rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Huyu kocha Hana uwezo mwanzoni alianza na wachezaji wake huku akiacha wazoefu lakini Mambo yalipozidi ndio akawaita wazoefu. Simon Msuva alipigiwa debe toka mwanzo Ila hakumwita na alipomwita katikaechobili kafunga goli mbili.
Kilichotuvusha ni uzoefu wa wachezaji na sio mbinu za kocha .
Kilichotuvusha ni uzoefu wa wachezaji na sio mbinu za kocha .