TFF onesheni makucha yenu kwa Feitoto

TFF onesheni makucha yenu kwa Feitoto

TFF tuliwaasa kulea madhambi na kuacha weledi na kuingiza siasa kwenye football hamkutusikia, kijana alikumbia mkataba akahongwa, akashindwa kesi TFF mkaingiza siasa labda na woga mkataba ukavunjwa na kila mwenye akili timamu alishangaa.

Jana amepuuza protokali za mchezo wa final wa kila mchezaji kuvalishwa medali ya dhahabu au shaba lakini yeye akawadharau TFF akaona medali ni kama ushuzi tu.

Mlimfungia Manara Kwa kuzozona na Rais wa TFF, mkamfungia aliyekuwa Mwenyekiti wa Tabora, mlimfungia Mwakalelebela mkamfungia Nyoso alivomtia dole la kati John Boko n.k Swali ni je, huko Kwa mtoto wa kizimkazi mtamfunyaje? Nyie TFF mlivo waoga? Bila shaka mtakaa kimya.

Itakuwaje mkimwalika Rais wa FIFA avalishe medali then wachezaji wasuse kama alivofanya huyo asiyeguswa wa huko kizimkazi. Mtaiweka wapi aibu?

Sio uanamchezo huo kudharau protokali za mchezo wa final. Kufungwa ni sehemu ya mchezo, ukifungwa kubali na wewe ipo siku utamfunga mwenzako nae atakupa heshima kama guard of honor n.k wanafanya vile sio wajinga ni uanamichezo.

Kwa kifupi nimemdharau.
Fei ni Mzazibar, kumbuka TFF ni ya Tanganyika!

Peleka shitaka ZFF.
 
Kwani Fei alifuata vipengele? maana hata yeye alibwagwa TFF kama Dube.
Fei vipengele vilimtaka alipe milioni 100 na mishahara ya miezi mi3, akafanya tatizo yanga wanalazimisha wakae mezani, sasa mezani kufanya nini?
 
Fei vipengele vilimtaka alipe milioni 100 na mishahara ya miezi mi3, akafanya tatizo yanga wanalazimisha wakae mezani, sasa mezani kufanya ni

Fei vipengele vilimtaka alipe milioni 100 na mishahara ya miezi mi3, akafanya tatizo yanga wanalazimisha wakae mezani, sasa mezani kufanya nini?
Mbona mnapenda kujionesha kuwa kichwani ni bila bila.
 
Njoo na picha inayoonyesha pep kavaa medali
7CE54EC7-163C-4734-B7E7-165F73DEA7D4.jpeg

Njoo na picha inayoonyesha pep kavaa medali
Hio hapo alipofungwa na chelsea 2020 uefa champions league
 
Fei vipengele vilimtaka alipe milioni 100 na mishahara ya miezi mi3, akafanya tatizo yanga wanalazimisha wakae mezani, sasa mezani kufanya nini?
Sasa kwa nini TFF alishindwa mara tatu ina maana hao wanasheria waliso simamia kesi hawakuona hivyo vipengele ? au Dube kwenye Mkataba wake anasema yy na Azam mkataba umeisha au hukuiona ile barua yake, baada ya hapo Azam kaenda TFF kidai haki yake.Sasa alicho fanya Azam n Yanga kina utofauti gani?

Kwani vipengele vya Dube vinasemaje.Kwani Dube si kapewa option baada ya kushindwa kesi na Azam hakuambia aende mezani,ili wajue timu inayo mtaka?

Au kwa kuwa imetokea kwa Yanga,ila kwa Dube na Azam sawa?

Sheria gani zinachagua upande au ndio chuki zako za Yanga.Ila hii ni zamu zamu,ilitokea kwa Fei na Yanga mkacheka,ikaja kwa Dube na Azam same scenario,kesho itakuja hapo kwenu 5imba na itaendelea hivi isipo kemewa na kutugiwa sheria wachezaji watavunja mkataba bila kufuata taratibu na kususa kutumikia mikataba yao.
 
Sasa kwa nini TFF alishindwa mara tatu ina maana hao wanasheria waliso simamia kesi hawakuona hivyo vipengele ? au Dube kwenye Mkataba wake anasema yy na Azam mkataba umeisha au hukuiona ile barua yake, baada ya hapo Azam kaenda TFF kidai haki yake.Sasa alicho fanya Azam n Yanga kina utofauti gani?

