OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hujanishawishi kabisa.Mkuu kama ushabiki wako wa Taifa Stars unauhusisha na matukio ya kisiasa basi sio vibaya ukakaa tu nyumbani, sisi wengine tutakuwakilisha.
Sidhani kama kitapungua kitu chochote. Misri inazo siasa chafu kuliko za kwetu lakini ni wababe wa soka wa Afrika.