TFF yaunda Kamati inayoongozwa na Paul Makonda ya kusaidia Taifa Stars ishinde kufuzu AFCON! Je, kazi yake ni nini hasa?

HAlafu baada ya kurekodi hiyo singo, wanataka na sisi tuamine? Mi nadhani sometimes hawa jamaa huaga wanatudharau sana bhana
 
HAlafu baada ya kurekodi hiyo singo, wanataka na sisi tuamine? Mi nadhani sometimes hawa jamaa huaga wanatudharau sana bhana
Wala hata hawatudharau ila sisi wenyewe tumeamua kujidharaulisha.

Maendeleo hayana chama
 
Hujanishawishi kabisa.
Ungekuwa ni mkenya au mganda ningepoteza muda kukushawishi lakini kama ni mtoto wa kitanzania ambaye mstarini kaimba sana Mungu ibariki kabla ya kuingia darasani basi sitakiwi nipoteze hata sekunde katika kukushawishi.

Kama umeimba nyimbo za kizalendo utotoni halafu ukubwani unataka ushawishiwe ili uinge mkono timu yako ya Taifa, tambua wewe ni sehemu tu ya wale wanafiki ambao kushughulikiwa kwao saa nyingine kunatisha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…