TFF yafungua shauri dhidi ya Ofisa wa Yanga, Haji Manara baada ya kudaiwa kuzozana na Rais Karia

TFF yafungua shauri dhidi ya Ofisa wa Yanga, Haji Manara baada ya kudaiwa kuzozana na Rais Karia

tatizo la manara mlililea nyinyi makolo . alipokuwa akiwakashifu yanga na kuwatukana hamkuwa kunyanyua midomo yenu kumkanya. Leo ndo mmejua kuwa jamaa ni mlopokaji?
Ukisikia ulofa ndiyo huo. Kumbe ninyi mlimjua kuwa ana mdomo mchafu lakini bado mkampokea tena kwa mbwembwe mtu aliyewakashifu, eti kuwakoga Simba.

Sasa nani mwenye hasara. Yaani unajua kabisa kuwa huyu ni kahaba halafu unamuoa!!!!

Alipoonywa hukuona alifura na kuporomosha maneno mabovu kwa CEO. Halafu ninyi mpaka hivi leo mnaimba wimbo kuwa alionewa.

Mzigo wenu huo ubebeni.

Huyo hajui shukrani. Subirini siku mtakayomkosea atakavyowakashifu. Utamsikia "Acheni kunifedhuli, nimekuja nimeleta makombe na kuwapumzisha kupanda Kimbinyiko angalau na ninyi mpande ndege. ........" Ipo siku Utakumbuka maneno haya.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Uwezo pekee TFF wanaweza kumfanyia Dr. Haji Manara ni kutoingia uwanjani, zaidi ya hapo ataendelea kuongelea soka kwenye vyombo vya habari, mitaani na kwenye mitandao ya kijamii.
 
Kwanza tujiulize Haji ni nani katika utawala wa Yanga? Je kikatiba ndani ya Yanga Manara anajulikana?
Nani alimpa ajira Haji ndani ya Yanga?

Je ajira ya Haji ilitangazwa na amekidhi kigezo? Haji mdomo wake unaenda kuweka vigezo vikubwa vya hawa wasemaji. Hivi Man City, Liverpool na Arsenal wana wasemaji? Tumefuga nyoka acha acharuke chumbani
 
Haji ata ukimfungia maisha bado atafanya kazi zake kwanjia nyingine kwenye mitandao kwakua Haji ni mwandishi.
 
Yaani Uto kuna shida sana. Changia hoja dada, siyo kubana baba pua...
Manara ameleta kombe lipi Yanga? na GSM asemeje sasa?

Mimi nadhani ni busara kwa GSM kumpa kibaruwa Haji kwenye makampuni yake hawezi kukosa pa kumuweka lakini binafsi hata mimi sikubaliani na utendaji wake wa kazi ambao ni wazi badala ya kujenga ushindani anatengeneza uadui ambao kimsingi ni bifu zake binafsi na watu wa Simba, club ya Yanga wala haiusiki kwa lolote.

Senzo ndio alikuwa mtu muhimu kwa Simba amehama amekuja Yanga lakini hakuna bifu iweje Manara kila siku ni yeye tu? Yeye ni nani?

Kama ni utani mimi napenda utani wa style ya Jose Morinyo ndio utani wa kimpira na siyo kusambaza chuki anakofanya Manara kila kukicha na kuiaminisha jamii kwamba yeye ndio victim.
 
Manara ameleta kombe lipi Yanga? na GSM asemeje sasa?

Mimi nadhani ni busara kwa GSM kumpa Haji kwenye makampuni yake hawezi kukosa pa kumuweka lakini binafsi hata mimi sikubaliani na utendaji wake wa kazi ambao nu wazi badal...
Dhahiri.

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Huyu kiumbe anaanza kutia huruma… asije kuanza kusema yeye Albino asamehew sisi huku mtaani tunamchukua km cheusi mangala yaani tunaishi nae kivyovyote matako yake mfyuuu

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
maneno meeengi kumbe ndio huu upuuzi? unadhani kwa nini viongozi wengine wa Yanga hawakumkashfu Karia isipokuwa Manara?
Nimekuleeleza ilivyokuwa na mimekubari pia ni utovu wa nidhamu kujibizana na RAIS wa TFF.

