi bali hakuna ushahidi, kama mnaona uongozi wenu wa Simba ni wanyonge basi nyie kama wadau wa soka mnauwezo wa kukusanya ushahidi na kufungua kesi kwenye ngazi husika ili hatua zichukuliwe haikatazwi hilo. Sio mnapiga piga kelele mtandaoni na kuishia kuchafuana bure wakati vyombo vya sheria zipo na rushwa na upangaji wa matokeo hairuhusiwi katika mpira wa miguu na ndio maana Juventus ilishushwa daraja. Pelekeni ushahidi wenu kwenye vyombo husika
Ushahidi International gamesKufungwa kafungwa Singida maumivu anapata kolo.
Pelekeni ushaihidi TFF.