Kwani vipengele vya Dube vinasemaje.Kwani Dube si kapewa option baada ya kushindwa kesi na Azam hakuambia aende mezani,ili wajue timu inayo mtaka?

Au kwa kuwa imetokea kwa Yanga,ila kwa Dube na Azam sawa?

Sheria gani zinachagua upande au ndio chuki zako za Yanga.Ila hii ni zamu zamu,ilitokea kwa Fei na Yanga mkacheka,ikaja kwa Dube na Azam same scenario,kesho itakuja hapo kwenu 5imba na itaendelea hivi isipo kemewa na kutugiwa sheria wachezaji watavunja mkataba bila kufuata taratibu na kususa kutumikia mikataba yao.
Sasa mimi niichukie yanga ili iweje? Naongea rwality na wala sina mihemuko ya kiushabiki kama wèwe, Azam hawakumtaka dube aje mezani bali afate vipengele vya kuvunja mkataba tu, azam waliweka pesa ndefu endapo atavunja mkataba na ndio kilichomshinda dube
 
Sasa mimi niichukie yanga ili iweje? Naongea rwality na wala sina mihemuko ya kiushabiki kama wèwe, Azam hawakumtaka dube aje mezani bali afate vipengele vya kuvunja mkataba tu, azam waliweka pesa ndefu endapo atavunja mkataba na ndio kilichomshinda dube
Screenshot_20240605_074638_Chrome.jpg

Unajua nini maana ya kupeleka ofa mezani? na kupeleka ofa mezani haina maana ndio utakubaliwa bali majadiliano msipo fikia muafaka hamna majadiliano,option itakayo bakia Dube kubaki Azam.

Nyie mlisema Fei tulimuone,ila TFF tukashinda mara tatu, haya sasa Dube yy kadai mkataba wake unaisha 2024 na akadai huo mkataba wa Azam wa uongo na haupo TFF,ww unasema hakufuata utaratibu ,ila Fei ukasema kafuata utaratibu kwa kuweka hela Bank acc bila kuiambia klabu yake halafu unaona alicho fanya Fei sawa na kaonewa ila Dube unaona kukurupuka au kwakuwa yy Mgeni hata akilalamika Mama Kizimkazi hawezi mtetea? Hapa ndipo na kuona una chuki na Yanga SABABU HUJANIPA SABABU WHY UONE SAWA KWA FEI ILA KWA DUBE ALIKURUPUKA. (au alicho fanya Fei na Dube utofauti ni upi).

Hii iliyotokea kwa Yanga na Fei,Dube na Azam kuna siku itatokea kwenu ni swala mda tu.

Huu uhuni sema nyinyi mlichagua upande mkazani Yanga ataumia,haya leo Azam kesho mjiandae.
Screenshot_20240605_074618_Chrome.jpg
 
TFF tuliwaasa kulea madhambi na kuacha weledi na kuingiza siasa kwenye football hamkutusikia, kijana alikumbia mkataba akahongwa, akashindwa kesi TFF mkaingiza siasa labda na woga mkataba ukavunjwa na kila mwenye akili timamu alishangaa.

Jana amepuuza protokali za mchezo wa final wa kila mchezaji kuvalishwa medali ya dhahabu au shaba lakini yeye akawadharau TFF akaona medali ni kama ushuzi tu.

Mlimfungia Manara Kwa kuzozona na Rais wa TFF, mkamfungia aliyekuwa Mwenyekiti wa Tabora, mlimfungia Mwakalelebela mkamfungia Nyoso alivomtia dole la kati John Boko n.k Swali ni je, huko Kwa mtoto wa kizimkazi mtamfunyaje? Nyie TFF mlivo waoga? Bila shaka mtakaa kimya.

Itakuwaje mkimwalika Rais wa FIFA avalishe medali then wachezaji wasuse kama alivofanya huyo asiyeguswa wa huko kizimkazi. Mtaiweka wapi aibu?

Sio uanamchezo huo kudharau protokali za mchezo wa final. Kufungwa ni sehemu ya mchezo, ukifungwa kubali na wewe ipo siku utamfunga mwenzako nae atakupa heshima kama guard of honor n.k wanafanya vile sio wajinga ni uanamichezo.

Kwa kifupi nimemdharau.
Kwani mama anasemaje kuhusu hili?
 
Back
Top Bottom