TFF yawafungulia mashtaka Haji Manara, Hersi, wote waitwa Kamati ya Maadili

TFF yawafungulia mashtaka Haji Manara, Hersi, wote waitwa Kamati ya Maadili

Angekuwa anaiogopa asinge wapa barua
Wanaigopa Yanga na ndio mana wamewaita kwenye kamati ambayo tayari ishaamua juu ya Manara. Mimi kama ningekuwa TFF nisinge andika barua bali tayari inafamika Manara kafungiwa. So hapo kingeitwa kikao cha kuiadhibu Yanga full stop ,wangetoa barua ya kuiadhibu yanga.Sasa unawaita kwenye kikao kufanya nini wakati inafamika Manara kishafungiwa si ndio uwoga wenyewe huo.
 
Ni mbaya sana kuendekeza ushabiki wa kijinga kwa mambo kama haya.

Ikishatoka hukumu Kamati haina haja ya kukupelekea 'nakala' barua hapo ulipo, wewe unatakiwa ukachukue hiyo 'nakala' barua na ndo utaratibu wao kwa mujibu wa M/kiti wa kamati, kwahivyo Haji mpaka anaitisha Press Conference ya mwisho alikuwa bado hajapata barua, baadaye ndo akaenda kuchukua ndo wakapanga kukata rufaa.

Engineer alipewa barua kama Rais wa Yanga ya kukusisitizwa kuwa Klabu inaheshimu hukumu ya Haji.

Angalieni taarifa kutoka TFF muelewe msiwe mkawa mnasema mambo ambayo ya hovyo hovyo kama hayo..!
Ile event si ya Engineer ni ya Yanga.

Wanaigopa Yanga na ndio mana wamewaita kwenye kamati ambayo tayari ishaamua juu ya Manara. Mimi kama ningekuwa TFF nisinge andika barua bali tayari inafamika Manara kafungiwa. So hapo kingeitwa kikao cha kuiadhibu Yanga full stop ,wangetoa barua ya kuiadhibu yanga.Sasa unawaita kwenye kikao kufanya nini wakati inafamika Manara kishafungiwa si ndio uwoga wenyewe huo
 
Nimeshangaa
Kasoma Chuo Gani Ama Wenye Akili Yanga Ni Wale Aliosema Hadji Manara
Humu kuelewana itakua ngumu mana kuna upenzi na chuki.watu mnajiona mnajua kutoa maelezo.wewe na sikubyako yabtecno hapo kwa shemej unataka kujifananisha na hersi? Target yako kimaisha ni ipi ? Ambayo mwenzio unahis na yeye hana Target hio
 
Hiyo taarifa ya TFF inasema; "sekretariati ya TFF ilimuandikia barua Mhandisi Said kuhakikisha Manara anatumikia adhabu"

Kitendo cha taarifa ya TFF kumtaja Mhandisi Said, na sio Rais wa Yanga SC, hapo tayari naona TFF kuna mtego wameukwepa.

Hapa inaonekana TFF walim refer Hersi kama mdau wa mpira wa miguu, na sio kama Rais wa klabu yake, hivyo sishangai akiitwa personally kujieleza.
Hawakutakiwa kumrefer mtu in person Bali cheo Sabu hers n mtu anaweza asiwepo anytime so TFF haiendeshwi kiweredi Bali kihuni huni

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Umejikaza kabisa na kuchamba juu usinuke mavi kwamba kujua kingereza ndio una akili?
Akili yako haina utofauti na manara rangi tu zimewatofautisha
Morison jana hakukosea kusema yanga wengi mmekimbia shule
Sasa kwank ww mara kwanza uliongea nini? Yaani umesahau mpaka ulichokiongea mwanzo.
 
TFF havimbiwi bali ni uoga wake mwenyewe wa kuiogopa Yanga,lile tukio ni la Yanga na si la Hersi,kwani Yanga ni taasisi itaendelea kubaki ila Hersi ataondoka na ataiacha Yanga.

Mpaka hapo TFF wanaiogopa Yanga lile tukio ni la Yanga na si Hersi, Yanga anatakiwa kuwajibika kwa 100%.
Uko sahihi ..
Inatakiwa kesi ielekezwe Kwa yanga sio Kwa rais wa yanga

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Wamekosea Kwa Hersi Kushitakiwa personally badala ya Kuishitaki Taasisi Ya Yanga Ambayo Hyo Taasisi ina Bodi ya Wadhamini.
.
Hawa Tff Kama Akili Hawana
.
Hersi ametambuliwa kama Rais Wa Yanga so Maamuzi Yoyote anayoyafanya Hersi anakuwa under capacity ya Rais Wa Yanga na Sio Yeye Personally.
.
Maana yake Ni kwamba ilitakiwa ishitakiwe Board of Trustees ya Yanga na Sio Hersi Kwa Majina Yake.
.
Hersi Hajafanya Makosa Bali Taasisi inayoitwa Yanga ndio imefanya Makosa.
.
Hyo Secretariat ya Tff itabidi ithibitishe bila kuacha shaka Kwamba Ni lini Hersi amemuita Haji aje uwanjani Kuwa MC Wa Yanga Whether Kwa Barua au Kwa maneno.
.
Kuna wakati Lazima Uwe na akili ya Kufikri Vyema.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
TFF si wahuni tuu eti nao n wanasheria hiz taass ifike mahali wapewe watu wenye weredi

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Tayari nilijua tu kwamba huyu ataharibu zaidi.hapo bado ataendelea kuharibu.yaani kujiona,kujisikia,ni kitu kibaya sana
 
Viongozi wa Yanga Wanafanya Ujinga Wakiamini wanaungwa mkono na Serikali.

Na Anajitokeza Kiongozi wa Serikali alie teuliwa na Rais kuwatumikia Wananchi anasema Hakuona Kosa. Ni vyema Sana Hawa viongozi wa serikali Ushabiki wao Wakabaki nao kuliko kukurupuka na Kutoa Maoni ambayo yanaaibisha Uteule wa Rais.

Hata Kama Jana Manara Angealikwa Kama msafisha Uwanja Ilikuwa ni Kosa na Kuidharau TFF. Yanga wawe makini Sanaa.
 
Tukiwaambia Haji ameletwa Yanga kutuchafulia tu hali ya hewa,Kuna watu huwa wanaona tunamuonea wivu........yule jamaa hana adabu kabisa,hata kama tifuatifua wanamapungufu yao ila viongozi wa Yanga na jiesiemu wanazingua
 
Yanga wana timu nzuri sana ila uongozi wao utawafanya wamalize nafasi ya nne
Kwahili hapana,maana quality iliyopo Yanga huwezi fananisha na vitimu vyenu huko.....japo uongozi lazima ujitafakari sana wamtimue yule kirusi waliyemleta,arudi kwao
 
Watanzania tuungane pamoja (bila kujali utofauti wa timu zetu)katika kumpinga huyu byut byuti.

Who is Haji Manara by the way!!!
Kama ni Who is Haji Manara by the way!!! kwaninini unaomba kolabo?
Mkuu nilichojaribu kukiangalia siyo nguvu ya Haji Manara bali tuungane kuukataa upumbavu wake kwa sababu anaidhalilisha sekta ya michezo
 
IMG-20220807-WA0037.jpg
Ujinga ujinga na viongozi wajinga jinga wasiojipambanua Kama club yenye ueledi na kufata sheria, yani hao wanakua Wa kwanza kuvunja sheria alafu wanarudi kwa wananchi kulia lia, manara asingetokea Jana yote yangetokea?
 
Mkuu nilichojaribu kukiangalia siyo nguvu ya Haji Manara bali tuungane kuukataa upumbavu wake kwa sababu anaidhalilisha sekta ya michezo
Mimi nilijuwa mwenye nguvu akitaka kumtia adabu asie na nguvu huwa hahitaji kolabo.
Mfano US alienda kumkamata Rais wa nchi ya Nicaraque bila kolabo, aliwahi kuishambulia ikulu ya Gadaffi kwa lengo la kumuua bila kolabo.
Otherwise ile sentensi ya mwisho ilikuwa haihitajiki pale.
 
Back
Top Bottom