TFF vunjeni benchi la ufundi la Taifa Stars

TFF vunjeni benchi la ufundi la Taifa Stars

Hivi kwanini hapa Tanzania kila Timu zetu zinapoboronga hua tunawazawaza au kufukuza makocha kabisa ...?
Makocha wengi wanashindwa kufanya maamuzi stahiki kwa wakati sahihi, (Self-centered), pia huwa wanakuwa na maarifa kidogo, jibu la msingi kushindwa kukusanya wachezaji wazuri
 
Wapi timu ikiboronga wanafukuzwa wachezaji?
Huwezi kufukuza wachezaji, Timu ndiyo wachezaji....!!

Usikwepe maswali kwa kuuliza swali, nijibu sasa...

Kwanini tusajili makocha ambao wanauwezo mdogo, Halafu badae tunaanza kuwalaumu tena na kuwatimua?
 
Ndio utamaduni wa football,ila mimi nilianza kutoa maoni mapema mara tu alipochaguliwa huyo kocha wetu kwani hana huo uwezo
kabisa mkuu, Tatizo linaanza na sisi wenyewe, Tunachukua makocha wabovu ..
 
Makocha wengi wanashindwa kufanya maamuzi stahiki kwa wakati sahihi, (Self-centered), pia huwa wanakuwa na maarifa kidogo, jibu la msingi kushindwa kukusanya wachezaji wazuri
Kwanini tusajili makocha ambao wanauwezo mdogo, Halafu badae tunaanza kuwalaumu tena?
 
Kwanini tusajili makocha ambao wanauwezo mdogo, Halafu badae tunaanza kuwalaumu tena?
Kuna uwezo wa kwenye makaratasi, (CV), na ujizi binafsi na uzoefu, (life learning skills), binadamu tuko tofauti kiakili, (normal and smart people)

Smart- mwenye akili sana anayeweza kutafsiri jambo kwa haraka na kulitolea majibu sahihi kwa muda muafaka, vile vile kocha anatakiwa atafsiri mbinu za mpinzani kwa muda mfupi na kurekebisha makosa

Hitimisho wachezaji wanamchango mkubwa kwenye timu ya kuleta matokeo chanya
 
Kuna uwezo wa kwenye makaratasi, (CV), na ujizi binafsi na uzoefu, (life learning skills), binadamu tuko tofauti kiakili, (normal and smart people)

Smart- mwenye akili sana anayeweza kutafsiri jambo kwa haraka na kulitolea majibu sahihi kwa muda muafaka, vile vile kocha anatakiwa atafsiri mbinu za mpinzani kwa muda mfupi na kurekebisha makosa
Hapo sasa umenijibu mkuu, Kumbe mtu anaweza akawa na CV ila ubunifu binafsi ndio anakua hana ... 🤔🤔
 
Kwasasa hii timu ai hitaji Kocha wa kigeni, Wala Tff wasije waka jidanganya kuleta Kocha wa kigeni kwa kutegemea makubwa zaidi.
Hii timu Ina wachezaji wengi wa Daraja la kati kwaiyo Makocha tulionao waendelee.

Huwezi leta Kocha mgeni kwa wachezaji wa Daraja la kati na kutaka Matokeo ya Daraja la juu.
Tff na makocha waliopo watafute namna ya kupata wachezaji wengi wa Daraja la kati na kuwa na Mkakati maalum wa kuwaongezea ujuzi
 
Bahati mbaya serikali yako na wale wanasiasa waliojazana pale TFF hawana uwezo wa kuajiri kocha mwenye sifa unazozitaka. Isipokuwa wana uwezo wa kuajiri wahamasishaji tu.
Ila haohao wahamasishaji Mungu kawapa kibali Timu imevuka. Pia pengine angekuwepo kocha mkubwa kutoka nje na timu isipite.
 
Baada
Timu yetu imeshinda kwa bahati na juhudi binafsi za wachezaji wetu,hao makocha wetu wote,hawana ujuzi wala sifa za kuifundisha timu ya taifa.

Ushindi wa jana hakuna ufundi wowote uliooneshwa
Timu yetu imeshinda kwa bahati na juhudi binafsi za wachezaji wetu,hao makocha wetu wote,hawana ujuzi wala sifa za kuifundisha timu ya taifa.

Ushindi wa jana hakuna ufundi wowote uliooneshwa na makocha.
Ndugu yangu, ingekuwa busara na weledi kama ungelipongeza benchi la ufundi la Timu ya Taifa kwa kazi nzuri waliyoifanya kuhakikisha timu yetu inafikia malengo ya kushiriki katika hatua ya makundi ambayo ni kuvuka kwenda hatua nyingine ya mashindano badala ya kulitupia Lawama zisizo na tija benchi hilo.Inawezekana haujaridhishwa na namna ambayo wamefikia malengo lakini uwezi kuondoa ukweli kwamba wametuwezesha Watanzania kutimiza vigezo vya kushiriki AFCON 2025 huko Morocco.Mungu Ibaraki Taifa Stars,Mungu Ibariki Tanzania.

Article.
 
Timu yetu imeshinda kwa bahati na juhudi binafsi za wachezaji wetu,hao makocha wetu wote,hawana ujuzi wala sifa za kuifundisha timu ya taifa.

Ushindi wa jana hakuna ufundi wowote uliooneshwa na makocha.
Pamoja na Yote hayo unayoyakosoa, lakini Mungu amewapa kibali hao Makocha na timu imepita. Mungu humuweka amtakaye hivyo acheni Majungu nyie wa Tz maana nyie ni Mabingwa wa Kukosoa vya kwenu na kushabikia vya nje.
Ninavyowajua hata angeletwa kocha mkubwa kutoka nje halafu timu isipite najua mlivyo wajinga msingesema tatizo ni kocha ila mngeanza kuwakosoa wachezaji wenu. SIJAWAHI KUONA DUNIANI TIMU INAVUKA KWENDA MASHINDANO MAKUBWA HALAFU ETI WANANCHI WAOMBE KOCHA ALIYEIVUSHA AONDOLEWE, NI Tz tu ndio naiona hii.

Hebu chunguzeni vizuri huenda kuna aina ya bia hapo mnayokunywa inadhoofisha efficiency ya brain.

NCHI INA WAJUAJI HII!!!!!
 
Pamoja na Yote hayo unayoyakosoa, lakini Mungu amewapa kibali hao Makocha na timu imepita. Mungu humuweka amtakaye hivyo acheni Majungu nyie wa Tz maana nyie ni Mabingwa wa Kukosoa vya kwenu na kushabikia vya nje.
Ninavyowajua hata angeletwa kocha mkubwa kutoka nje halafu timu isipite najua mlivyo wajinga msingesema tatizo ni kocha ila mngeanza kuwakosoa wachezaji wenu. SIJAWAHI KUONA DUNIANI TIMU INAVUKA KWENDA MASHINDANO MAKUBWA HALAFU ETI WANANCHI WAOMBE KOCHA ALIYEIVUSHA AONDOLEWE, NI Tz tu ndio naiona hii.

Hebu chunguzeni vizuri huenda kuna aina ya bia hapo mnayokunywa inadhoofisha efficiency ya brain.

NCHI INA WAJUAJI HII!!!!!
Jinsi unavyotoa maoni,aina ya lugha unayotumia,ni taswira yako ilivyo,angalia lugha niliyotumia kuongea jambo hili,ndipo ujipime na wewe utajua wewe ni mtu wa namna gani
 
Ila Shomari Kapombe wa Fadlu ni balaa sio kama baba Ester wa Benchika...hahaha
 
Back
Top Bottom