TFF onesheni makucha yenu kwa Feitoto

TFF onesheni makucha yenu kwa Feitoto

Ukifikisha umri wa miaka 18+, ukivunja sheria sio kuonywa bali ni Sheria ifanye kazi yake dhidi yako. Ndivyo utataribu wa maisha ulivyo. Nje na hapo itakuwa siasa au kulea wavunja sheria.
 
TFF tuliwaasa kulea madhambi na kuacha weledi na kuingiza siasa kwenye football hamkutusikia, kijana alikumbia mkataba akahongwa, akashindwa kesi TFF mkaingiza siasa labda na woga mkataba ukavunjwa na kila mwenye akili timamu alishangaa.

Jana amepuuza protokali za mchezo wa final wa kila mchezaji kuvalishwa medali ya dhahabu au shaba lakini yeye akawadharau TFF akaona medali ni kama ushuzi tu.

Mlimfungia Manara Kwa kuzozona na Rais wa TFF, mkamfungia aliyekuwa Mwenyekiti wa Tabora, mlimfungia Mwakalelebela mkamfungia Nyoso alivomtia dole la kati John Boko n.k Swali ni je, huko Kwa mtoto wa kizimkazi mtamfunyaje? Nyie TFF mlivo waoga? Bila shaka mtakaa kimya.

Itakuwaje mkimwalika Rais wa FIFA avalishe medali then wachezaji wasuse kama alivofanya huyo asiyeguswa wa huko kizimkazi. Mtaiweka wapi aibu?

Sio uanamchezo huo kudharau protokali za mchezo wa final. Kufungwa ni sehemu ya mchezo, ukifungwa kubali na wewe ipo siku utamfunga mwenzako nae atakupa heshima kama guard of honor n.k wanafanya vile sio wajinga ni uanamichezo.

Kwa kifupi nimemdharau.
Duniani kote kuna wachezaji na makocha wenye ego ,pep hauwezi kumvalisha medali ya mshindi wa pili ,special one ndio hataki kusikia ,CR7 hii kitu haiwezi kupita shingoni mwake,kwao mshindi ni mmoja tu,FEI MASTER CLASS kafanya jambo la kawaida kwa footballer .
 
Duniani kote kuna wachezaji na makocha wenye ego ,pep hauwezi kumvalisha medali ya mshindi wa pili ,special one ndio hataki kusikia ,CR7 hii kitu haiwezi kupita shingoni mwake,kwao mshindi ni mmoja tu,FEI MASTER CLASS kafanya jambo la kawaida kwa footballer .
Acha uongo juzi tu fainal ya fa kafungwa na man u na medal ya mshindi wa pili pep kaenda kuvaa
 
Feisal anatakiwa atambue kipaji bila nidhamu si lolote na anatakiwa aelezwe wazi uanamichezo ni nini? Nadhani sasa hii ni kazi ya wale wanasheria wa kujitegemea waliomshikia bango wawajibike na hapa pia kumrekebisha maana hiki kinyago mpapure mlikichonga wenyewe.​
Nakubaliana na wewe 100%, lakini nataka niende mbali kidogo. Hili suala sio la Feisal tu na mambo TFF wamelilea kwa muda kwa wachezaji wetu na hata viongozi. Lazima kuwe na sheria kali na adhabu kali na hasa piga fine kipesa bei juu mtu apoteze hata mshahara wa mwezi mpaka miezi miwili, Kuwafungia tu hawajali hawa club ndio inaumia.

Kuna matendo mengi sana tumeyaona yanafanywa na wachezaji kuashiria ushirikina kuna tukio Feisal alihusika na mchezaji wa Yanga na wengine wengi tu lakini kwa bahati mbaya TFF kama hawalioni, unampiga mtu fine laki 5 si ujinga huu. Piga fine ya kisawasawa mpaka agambane na mkewe home ili kusitokee ujinga kama huu tena.
 
Acheni kuchochea mambo.
Hatuwez kuendelea kwa kudiscusss mpira kwenye kila mahala.
 
TFF ichukue hatua stahiki, huu ni uhuni ambao haupaswi kufumbiwa macho kwa maendeleo ya soka la bongo.
 
Tifu tifua inatakiwa pia imchukulie hatua ya kwatukana watazamaji kwa kuwaonyesha ishara eti wafunge mdomo ! Hii ni dharau kubwa sana mbona wengine hawakufanya hivo ?? Kwani ye nanai ????
 
Tifu tifua inatakiwa pia imchukulie hatua ya kwatukana watazamaji kwa kuwaonyesha ishara eti wafunge mdomo ! Hii ni dharau kubwa sana mbona wengine hawakufanya hivo ?? Kwani ye nanai ????
Huyo dogo haguswi TFF wanaogopa kizimkazi
 
Duniani kote kuna wachezaji na makocha wenye ego ,pep hauwezi kumvalisha medali ya mshindi wa pili ,special one ndio hataki kusikia ,CR7 hii kitu haiwezi kupita shingoni mwake,kwao mshindi ni mmoja tu,FEI MASTER CLASS kafanya jambo la kawaida kwa footballer .
Pep hana ujinga huo fainali ya UEFA na Chelsea alivaa medali ya mshindi wa pili hata juzi fainali ya FA.Mourihno Medali alivaa baada ya hapo kaigawa.

Hiyo style ni yakwake ila husimlinganishe na Pep au Mourihno. Ile Ceremony ni kwa ajili ya fainalist haijalishi umeshika nafasi gani unatakiwa ushiriki.
 
Tupo na feisal roho zenu kwatu na sura zimewashuka nyuma mwiko mlitaka apotee kweny ramani ya soka
 
Ila tuwe kama waingereza ,mchezaji wao aikosea ana petiwa petiwa .Tupende vyakwetu

WAUZAJI NA WASAMBAZAJI WA KEMIKALI MBALIMBALI
Kwa mahitaji wa kemikali za kuchenjulia dhahabu na madini mengine,zinapatikana kwa bei nzuri
Tuna
Asidi zote
Sainaidi/Cynide
Hydrogeni peroxide
Caustic soda
Ammonium Nitrate
Nitric acid
Hydrochloric acid
Sulphuric acid
Citric acids
Na,Nyinginezo nyingi
Mikoa Yote Tunatuma
Tupo makumbusho,Dsm na Mwanza
Wasiliana nasi kwa

0754763364
 
Back
Top Bottom