Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu dont judge a book by its cover. Yule jamaa ni zali tu kutokana na kuwa mtu wa GSM. Ila kichwani mweupe sana. Zile suti na sura ya upole vimeficha mengi sana. Sawa yeye mweupe kichwani ila amekosa hata akili kidogo ya kutumia wenye akili?Nilikuwa namuona Engineer Hersi anafanya mambo yake kisomi kumbe nae hamna kitu.
Mtu unajua kabisa, Manara amefungiwa kujihusisha na shughuli za michezo ndani ya Tanzania, halafu eti unadai "kumualika" kwenye shughuli yako akawe MC!.
Kwani ile haikuwa shughuli ya michezo? kama walitaka kumualika wangemualika kwenye harusi, lakini sio kumpeleka pale uwanjani, lile lilikuwa kosa la makusudi linalostahili adhabu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]TFF hawajui mipaka yaoo... wanajitekenyaa tu haoooTff imeanza kujitambua sasa hivi,tulidhani kuna watu wapo juu ya sheria na ni untouchable.
Hapo katajwa kwa cheo chake Hersi Said na sio kama private person.TFF na sijui hawajui kutafsiri sheria, hapo inatakiwa waifungulie kesi Yanga na Manara.
Wakifanya hvo tunafungiwa na FIFA kama Kenya saiv hawqshiriki mashindano yoyote Yale.Sasa TFF ni ya kushindana na CCM[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo kesi kinana anapiga simu moja tuuu
Huwezi mshtaki Hersi lile tukio limefanywa na Yanga na si Hersi, Yanga ndiyo inatakiwa kuwajibika na si Hersi.Hapo katajwa kwa cheo chake Hersi Said na sio kama private person.
FIFA na CAF wanaona!Sasa TFF ni ya kushindana na CCM[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo kesi kinana anapiga simu moja tuuu
Hilo litoe akilini mwako na halitokuja kutokea kwenye soka la bongo, manake hao TFF target yao kubwa ni mapato ya Simba na Yanga.Tff, fungia yanga kutoingiza mashabiki wao kwa nusu msimu, ili akili zao zikae sawa, wanatumia nguvu nyingi, akili kidogo sana.
Hebu iseme hiyo mipaka yao TFF ni ipi nasi tuijue?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]TFF hawajui mipaka yaoo... wanajitekenyaa tu haooo
Injinia mzima unakuwa mhuni mhuni tu huheshimu hata mamlaka. Eti MC mwalikwa, utetezi wa kihuni kabisa huu.Nilikuwa namuona Engineer Hersi anafanya mambo yake kisomi kumbe nae hamna kitu.
Mtu unajua kabisa, Manara amefungiwa kujihusisha na shughuli za michezo ndani ya Tanzania, halafu eti unadai "kumualika" kwenye shughuli yako akawe MC!.
Kwani ile haikuwa shughuli ya michezo? kama walitaka kumualika wangemualika kwenye harusi, lakini sio kumpeleka pale uwanjani, lile lilikuwa kosa la makusudi linalostahili adhabu.
Kile kitendo chake cha kumualika Manara jana nimemuona kumbe hamna mtu pale, ni hizo suti na sura ya upole tu kama unavyosema!.mkuu dont judge a book by its cover. yule jamaa ni zali tu kutokana na kuwa mtu wa GSM. ila kichwani mweupe sana. Zile suti na sura ya upole vimeficha mengi sana. Sawa yeye mweupe kichwani ila amekosa hata akili kidogo ya kutumia wenye akili?
CAF wanaanza kikao Arusha halafu wanakutana na litimu lisumbufu kama hili.... Subiri waanze Kimataifa kuna marungu hukoTff imeanza kujitambua sasa hivi,tulidhani kuna watu wapo juu ya sheria na ni untouchable.
Hao FIFA hawakuona ya Chelsea na Serikali ya Uingereza?FIFA na CAF wanaona!