TFF yawafungulia mashtaka Haji Manara, Hersi, wote waitwa Kamati ya Maadili

TFF yawafungulia mashtaka Haji Manara, Hersi, wote waitwa Kamati ya Maadili

Ni adhabu, kwa hiyo unataka kusema bila Yanga tff inakufa?, kwanza waitegemee kwa lipi ilihali hata kimataifa ni wasindikizaji tu.
Hivi kwa akili yako TFF inaendeshwa na mpato ya mechi za Kimataifa? Hivi unasikilizaga mchanganuo wa mapato wa mechi za kimataifa? Na hizi za ndani ?

Ukishapata jibu najua ndio utakaa kimya.
 
Hivi kwa akili yako TFF inaendeshwa na mpato ya mechi za Kimataifa? Hivi unasikilizaga mchanganuo wa mapato wa mechi za kimataifa? Na hizi za ndani ?

Ukishapata jibu najua ndio utakaa kimya.
So kama mnafanya makusudi mtajua hamjui
 
Ni adhabu, kwa hiyo unataka kusema bila Yanga tff inakufa?, kwanza waitegemee kwa lipi ilihali hata kimataifa ni wasindikizaji tu.
Mwambie karia na kamati yake ya mchongo waifungie yanga ndo utapata majibu ya unachouliza 😁😁😁😁 .
Jana manara kaja kwenye tamasha la YANGA lakini cha ajabu kamati ya maadili wamemfungulia mashtaka engineer hersi . waambie waifungulie mashtaka timu sio MTU .
 
Back
Top Bottom