Swala upuuzi ni kwakuwa haikuwa inacheza timu yako so huwezi kujua pain tuliyokuwa nayo jana wakati vitendo hvyo kishirikina vikiendelea.

Nimeeleza ilivyokuwa ndio hvyo ilivyo
 
nimekuleeleza ilivyokuwa na mimekubari pia ni utovu wa nidhamu kujibizana na RAIS wa TFF
swala upuuzi ni kwakuwa haikuwa inacheza timu yako so huwezi kujua pain tuliyokuwa nayo jana wakati vitendo hvyo kishirikina vikiendelea
nimeeleza ilivyokuwa ndio hvyo ilivyo
nimekuuliza kwa nini viongozi wengine wa Yanga hawakufanyia vurugu Karia? Sihitaji kujua pain ya Manara kwa sababu ni pain ya kuigiza. wenye pain halisi hawakumtukana Karia. Pelekeni hospitali huyo chizi
 
Karia awe makini na issue hii. Pamoja na mapungufu ya Haji, naye alitoa kauli zenye dharau na matusi kwa Yanga.

Asipoangalia, hili linaweza kuwa chanzo vha yeye kung'olewa sio TFF bali kwenye mpira wa Tanzania.

Msomali anajiona kafika sana. Ubabe wake apeleke Mogadishu kwa Woria wenzie.

Haji atafungiwa lakini Dikteta Karia hatabaki salama.
 
Nyerere
aliapologize baada ya kukosea kibinafisha mashamba ya mkonge tanga yakafa natural death, mkupa aliomba msamaha kutekeleza privatization policy pasipo maandalizi mwisho kukaibuka rushwa na ufisadi
Nimejitahidi kukusoma ili nikuelewe nimeshindwa,iam sorry
 
Kwa kila story ina two sides, Mr.Manara hakukurupuka tu ,na hatujui Mr.Kiria alimwambia nini Mr.Manara, Ile mentality tuliyokua nayo kuwa viongozi hawakosei ndio inatuweka hapa tulipo, hivi kuna leader yeyote kwenye historia ya nchi yetu ambaye alishawahi to apologize ?,nikipewa hata mfano mmoja hapa,nita withdraw na to apologize kwa comment yangu hii.
Japo huwa naamini ni hatari kuwa sahihi wakati ambao serikali imekosea au kiongozi amekosea . Lakini Manara hawezi kuwa sahihi , ana maneno machafu . Wakimpiga Ban kwenye soka life itakuwa amestahili .
 
Kwa kila story ina two sides, Mr.Manara hakukurupuka tu ,na hatujui Mr.Kiria alimwambia nini Mr.Manara, Ile mentality tuliyokua nayo kuwa viongozi hawakosei ndio inatuweka hapa tulipo, hivi kuna leader yeyote kwenye historia ya nchi yetu ambaye alishawahi to apologize ?,nikipewa hata mfano mmoja hapa,nita withdraw na to apologize kwa comment yangu hii.
Yupo Mr.Job aliwahi ku apologize.
 
Kuna kutukana zaidi ya alikokufanya JPM kwa kumwambia kolo PM kuwa atawachapa mashangazi zake wa huko Nachi..!?
Afadhari ya JPM na PM, hadi wee mlongo hauna akili, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio mie ni manara.
 
Ee mwanangu![emoji23][emoji23][emoji23]

Imagine eti Nchemba hana akili!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeee hiyooooo.
 
Kwani karia haruhusiwi kuchagua upande wa kushangilia katika mechi. Hizi kanjanja tuu manara lazima wampige za uso.

Karia alisema yote ayo pasipo ugomvi. Jukwaa lina wana yanga wengi kwa nini awe manara wa kupayuka?..
Tena hadi viongozi wakuu walikuwepo, why yeye zeru zeru? Ili ionekane ana nguvu sana, atajua hajui.
 
Karia huyu mjinga aliyesema watu wasilete Utu-ndulissu ktk Mpira she Idiot too Asante Manala Bugati huyo boya msomali bwege simpendi since day one
 
Back
Top Bottom