Ndio yupo sahihi asilimia 100 kwani ajibu ilikuajekatibu anasema eti kama alikuwa na kadi tatu za njano ataitumikia ktk mchezo ujao soka la bongo bhana............limenishinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio yupo sahihi asilimia 100 kwani ajibu ilikuajekatibu anasema eti kama alikuwa na kadi tatu za njano ataitumikia ktk mchezo ujao soka la bongo bhana............limenishinda
Serengeti boys nao, walipewa pointi za mezani, nani alitoa rushwa. Kichwa chako hakina akili!Safi sana, wajifunze kutafuta ushindi viwanjani sio mezani kwa njia za rushwa!
Kwanza huyo mtani wangu mpira ameucheza wapi???Nashangaa alipitia wapi.Swala nimchezaji alikua na kadi au hana? mbona alivyoitwa kuhojiwa pamoja na viongozi wao kagera wanasema alikua na kadi 2 leo Tff wanasema ana kadi 3 ataitumikia mechi ijayo...wewe kiazi malinzi acha ukabila