TFF waliwaza nini kuipa Sandaland tenda ya jezi za timu za taifa?

Kwahiyo anataka Yanga waifadhili Simba kupitia jezi za timu za taifa? Conflict of interest.
 

TFF inapewa ela nyingi kupitia huyo mwamba
 
Kwahiyo unachobisha hapo ni nini? Kwamba pesa za jezi haziendi Sandaland? au kwamba Sandaland haiipi Simba pesa? Au kwamba wapenzi wa Yanga wakinunua jezi za timu ya taifa pesa haifiki Sandaland? Nonsense!!!
Acha wivu wewe mtoto wa kiume.... Kama vipi kaichukue tenda wewe basi uwafurahishe hao unataka wafurahie.
 
TFF inapewa ela nyingi kupitia huyo mwamba
Bil 3 kwa miaka 10. Sandaland ni mfanyabiasha, atarajia kuwa atauza Jez kwa faida kisha kuipa TFF 3b. Na wakati mwingine faida Iko kwenye milage ya logo. Yanga wanaoipenda taifa stars wako wengi sana, bila shaka watanunua Jez hizi kwa wingi. Sandaland ndo mtengeneza jezi za Simba pia. Yanga oyeee
 
Acha wivu wewe mtoto wa kiume.... Kama vipi kaichukue tenda wewe basi uwafurahishe hao unataka wafurahie.
Kwani walishindanishwa nani nani kwenye hiyo tenda ya jezi hadi Sandaland akaibuka kidedea?
 


Huu ndio ule ushabiki wa zamani wa mtu wa Simba hataki kukaa kwenye kiti cha njano

Hayo mambo yashapita miaka na kikaka
 
Acha wivu wewe mtoto wa kiume.... Kama vipi kaichukue tenda wewe basi uwafurahishe hao unataka wafurahie.
Sio wivu na wala sijawaambia Yanga wasinunue, ila nimeweka wazi ukweli TU. Ukweli lazima usemwe ili kila mtu awe na informed choice.
 
Huu ndio ule ushabiki wa zamani wa mtu wa Simba hataki kukaa kwenye kiti cha njano

Hayo mambo yashapita miaka na kikaka
Hii ni zaidi ya rangi, bali ni timu pinzani kutoa ufadhili kwa timu pinzani bila kujuwa.
 
Sema mwamba unafanya kazi kwa juhudi kubwa kuaibisha ukoo wako an
Facts ana allergies nazo, uko wangu una uhusiano gani na hili la Yanga kutakiwa kuifadhili Simba kinyemela?
 
Facts ana allergies nazo, uko wangu una uhusiano gani na hili la Yanga kutakiwa kuifadhili Simba kinyemela?
We nae huna akili, unastahili kupuuzwa,

Ko wew ulitaka nani apewe deal la jersey ya team ya taifa?
Mbna Adidas anafadhili Bayern na National team, ila Dortmund na Puma yao hawalalamiki,

Ipo hivi, hio ni mikataba miwili tofauti, Hela ya kuwapa stars Sandaland ataipata kwa jersey za Stars same na Hela ya kuwapa Simba atazipata huko huko simba kwa jersey za simba,

Kesho na keshokutwa GSM anaweza kuja kuwa supplier wa national team, au Vunjabei akaja nae akawa supplier wa jersey za Yanga na National team,
Au itafika siku GSM atakuwa anasupply kit Simba Yanga, Azam na National team, ko mzee hii kitu ni biashara tu, nothing personal,


Kama hutaelewa hadi hapo mzee, bas
 
Ona cchizi hili
 
Akili zako fupi wewe, simba aligomea kuvaa nembo ya GSM sababu mpunga uliwekwa mdogo,.
 
Kwahiyo unachobisha hapo ni nini? Kwamba pesa za jezi haziendi Sandaland? au kwamba Sandaland haiipi Simba pesa? Au kwamba wapenzi wa Yanga wakinunua jezi za timu ya taifa pesa haifiki Sandaland? Nonsense!!!
Sandaland anaipa pesa simba kutokana na kufanya nae biashara kwenye jezi za simba, hayuko pale kuisaidia simba bali kufanya biashara
 
Nani katoa marufuku kwa pesa inayopatikana kwenye mauzo ya jezi za taifa stars isiende Simba?
 
Una wivu: Baraka the prince ft Brylan
 
Una akili nyingi lakini ndogo
 
Acha wivu wewe mtoto wa kiume.... Kama vipi kaichukue tenda wewe basi uwafurahishe hao unataka wafurahie.
timu ya taifa haiwezi kuvalishwa matambala ya kienyeji kama haya. Wachezaji wetu wengi sasa wa timu ya taifa ni wakimataifa lazima wavalishwe logo zinazojulikana ili kuimarisha saikolojia yao dhidi ya timu pinzani zilizovaa logo za puma, adidas, nike, umbro, nk. Tunatia aibu hii kwanini lakini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…