TFF yafungua shauri dhidi ya Ofisa wa Yanga, Haji Manara baada ya kudaiwa kuzozana na Rais Karia

TFF yafungua shauri dhidi ya Ofisa wa Yanga, Haji Manara baada ya kudaiwa kuzozana na Rais Karia

umebaki Yanga na akili zako. Tunaweza kuleta ushabiki lakini kwenye mambo ya msingi tuwe serious kama hivi
Huwa nikiona mwanayanga anatetea upumbavu wa Manara ambao kimsingi anao kabla hajachukuliwa na Simba huwa nashangaa sana tena sana.

Ni sawa na ninavyowashangaa watu wa Yanga wanaomshabikia Morrison.

Kuna kitu watu hawajui, umri wa Manara na umri wa Morrison huwezi kuwabadilisha tabia zao ni kitu hakuwezekani kwa umri wao unaachana nao tu for good.

Kuna rika kama la Nkane, sure boy na Fei toto bado hawajakuwa chronic kwenye tabia mbovu ndio vijana unaweza kuwarudisha kwenye mstari ukiona wanapotea, tena siku hizi club kubwa zinakuwa na wataalam wa saikolojia kabisa.
 
Ndyo maana nchi haiendelei kwakua hamtak kukosolewa

Viongoz wengi n usles to kisa unacheo ndo
Unataka utumie kila mtu vibaya

Yani hata mtu adhalilike mbele ya familia
Kisa cheo chakoo mkafie mbele huko
tumia akili bro. huko kwenu ndio huwa mnakosoa hivyo. Achana na kiongozi hata office mate tu huwezi kumkosoa hivyo. hivyo hukosoana wavuta bange. Kwa mantiki yako Samia akikosea Mwigulu amrishie mikono hivyo? Ficha upumbavu wako
 
Hata kama kiongozi kakosea huwez simama hivyo na kushout shout kwa kurusha mikono hvyo,

Mtu mwenye mamlaka muogope sana ukijifanya kidume lazima upotezwe
Tanzania 🇹🇿 bado haijawa police state
 
Tukubali tu kwamba ile timu kwa sasa ni dampo la vichaa. Mnaopitapita kwenye hiyo mitaa jangwani hasa nyakati za mwandamo wa mwezi jiandaeni kupopolewa mawe na hao vichaa wawili Manara +morisoni . Tabia za vichaa mnazijua vizuri mno. Mi nimewapa tahadhari msijesema sikuwapa tahadhari.
 
Tukumbuke karia ni raisi wa mpira Tanzania hajji asipofungiwa maisha mniite mbwa nipo pale
 
Hahaha ila manara ni mnafiki aisee yani kwa ile makala aliyoiandika leo akimlalamikia jemedari ujue mi nilianza kuingia kingi kumuamini kuwa anasingiziwa?

Kwanza nilisita kuamini ile clip iliyodaiwa kuwa haji kamtolea matusi ya nguoni Karia kwasababu hayo matusi kwenye hiyo clip hayasikiki.

Manara kwenye article yake ameonesha kukereka sana na jemedari kiasi ambacho hadi uongozi wa Yanga umemshauri apeleke hili jambo kwenye ngazi za sheria.

Lakini nilivyoona hiyo statement ya TFF hapo ndio nineanza kuamini kuwa hata ile video iliyodaiwa kuwa manara anamtukana karia ni ya kweli.

Sasa ni muda wa wana Yanga kuonesha mapenzi kwa msemaji wao kwa kumsimamia kwenye hii kesi ashinde ili aendelee kuwapa makombe
mjinga sana yule jamaa
 
Hivi weeken hii mahakama inafanya kazi?
 
Kwani hizo timu zenu ni lini wametowa pesa za usajiri mpaka useme mnapigwa? Yanga imetowa pesa ya club kumsajili Mayele? Au Simba imetowa Pesa ya club kumsajili Chama? Mnapigwa wapi sasa?
Kwa hii point yako Nakuunga mkono kwa [emoji817]
 
Manara amewahi kuwatukana yanga wote hawana akili isipokuwa JK na baba yake tu.
Kazoea kula nyama za watu hawezi kuacha.
 
Huwa nikiona mwanayanga anatetea upumbavu wa Manara ambao kimsingi anao kabla hajachukuliwa na Simba huwa nashangaa sana tena sana.

Ni sawa na ninavyowashangaa watu wa Yanga wanaomshabikia Morrison.

Kuna kitu watu hawajui, umri wa Manara na umri wa Morrison huwezi kuwabadilisha tabia zao ni kitu hakuwezekani kwa umri wao unaachana nao tu for good.

Kuna rika kama la Nkane, sure boy na Fei toto bado hawajakuwa chronic kwenye tabia mbovu ndio vijana unaweza kuwarudisha kwenye mstari ukiona wanapotea, tena siku hizi club kubwa zinakuwa na wataalam wa saikolojia kabisa.
Sureboy ni mzee yule,mwambie sasa hivi aache bange kama ataacha

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Kombe la Simba msimu huu ni Manara kufungiwa.
Mkuu hii hata sisi Yanga inatuhusu . Aliwahi kutuita hamnazo.kwahiyo tukikubali kwamba Manara Yuko sahihi basi tukubali kwamba alipotuita ni hamnazo vilevile alikuwa sahihi.
 
Acha kutupiga fix, Manara ameleta hamasa gani Yanga? Miaka minne bila kombe uliona Yanga hamasa imekufa?

Yeye ni pesa za GSM ndio zimemfanya kula matapishi yake, hata swala la haya mataji wana Yanga kwa kauli moja tunakubaliana ni pesa za GSM ndio zimeleta faraha jangwani na si vinginevyo.

Hizi kama ni za ndani basi ni ndani kwako siyo ndani ya Yanga wala GSM.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aliposema kwamba Pale Yanga ukimtoa baba yake na kikwete kwamba wanaobaki wote hawana akili, aisee pale alitukana sana!!!

Kwahiyo na Mzee Philipo Mpango (mwana Yanga) nae hana akili??
Hadi Mwigulu nchemba, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom