Huna hoja, upo kama hao wajinga wenzako, Tff haiwezi tegemea yanga kuendesha shughuli zakeHivi kwa akili yako TFF inaendeshwa na mpato ya mechi za Kimataifa? Hivi unasikilizaga mchanganuo wa mapato wa mechi za kimataifa? Na hizi za ndani ?
Ukishapata jibu najua ndio utakaa kimya.