fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
- Thread starter
- #61
Ha ha you killed my dayKocha mzuri unamjua kipindi tu anapofanya sub, hawa wabongo wakifanya tu sub badala ya ku improve performance ya timu, ndiyo wanaiua kabisaš¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha you killed my dayKocha mzuri unamjua kipindi tu anapofanya sub, hawa wabongo wakifanya tu sub badala ya ku improve performance ya timu, ndiyo wanaiua kabisaš¤£
Nimejaribu tu kukufahamisha kwamba mi ni Mtu wA Aina gani wAla sijakukusudia wewe ndugu yangu.Bro sio mie niliekutukana bali mie nawanasihi tu
Asante kwa ufafanuziNimejaribu tu kukufahamisha kwamba mi ni Mtu wA Aina gani wAla sijakukusudia wewe ndugu yangu.
Huyu jamaa ndo anatoka milembe saivi nasikia, ila wako wanafanya utaratibu arudi kuna dozi hajaimaliziaTimu yetu imeshinda kwa bahati na juhudi binafsi za wachezaji wetu,hao makocha wetu wote,hawana ujuzi wala sifa za kuifundisha timu ya taifa.
Ushindi wa jana hakuna ufundi wowote uliooneshwa na makocha.
Nyani haoni kunduleHuyu jamaa ndo anatoka milembe saivi nasikia, ila wako wanafanya utaratibu arudi kuna dozi hajaimalizia
Unahitaji watu kwenye thread yako tu huna kingineTimu yetu imeshinda kwa bahati na juhudi binafsi za wachezaji wetu,hao makocha wetu wote,hawana ujuzi wala sifa za kuifundisha timu ya taifa.
Ushindi wa jana hakuna ufundi wowote uliooneshwa na makocha.
Una trauma kakaNyani haoni kundule
Kwani watu wakija kwenye thread nalipwa?Unahitaji watu kwenye thread yako tu huna kingine
Nashangaa kwanini unaleta threads za kijinga kama hiziKwani watu wakija kwenye thread nalipwa?
Shida unajitazama kwa huo ugonjwa wakoUna trauma kaka
Uzuri mjinga siku zote watu werevu huwaona ni wajinga,huo ni ugonjwa unatibiwa na pasta mgogo au nenda mloganzilaNashangaa kwanini unaleta threads za kijinga kama hizi
Sawa kaka umeshindaUzuri mjinga siku zote watu werevu huwaona ni wajinga,huo ni ugonjwa unatibiwa na pasta mgogo au nenda mloganzila