Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
....................ni tabu sanaKipaji bila elimu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
....................ni tabu sanaKipaji bila elimu...
Hahahahaha ,Wachambuzi wanasema ni mchezaji mfano wa kuigwa kwa wachezaji wa ndani..anastahili MVP ,HahahahahaSasa huyu kama ndo angekuwa mfungaji bora na timu yake ingebeba hayo makombe yote mawili si tungekiona!! nafikiri tungeishi kwa tabu sana...😂
Kupata penati tu tukazibwa mdomo!,mambo yalipoharibika akalala mbele! sidhani hata kama anajua maana ya michezo!
Hahahahaha..uzuri Mama hayupo mjini au karudi ?Tumeenda kusemewa maana sio kwa speed Ile aliyoondoka nayo na atashirikiana na boziboziana za kazi kushitaki
mh!Hahahahaha ,Wachambuzi wanasema ni mchezaji mfano wa kuigwa kwa wachezaji wa ndani..anastahili MVP ,Hahahahaha
Bado yuko ughaibuni kanamngojaHahahahaha..uzuri Mama hayupo mjini au karudi ?
Utopolo mna kazi! M'mesha kuwa mabingwa, bado furaha yenu haijakamilika, kwa vile Fei hajavaa medaliii?Mtu anamiaka 26 anaitwa Feitoto unataka asiwe na UTOTO?
Amepunguza vipi furaha yenu?Ka
Kama team yako inacheza shirikisho huwezi kuelewa
Fei ni tishio !Naunga mkono hoja huyo dogo ana tabia za kike sana anastahili kuadhibiwa tujalie timu nzima ya Azam ingegomea medali je ingekuwa sawa? Tuache kuleta tabia za kipuuzi.
Hawa ni useless hawajielewi..ni kama mazezeta.Utopolo mna kazi! M'mesha kuwa mabingwa, bado furaha yenu haijakamilika, kwa vile Fei hajavaa medaliii?
Hahaha.Utopolo mna kazi! M'mesha kuwa mabingwa, bado furaha yenu haijakamilika, kwa vile Fei hajavaa medaliii?
Fei huenda ni shoga...Naunga mkono hoja huyo dogo ana tabia za kike sana anastahili kuadhibiwa tujalie timu nzima ya Azam ingegomea medali je ingekuwa sawa? Tuache kuleta tabia za kipuuzi.
Hao tff nao Bure kabisa, fei alishindwa vipi kesi nyepesi ileTFF tuliwaasa kulea madhambi na kuacha weledi na kuingiza siasa kwenye football hamkutusikia, kijana alikumbia mkataba akahongwa, akashindwa kesi TFF mkaingiza siasa labda na woga mkataba ukavunjwa na kila mwenye akili timamu alishangaa.
Jana amepuuza protokali za mchezo wa final wa kila mchezaji kuvalishwa medali ya dhahabu au shaba lakini yeye akawadharau TFF akaona medali ni kama ushuzi tu.
Mlimfungia Manara Kwa kuzozona na Rais wa TFF, mkamfungia aliyekuwa Mwenyekiti wa Tabora, mlimfungia Mwakalelebela mkamfungia Nyoso alivomtia dole la kati John Boko n.k Swali ni je, huko Kwa mtoto wa kizimkazi mtamfunyaje? Nyie TFF mlivo waoga? Bila shaka mtakaa kimya.
Itakuwaje mkimwalika Rais wa FIFA avalishe medali then wachezaji wasuse kama alivofanya huyo asiyeguswa wa huko kizimkazi. Mtaiweka wapi aibu?
Sio uanamchezo huo kudharau protokali za mchezo wa final. Kufungwa ni sehemu ya mchezo, ukifungwa kubali na wewe ipo siku utamfunga mwenzako nae atakupa heshima kama guard of honor n.k wanafanya vile sio wajinga ni uanamichezo.
Kwa kifupi nimemdharau.