TFF yawafungulia mashtaka Haji Manara, Hersi, wote waitwa Kamati ya Maadili

TFF yawafungulia mashtaka Haji Manara, Hersi, wote waitwa Kamati ya Maadili

Manara kaja Yanga kama MC tu wakawaida... Nyie mnaochongachonga chukueni jembe mkalime hii Issue si yakuiingilia kichwakichwa kama mnavyojua.. TFF ni ndogo kuliko Yanga😂 na Haina lolote la kunifanya Yanga na Rais wake.. Yanga ni Untouchable
 
TFF itumie hekima manara alishaomba msamaha, Hapa inakuwa na sawa na mkulima anayekata mguu wake mmoja wakati huutumia mguu huo kuendea shambani.
Unaomba msamaha, wakati mtu anafikiria akusamehe au lah unaongezea tena kosa jingine.
 
kwa hiyo mnaivimbia Tff sababu ya mapato!? mtajua hamjua msimu huu..
TFF havimbiwi bali ni uoga wake mwenyewe wa kuiogopa Yanga,lile tukio ni la Yanga na si la Hersi,kwani Yanga ni taasisi itaendelea kubaki ila Hersi ataondoka na ataiacha Yanga.

Mpaka hapo TFF wanaiogopa Yanga lile tukio ni la Yanga na si Hersi, Yanga anatakiwa kuwajibika kwa 100%.
 
TFF havimbiwi bali ni uoga wake mwenyewe wa kuiogopa Yanga,lile tukio ni la Yanga na si la Hersi,kwani Yanga ni taasisi itaendelea kubaki ila Hersi ataondoka na ataiacha Yanga.

Mpaka hapo TFF wanaiogopa Yanga lile tukio ni la Yanga na si Hersi, Yanga anatakiwa kuwajibika kwa 100%.
Angekuwa anaiogopa asinge wapa barua
 
Wamekosea Kwa Hersi Kushitakiwa personally badala ya Kuishitaki Taasisi Ya Yanga Ambayo Hyo Taasisi ina Bodi ya Wadhamini.
.
Hawa Tff Kama Akili Hawana
.
Hersi ametambuliwa kama Rais Wa Yanga so Maamuzi Yoyote anayoyafanya Hersi anakuwa under capacity ya Rais Wa Yanga na Sio Yeye Personally.
.
Maana yake Ni kwamba ilitakiwa ishitakiwe Board of Trustees ya Yanga na Sio Hersi Kwa Majina Yake.
.
Hersi Hajafanya Makosa Bali Taasisi inayoitwa Yanga ndio imefanya Makosa.
.
Hyo Secretariat ya Tff itabidi ithibitishe bila kuacha shaka Kwamba Ni lini Hersi amemuita Haji aje uwanjani Kuwa MC Wa Yanga Whether Kwa Barua au Kwa maneno.
.
Kuna wakati Lazima Uwe na akili ya Kufikri Vyema.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hiyo taarifa ya TFF inasema; "sekretariati ya TFF ilimuandikia barua Mhandisi Said kuhakikisha Manara anatumikia adhabu"

Kitendo cha taarifa ya TFF kumtaja Mhandisi Said, na sio Rais wa Yanga SC, hapo tayari naona TFF kuna mtego wameukwepa.

Hapa inaonekana TFF walim refer Hersi kama mdau wa mpira wa miguu, na sio kama Rais wa klabu yake, hivyo sishangai akiitwa personally kujieleza.
 
Yanga ni taasisi na ndio maana ataondoka Hersi ila still Yanga itabaki Yanga sio mtu.

Ulikuwepo wati Rais anafanya maamuzi au una assume, brother kwenye sheria hutakiwi KUASSUME, mistake kubwa sana ambayo mpinzani yako anaweza kuitumia na kukushinda.

TFF waache kuzunguka mbuyu, wawe straight wasiiogope Yanga waliokosea ni Yanga ,kwani Event ni ya Yanga na si Hersi.
Sasa nani ni muwakilishi wa ‘Taasisi’ kisheria?
 
Sasa TFF ni ya kushindana na CCM[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo kesi kinana anapiga simu moja tuuu
Mnataka kuchanganya siasa na soka?? Muwaulize Kenya watawapa Majibu. Stay tuned
 
Bora utulie tu, usituletee ujuaji wako usioeleweka hapa, nyie ndio wale mna akili za uswahilini bila Yanga mpira Tanzania utakufa.
Wasichojua Yanga ni kua Manara damu yake ni Simba, ukute anawaingiza shimoni bila wao kujijua.
 
We nae mjinga sana na yale madola wanayotoa FIFA kila mwaka kwa TFF mpaka malinzi akazitafuna yanatoka hapo utopoloni?
Morison jana hakukosea kusema utoh wengi mmekimbia shule
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si anakumbuka alivyo wagalagaza kule CAS
 
Sasa nani ni muwakilishi wa ‘Taasisi’ kisheria?
Akikujibu nijulishe, akili atakuwa amezirudisha mahala pake, hajui kama Mhandisi kaitwa hapo kama taasisi akiwakilisha klabu yake ya wahuni hiyo.
 
Hawapo sahihi kwani hata barua ya kusimamishwa Manara hakupewa Hersi ilipewa Yanga.

Kwa kifupi TFF wanaiogopa Yanga.
Ni mbaya sana kuendekeza ushabiki wa kijinga kwa mambo kama haya.

Ikishatoka hukumu Kamati haina haja ya kukupelekea 'nakala' barua hapo ulipo, wewe unatakiwa ukachukue hiyo 'nakala' barua na ndo utaratibu wao kwa mujibu wa M/kiti wa kamati, kwahivyo Haji mpaka anaitisha Press Conference ya mwisho alikuwa bado hajapata barua, baadaye ndo akaenda kuchukua ndo wakapanga kukata rufaa.

Engineer alipewa barua kama Rais wa Yanga ya kukusisitizwa kuwa Klabu inaheshimu hukumu ya Haji.

Angalieni taarifa kutoka TFF muelewe msiwe mkawa mnasema mambo ambayo ya hovyo hovyo kama hayo..!
 
Back
Top Bottom