Mzimu wa Kolelo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 2,790
- 8,330
haufahamu kilichotokea ndo maana unaongea hivyoAsipofungiwa maisha watakuwa wamemuonea sana. Ameitafuta life ban kwa udi na uvumba.
GSM niliwashauri huyu ni chizi apelekwe Milembe badala ya kutembea naye kama madogoli.
Hapana sijawahi kubaliana na dhihaka, hiyo ni dhihaka ambayo nasmini ukiitoa kuelezea namna alivyo anaweza kukufungulia kesi ya kumdhalilisha kutokana na albinism yake.kwa hiyo kwako wewe manara akiwa simba mamho mengi aliyokuwa akiiongelea yanga wewe ulikuwa unachukulia ni utani wa jadi . manara aliwahi sema ukiwatoa Baba yake na Mzee Kikwete mashabiki wote wa Yanga hawana akili . kwako wewe na huo nao ulikuwa utani ? Kama ni utani kwanini amtoe baba yake na mzee JK?
Hata kama kiongozi kakosea huwez simama hivyo na kushout shout kwa kurusha mikono hvyo,Kwa kila story ina two sides, Mr.Manara hakukurupuka tu ,na hatujui Mr.Kiria alimwambia nini Mr.Manara, Ile mentality tuliyokua nayo kuwa viongozi hawakosei ndio inatuweka hapa tulipo, hivi kuna leader yeyote kwenye historia ya nchi yetu ambaye alishawahi to apologize ?,nikipewa hata mfano mmoja hapa,nita withdraw na to apologize kwa comment yangu hii.
Tufahamishe basi kilichotokea maana ni kweli haiwezi kuwa manara alikurupuka tu lazima kuwe kuna namnahaufahamu kilichotokea ndo maana unaongea hivyo
Sivutiwi sana na manara
ila kwa kilichotokea JANA hata ungekuwa wewe usingeweza kumvumilia KARIA kisa tu rais wa TFF ni KIONGOZI wa HOVYO
Mi nadhani karia naye angekuwa kamtukana, basi manara asingekanusha kwenye article yake na kujisifu kuwa ana heshimiana na karia na hawezi kutoa lugha za matusi kwa wakubwa.Mbona mnaleta habari za upande mmoja? Karia hajamtuka Manara na Yanga?
TFF imemlea sana Manara. ni mtu hatari asie na akili na anatumia mdomo wake kwa vyovyote vile kupata mlo. ikumbukwe aliichafua sana sura ya mpira wa tanzania alipopost Simba inatumia madawa na hujuma kwa timu za wageni. majhuzi kasema sajili zetu kuna watu wanaleta mchezaji dola laki moja arobaini ya kwao ambayo tafsiri yake kuna rushwa kubwa sana kwenye mpira wa Tanzania. Hata kama madai hayo yana ukweli lakini sio kwa njia ya kuchafua nchi nzima. TFF imuondoe kabisa Manara kwenye mira wa Tanzania ni sawa na kufuga Mbwa aje akuume msikitini.
FAHAMU WAPI KUTOA NINI. Wewe kama mama yako malaya unatoka barabarani kusema mama yako malaya??? Think twice and reason.Mkuu suala la ushirikina mbona liko wazi.
Nalo bado mnamlaumu Haji?!
Huyu Takadini anajiona yeye yuko juu sana kisa u zeru zeru wake, utadhan dunia nzima papai ni yeye tyuuh, msieeeeew anaboa mnoo.
Apewe adhabu inayostahili na kosa lake, apate funzo.
Hivi inakuwaje wachezaji wanakatazwa kutumia bange lakini huyu manara anaivuta atakavyo na ndio inapelekea yote haya maana kichwa chake kibovupamoja na kufungiwa maisha,katika maoni yao wasisahau kushauri akatibiwe matibabu ya akili
Ina maana hata mhe. Waziri wa fedha na mipango nae akili hana.Aliposema kwamba Pale Yanga ukimtoa baba yake na kikwete kwamba wanaobaki wote hawana akili, aisee pale alitukana sana!!!
Kwahiyo na Mzee Philipo Mpango (mwana Yanga) nae hana akili??
Huna akili.Kombe la Simba msimu huu ni Manara kufungiwa.
Ndyo maana nchi haiendelei kwakua hamtak kukosolewaHata kama kiongozi kakosea huwez simama hivyo na kushout shout kwa kurusha mikono hvyo,
Mtu mwenye mamlaka muogope sana ukijifanya kidume lazima upotezwe
Haya sasa ban la daima milele linamkuta mwenzio hvyoNdyo maana nchi haiendelei kwakua hamtak kukosolewa
Viongoz wengi n usles to kisa unacheo ndo
Unataka utumie kila mtu vibaya
Yani hata mtu adhalilike mbele ya familia
Kisa cheo chakoo mkafie mbele huko