joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Wanaigopa Yanga na ndio mana wamewaita kwenye kamati ambayo tayari ishaamua juu ya Manara. Mimi kama ningekuwa TFF nisinge andika barua bali tayari inafamika Manara kafungiwa. So hapo kingeitwa kikao cha kuiadhibu Yanga full stop ,wangetoa barua ya kuiadhibu yanga.Sasa unawaita kwenye kikao kufanya nini wakati inafamika Manara kishafungiwa si ndio uwoga wenyewe huo.Angekuwa anaiogopa asinge wapa barua
Ile event si ya Engineer ni ya Yanga.Ni mbaya sana kuendekeza ushabiki wa kijinga kwa mambo kama haya.
Ikishatoka hukumu Kamati haina haja ya kukupelekea 'nakala' barua hapo ulipo, wewe unatakiwa ukachukue hiyo 'nakala' barua na ndo utaratibu wao kwa mujibu wa M/kiti wa kamati, kwahivyo Haji mpaka anaitisha Press Conference ya mwisho alikuwa bado hajapata barua, baadaye ndo akaenda kuchukua ndo wakapanga kukata rufaa.
Engineer alipewa barua kama Rais wa Yanga ya kukusisitizwa kuwa Klabu inaheshimu hukumu ya Haji.
Angalieni taarifa kutoka TFF muelewe msiwe mkawa mnasema mambo ambayo ya hovyo hovyo kama hayo..!
Humu kuelewana itakua ngumu mana kuna upenzi na chuki.watu mnajiona mnajua kutoa maelezo.wewe na sikubyako yabtecno hapo kwa shemej unataka kujifananisha na hersi? Target yako kimaisha ni ipi ? Ambayo mwenzio unahis na yeye hana Target hioNimeshangaa
Kasoma Chuo Gani Ama Wenye Akili Yanga Ni Wale Aliosema Hadji Manara
Ni mtendaji mkuu wa club sio Rais wa club TFF wamefanya kosa jingineSasa nani ni muwakilishi wa ‘Taasisi’ kisheria?
Hawakutakiwa kumrefer mtu in person Bali cheo Sabu hers n mtu anaweza asiwepo anytime so TFF haiendeshwi kiweredi Bali kihuni huniHiyo taarifa ya TFF inasema; "sekretariati ya TFF ilimuandikia barua Mhandisi Said kuhakikisha Manara anatumikia adhabu"
Kitendo cha taarifa ya TFF kumtaja Mhandisi Said, na sio Rais wa Yanga SC, hapo tayari naona TFF kuna mtego wameukwepa.
Hapa inaonekana TFF walim refer Hersi kama mdau wa mpira wa miguu, na sio kama Rais wa klabu yake, hivyo sishangai akiitwa personally kujieleza.
Sasa kwank ww mara kwanza uliongea nini? Yaani umesahau mpaka ulichokiongea mwanzo.Umejikaza kabisa na kuchamba juu usinuke mavi kwamba kujua kingereza ndio una akili?
Akili yako haina utofauti na manara rangi tu zimewatofautisha
Morison jana hakukosea kusema yanga wengi mmekimbia shule
Uko sahihi ..TFF havimbiwi bali ni uoga wake mwenyewe wa kuiogopa Yanga,lile tukio ni la Yanga na si la Hersi,kwani Yanga ni taasisi itaendelea kubaki ila Hersi ataondoka na ataiacha Yanga.
Mpaka hapo TFF wanaiogopa Yanga lile tukio ni la Yanga na si Hersi, Yanga anatakiwa kuwajibika kwa 100%.
hawana uwezo huo *****TFF, fungia yanga kutoingiza mashabiki wao kwa nusu msimu, ili akili zao zikae sawa, wanatumia nguvu nyingi, akili kidogo sana.
Sasa huamini au unabishaBora utulie tu, usituletee ujuaji wako usioeleweka hapa, nyie ndio wale mna akili za uswahilini bila Yanga mpira Tanzania utakufa.
Yanga ndio serikali ndio nchi mtajua hamjui ni sawa ya Manchester uingerezakwa hiyo mnaivimbia Tff sababu ya mapato!? mtajua hamjua msimu huu..
TFF si wahuni tuu eti nao n wanasheria hiz taass ifike mahali wapewe watu wenye werediWamekosea Kwa Hersi Kushitakiwa personally badala ya Kuishitaki Taasisi Ya Yanga Ambayo Hyo Taasisi ina Bodi ya Wadhamini.
.
Hawa Tff Kama Akili Hawana
.
Hersi ametambuliwa kama Rais Wa Yanga so Maamuzi Yoyote anayoyafanya Hersi anakuwa under capacity ya Rais Wa Yanga na Sio Yeye Personally.
.
Maana yake Ni kwamba ilitakiwa ishitakiwe Board of Trustees ya Yanga na Sio Hersi Kwa Majina Yake.
.
Hersi Hajafanya Makosa Bali Taasisi inayoitwa Yanga ndio imefanya Makosa.
.
Hyo Secretariat ya Tff itabidi ithibitishe bila kuacha shaka Kwamba Ni lini Hersi amemuita Haji aje uwanjani Kuwa MC Wa Yanga Whether Kwa Barua au Kwa maneno.
.
Kuna wakati Lazima Uwe na akili ya Kufikri Vyema.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yaani inashangaza sana nadhani wanajiona kuwa juu ya sheria.Nimeshangaa
Kasoma Chuo Gani Ama Wenye Akili Yanga Ni Wale Aliosema Hadji Manara
Kwahili hapana,maana quality iliyopo Yanga huwezi fananisha na vitimu vyenu huko.....japo uongozi lazima ujitafakari sana wamtimue yule kirusi waliyemleta,arudi kwaoYanga wana timu nzuri sana ila uongozi wao utawafanya wamalize nafasi ya nne
Mkuu nilichojaribu kukiangalia siyo nguvu ya Haji Manara bali tuungane kuukataa upumbavu wake kwa sababu anaidhalilisha sekta ya michezoWatanzania tuungane pamoja (bila kujali utofauti wa timu zetu)katika kumpinga huyu byut byuti.
Who is Haji Manara by the way!!!
Kama ni Who is Haji Manara by the way!!! kwaninini unaomba kolabo?
Mimi nilijuwa mwenye nguvu akitaka kumtia adabu asie na nguvu huwa hahitaji kolabo.Mkuu nilichojaribu kukiangalia siyo nguvu ya Haji Manara bali tuungane kuukataa upumbavu wake kwa sababu anaidhalilisha sekta ya michezo