Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila kitu kitakua kishatumwa maana mzigo wa kilo 1.5 kg sio mchezoFifa watasoma malalamiko ya Simba sc kisha Fifa lazima wawaambie Tff wapeleke Report ya mchezo hapa ndipo patamu
simba hawawezi kusikilizwa pasipo ya mshtakiwa ambaye ni TFF kuhojiwa,pia gharama ya rufaa yao bado haijalipwa,so simba labda mkaliibe tu lile kombe mpige nalo maselfii then drop back to them wanajangwannyie kweli vilaza hivi iyo kamati in a to a maamuzi bila Tff
maana hakuna jinsisimba hawawezi kusikilizwa pasipo ya mshtakiwa ambaye ni TFF kuhojiwa,pia gharama ya rufaa yao bado haijalipwa,so simba labda mkaliibe tu lile kombe mpige nalo maselfii then drop back to them wanajangwan
Huna tofauti na mtu anayesema...unaringia gari la mkopo.Ushindi wa mezani!
kaka Match report ni confidential document ya Tff Simba sc kama wameituma watachunguzwa Rushwa wameipata wapiKila kitu kitakua kishatumwa maana mzigo wa kilo 1.5 kg sio mchezo
Hakuna kitu hapo simba hakuna viongozi wa maana kwa barua waliyopewa na tff ya kuwajulisha kupokonywa point hata wakiipeleka fifa hakuna cha kurudishiwa pointHuna tofauti na mtu anayesema...unaringia gari la mkopo.
Swali kwani mkopo ukiisha gari linakuwa la nani
Nabarua hiyo ya tff kwenda simba inasema mchezaji hakuwa na kadi 3What I know is barua ya simba FIFA inajadiriwa leo j4....!
Email zinadukulika.Fifa wahangaike na ma DHL wakati email mara moja tu kimeeleweka? Kwanini msitumiwe tu taarifa direct bila kupitia tff wakati nyinyi ndio mliotuma barua yenu?
Barua haijafunguliwa lkn majibu washayapata kuongoza simba raha sana maana mashabiki wote ni mbumbumbu.