Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaleyale ya spika na wabunge 19 wa chadema .Wanasheria naomba mnisaidie hili,
Sina uhakika kama Haji amesha kata rufaa but nataka kujua kua endapo mtu ataikatia rufaa hukumu,mtuhumiwa katika kipindi cha kusubiri rufaa yake kusikilizwa atapaswa kuitekeleza ile hukumu yake katika kipindi hicho?
Kwenye page Yao ya Twitter wakaandika leo kutakuwa na sapraiz kumbe sapraiz yeynyewr ni huyo mzungu Pori..yanga Kama walipewa laana walupoambiwa wenye akili wawili Tu.. sasa mtu unaitwa engineer lkn unafanya vitu vya kibangi bangi km hivi !!! InastaajabishaNilikuwa namuona Engineer Hersi anafanya mambo yake kisomi kumbe nae hamna kitu, ameiharibu sana title yake ya "Rais wa klabu".
Mtu unajua kabisa, Manara amefungiwa kujihusisha na shughuli za michezo ndani ya Tanzania, halafu eti unadai "kumualika" kwenye shughuli yako akawe MC!.
Kwani ile haikuwa shughuli ya michezo? kama walitaka kumualika wangemualika kwenye harusi, lakini sio kumpeleka pale uwanjani, lile lilikuwa kosa la makusudi linalostahili adhabu kali kwa wote wawili.
Angekuwa Mzee Msola asingefanya huo ujinga.Vyema kabisa, Engineer anakuaje mhuni?
Mwananchi Day ina tambuliwa na FIFA?Kitu chochote cha kimakosa kwa nchi za Africa kinashuhulikiwa kwa haraka sana kuliko Ulaya..... sio mpira pekee
Yanga ni taasisi na ndio maana ataondoka Hersi ila still Yanga itabaki Yanga sio mtu.Yanga ni nani?
Rais ndiye alifanya maamuzi na siyo vikao vya kinye FC.
Kama vikao vilibariki jambo hilo,club itabeba kesi maana mchuma janga hula na wa kwao
Timu huwa yapigwa faini tuMwambie karia na kamati yake ya mchongo waifungie yanga ndo utapata majibu ya unachouliza [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] .
Jana manara kaja kwenye tamasha la YANGA lakini cha ajabu kamati ya maadili wamemfungulia mashtaka engineer hersi . waambie waifungulie mashtaka timu sio MTU .
Hao FIFA hawakuona ya Chelsea na serikali ya uingereza?
Wawaache waugulie tu kwanza hili Moja la 2 o'clockManara, Hersi Wafunguliwa Mashitaka ya kimaadili na Sekretarieti ya TFF
Na ndio washenzi hawa wanataka hivyo maana wanaogopa sana kushiriki kimataifa kwani wataumbuka.Wakifanya hvo tunafungiwa na FIFA kama Kenya saiv hawqshiriki mashindano yoyote Yale.
Tatizo hata nakala za FIFA husomi sasa sijui mimi na ww nani anabweka, unaongea ongea tu ili mradi na ww uonekane unaongea kumbe kilaza.Umemaliza kubweka?
Si tumekubaliana kuwa timu zote ziko chini ya FIFA?😂😂😂😂Kwaiyo yanga na yenyewe unaifananisha na Chelsea?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yani Chelsea ndo yanga ya jangwani?
Ccm ikiingilia bato... dadekiFiFA watawashukia kama mweweMwananchi Day ina tambuliwa na FIFA?
Kawaida unaanza kutumikia adhabu ukiwa unasubiri maamuzi ya rufaa, kukata rufaa hakuzuii adhabu uliyopewa kuanza kutekelezwa.Wanasheria naomba mnisaidie hili,
Sina uhakika kama Haji amesha kata rufaa but nataka kujua kua endapo mtu ataikatia rufaa hukumu,mtuhumiwa katika kipindi cha kusubiri rufaa yake kusikilizwa atapaswa kuitekeleza ile hukumu yake katika kipindi hicho?
Wamekosea Kwa Hersi Kushitakiwa personally badala ya Kuishitaki Taasisi Ya Yanga Ambayo Hyo Taasisi ina Bodi ya Wadhamini.Manara, Hersi Wafunguliwa Mashitaka ya kimaadili na Sekretarieti ya TFF
kwa hiyo mnaivimbia Tff sababu ya mapato!? mtajua hamjua msimu huu..Tatizo hata nakala za FIFA husomi sasa sijui mimi na ww nani anabweka, unaongea ongea tu ili mradi na ww uonekane unaongea kumbe kilaza.
Kasome kwenye website ya FIFA utaelewa zile hela za nini najua sio kosa lako bali ni Lugha ndio haipandi.
Bora utulie tu, usituletee ujuaji wako usioeleweka hapa, nyie ndio wale mna akili za uswahilini bila Yanga mpira Tanzania utakufa.Tatizo hata nakala za FIFA husomi sasa sijui mimi na ww nani anabweka, unaongea ongea tu ili mradi na ww uonekane unaongea kumbe kilaza.
Kasome kwenye website ya FIFA utaelewa zile hela za nini najua sio kosa lako bali ni Lugha ndio haipandi.
Watu wa soka hatuwezi kukubali, wengine hatuna vyama vya siasa, chama chetu ni soka tu.Sasa
Ccm ikiingilia bato... dadekiFiFA watawashukia kama mwewe