Mzimu wa Kolelo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 2,790
- 8,330
haufahamu kilichotokea ndo maana unaongea hivyoAsipofungiwa maisha watakuwa wamemuonea sana. Ameitafuta life ban kwa udi na uvumba.
GSM niliwashauri huyu ni chizi apelekwe Milembe badala ya kutembea naye kama madogoli.
Sivutiwi sana na manara
ila kwa kilichotokea JANA hata ungekuwa wewe usingeweza kumvumilia KARIA kisa tu rais wa TFF ni KIONGOZI wa HOVYO