TFF yafungua shauri dhidi ya Ofisa wa Yanga, Haji Manara baada ya kudaiwa kuzozana na Rais Karia

Aliposema kwamba Pale Yanga ukimtoa baba yake na kikwete kwamba wanaobaki wote hawana akili, aisee pale alitukana sana!!!

Kwahiyo na Mzee Philipo Mpango (mwana Yanga) nae hana akili??
Kuna kutukana zaidi ya alikokufanya JPM kwa kumwambia kolo PM kuwa atawachapa mashangazi zake wa huko Nachi..!?
 
 
Manara Ni kirusi katika mpira
 
Jana uwanjani kuna mtu ni mdogo tu kiumri alikuwa kakaa benchi la ufundi na begi lake
na halikuwa hajurikani ana majukumu gani

kuna mambo alikuwa anayafanya kishirikina LIVE
waliookaa VIP tulimuona na hata yeye KARIA alimuona pia
yaan mchezaji wa YANGA akishika mpira anaenda golini hasa mayele anatikisatikisa begi lake basi kimaajabu magori ya wazi yanakoswa
sasa wakati wa half time. huyo dogo wa Coastal alikuwa amekaa kwenye bench lao la ufundi watu wa Yanga wakawa wamemsoma kuwa ndio anavuruga mechi kwa ushirikina
Sasa half time baada tu ya filimbi dogo akatoka nduki mbio kutoka kwenye bench kwenda vyumbani
kumbe tayari watu wa tumeshamsomea akawekewa mtego akadakwa akapokonywa begi Ikatokea ugomvi na karia akaingilia kutetea liludishwe BEGI husasani akiwa upande wa Coastal Kutetea ilihali hata yeye mambo ya koshirikina yalionwa live.
Hajj ndio hapo nae akawa anatetea upande wa Yanga ndio ulatokea huo huo mzozo majibizano na KARIA
inasemakana alitamka haya mambo gani ya KISENGE akimaanisha ushirikina
ndio akazushiwa zengwe kamtukana KARIA lkn sivyo hivyo

HAJI kakosea ndio kujibizana na RAISI WA TFF ni UTOVU WA MIDHAMU mana KIBONGOBONGO kiongozi anajiona ni LIDUDE Flan kubwaaa ukimueleza ukweli akawa haupendi KIBAO lazima kikigeukie hata kama ni jambo la kawaidah ilikuwa ni JAZBA 7bu baada kulifungua lile BEGI la mganga
kukakutwa majina ya wachezaji wa yanga wote
na vikolokolo vya ushirikina
nakuwekea VIDEO hapa chini uone baada kulifungua lile begi vikarakasi vimeandikwa majina ya wachezaji wote

KARIA yeye kama KIONGOZI na vitendo vya USHIRIKINA vilionekana wazi alitakiwa akemee ikizingatiwa ni mapumziko angekutana na viongozi wote akaonya hilo jambo
sasa baada kuonya anawetetea COASTAR
ndio hapo HAJI jazba zikampanda wakatupiana maneno na karia


TANZANIA TUKIENDEKEZA UCHAWI SOKA LETU HALIWEZI KUFIKA MBELE
HAYA MAMBO YANATAKIWA YAKEMEWE SIO KUTETEA KAMA HABARI ALIZOLETA KARIA HAIKUPENDEZA
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
 
Kwani karia haruhusiwi kuchagua upande wa kushangilia katika mechi. Hizi kanjanja tuu manara lazima wampige za uso.

Karia alisema yote ayo pasipo ugomvi. Jukwaa lina wana yanga wengi kwa nini awe manara wa kupayuka?..
 
Lowasa
 
Aisee! nimesoma vizuri hoja yako na naheshimu maoni yako ila binafsi naona ni busara kum judge huyo dogo katika makosa ya kinidhamu kwa kukaa eneo ambalo haruhusiwi na sio kwa madai ya USHIRIKINA

Siamini swala la vikaratasi vilivyoandikwa majina vikatiwa kwenye backpack vinaweza kumfanya mchezaji asifunge

Ingekuwa hivyo basi watu wasingekuwa wanahangaika kugharamia pesa kubwa kusajili wachezaji wenye uwezo wakati ukiwa na vikaratasi mambo ni simple tu.

Au tungetegemea kuona soko kubwa la waganga wenye CV kali zinazoonesha uwezo wao wa kuzisaidia timu kubwa kuchukua makombe.

Tunazo record ya taifa stars kupigwa goli 5 na brazil na wakati manji alitoa fungu kwa waganga wafanye wanaloweza tuwafunge lakini mambo yalikuwa tofauti.

Lakini pia kwenye ishu kama hiyo sio mara ya kwanza kumshuhudia manara akiwa kwenye high temper kuliko viongozi wenzake

Kama utakumbuka hata kule nigeria walivyoenda kucheza na plateu kulizuka sintofahamu ambapo benchi la Yanga walikuwa calm lakini Manara ndiye aliyekuwa akisikika akitoa matusi makubwa

Matusi hayi hayakuweza kuchukuliwa kwa uzito kwakua yalilenga timu ambayo haihusiani na TZ, hayakumlenga mtu yeyote wa TZ ila nigeria wangeweza kuyaelewa yale matusi na wangeamua ku deal nayo katika ngazi za CAF basi Yanga ndio ingekuwa responsible.

Kitendo cha uongozi wa Yanga kutomkanya siku ile Nigeria ndio kimesababisha mpaka leo hii tuwe hapa.
 
Tupa jela hilo topolo linatuharibia mpira! Likiitisha press ni kushambulia Simba tu wakati wenzake wanaongelea mikakati siyo watu lenyewe linashambulia watu tuu!
 
Tumechoka mambo yake huyu, life ban ihusike
 
Sehemu pekee ya Makolo kujipozea machungu ni kwenye issue ya Manara

I feel for you Guys
 
Yaani Uto kuna shida sana. Changia hoja dada, siyo kubana baba pua.
Makosa ya Manara na makombe wapi na wapi!!! Musiwe kama malimbukeni wa makombe. Tukisema huko hamna watu wenye akili mnalalamika. Jenga hoja kuhusu ya Haji.

Kafara anajitoa mwenyewe kwa mdomo wake mchafu. Hata hivyo wamemvumilia sana. Hatusemi kwa sababu ya ushabiki bali kwa tabia zake mbovu. Hata ninyi mnamjua, ila kwa vile amewaletea kombe, mtajifanya hamuoni.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
maneno meeengi kumbe ndio huu upuuzi? unadhani kwa nini viongozi wengine wa Yanga hawakumkashfu Karia isipokuwa Manara?
 
Huyu Takadini anajiona yeye yuko juu sana kisa u zeru zeru wake, utadhan dunia nzima papai ni yeye tyuuh, msieeeeew anaboa mnoo.

Apewe adhabu inayostahili na kosa lake, apate funzo.
Eti' Takadini. 😀..watu mna maneno!
 
Nyerere
aliapologize baada ya kukosea kibinafisha mashamba ya mkonge tanga yakafa natural death, mkupa aliomba msamaha kutekeleza privatization policy pasipo maandalizi mwisho kukaibuka rushwa na ufisadi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…