TFF yawafungulia mashtaka Haji Manara, Hersi, wote waitwa Kamati ya Maadili

TFF yawafungulia mashtaka Haji Manara, Hersi, wote waitwa Kamati ya Maadili

Sielewi hata umeandika wadudu gani hapo juu.

Hivi unaelewa maana ya "kufungiwa kujihusisha na shughuli za mpira"?

Kwani huo u MC haukuwa kwenye shughuli ya mpira?

Halafu wewe ndie unajiona "mwanasheria"!! hii nchi ina mambo sana...
Huyo ni mjinga kupita kiasi yaani, ana hoja mbovu sana..! Ni Utopolo

Hivi unaweza kusema mimi MC wa Harusi halafu baadaye ukawaambia watu eti sijashiriki harusi ila nilikuwa MC tu, yaingia akilini kweli..?!

Lakini tusilaumu huenda akili yako ilivyo, yaani yale yale dereva wa gari la police si police [emoji16]
 
Sielewi hata umeandika wadudu gani hapo juu.

Hivi unaelewa maana ya "kufungiwa kujihusisha na shughuli za mpira"?

Kwani huo u MC haukuwa kwenye shughuli ya mpira?

Halafu wewe ndie unajiona "mwanasheria"!! hii nchi ina mambo sana...
Jamaa huwa anajifichia kwenye kichaka cha 'mimi sina ushabiki wa Usimba wala Uyanga" lakini comments zake always zinamuumbua na kumuonesha ni mtu wa ajabu kiasi gani katika mahaba ya timu anayoishabikia
 
Nilikuwa namuona Engineer Hersi anafanya mambo yake kisomi, kumbe nae hamna kitu, ameiharibu sana title yake ya "Rais wa klabu".

Mtu unajua kabisa, Manara amefungiwa kujihusisha na shughuli za mpira ndani ya Tanzania, halafu eti unadai "kumualika" kwenye shughuli yako akawe MC!.

Kwani ile haikuwa shughuli ya mpira? Kama walitaka kumualika wangemualika kwenye harusi, lakini sio kumpeleka pale uwanjani, lile lilikuwa kosa la makusudi linalostahili adhabu kali kwa wote wawili.
Uzuri Manara aliisha wahi kusema hata ukiwa Engineer linapokuja suala la Yanga unakuwa kama hamnazo hivi...
Na walimtaja Engineer Hersi palepale.
 
Naunga Mkono mashitaka ya TFF!
Tunataka nidhamu Nje na ndani ya uwanja!
Mimi mwananchi, lakini sikubaliani na dharau kwa mamlaka ya mpira nchini!
 
We nawe usijitoe ufahamu ukajivurugia sifa yako ya kutokuwa shabiki wa hizi timu

Ukishafungiwa kujihusisha na tukio lolote linalo husiana na mpira husuasani lile linalo husiana na TFF halafu ikatokea event ya mpira ukajitokeza kama MC

Hapo utakuwa umeshiriki, kwani kazi ya manara ni kucheza?

Si ndio hiyo hiyo kuongea, sasa alivyofungiwa mlitafsiri sheria kama kafungiwa kucheza?
Huyu bwana hizi sifa za kusema sio shabiki ni kujificha tu, ni Yanga kindaki ndaki, jaribu kufatilia comments katika mijadala inayohusu simba na yanga utaona mrengo wake ulipo
 
Wakuu Secretariat ndio ilipeleka shauri kwenye Kamati ya Maadili ya Tff Baada ya hyo Secretariat pia Kupokea Malalamiko kutoka Kwa Karia.
.
Mawakili Wa Manara wanasema ukifanya perusal kwenye faili lililoko kwenye Kamati ya Maadili ya Tff kutoka secretariat ya Tff Hakuna ppote ambapo Karia ameandika malalamiko yake.
.
Mimi nashangaa Kwa nn Kamati haikumuita Karia awe Shahidi Hata Kama matter ulienda exparte Hg??

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Huko kinye FC wenye akili ni wawili tu.
Jk na Mzee Manara baba yake Haji
Wengine ni misukule tu na itakuja hapa sio muda mrefu.

Uhuni wa kutoheshimu mamlaka hauwezi kuvumiliwa.
Waziri anaheshimu mamlaka inakuwaje mtu baki tu unaonesha mabavu dhidi ya mamlaka?
Ingekuwa enzi za mwendazake,huyu mtu anatekwa na kuminywa korodani aache kuketa usomali hapa nchini.
Hivi anajua matokeo ya yeye kama rais wa club kama yanga kuwa kinyume na mamlaka yakoje?
Hivi anachukulia poa suala hili?Au anataka kulazimisha serikali iingilie na nchi ifungiwe na FIFA?

Hivi level ya kufikiri licha ya kutokuwa na akili kumbe ipo chini kiasi hiki?
Kama ni Usomali (uasili) hata Karia ni Msomali na mgeni rasmi ni Msomali kwahiyo Wasomali walikutana jana.
 
Safi sana TFF ifike hatua dharau zifike mwisho.
mnajua kabisa huyu mtu ana adhabu bado mnampa maiki atangaze wachezaji wenu.hata Kama ni MC ile ni shughuli ya mpira sio msiba Wala harusi.
Ingekuwa ni msiba wa utopolo amekwenda kufanya uMC hapo sawa.
Mimi nashauri ili adabu iwepo.
UTOPOLO WASHUSHWE DARAJA
 
Upuuzi TFF wajinga Sana Mimi Simba lakin simpendi karia tangu alipo Anza kuhusisha Mpira na siasa pathetic
 
Jamaa huwa anajifichia kwenye kichaka cha 'mimi sina ushabiki wa Usimba wala Uyanga" lakini comments zake always zinamuumbua na kumuonesha ni mtu wa ajabu kiasi gani katika mahaba ya timu anayoishabikia
Mkuu proskaeur Nadhani wewe umemuelewa ndo maana mimi GHAZWAT nampiga mawe ya utosi mpaka aache Unafiki wake ajipambambanue ili watu wajue wanaongea na nani hapa, japo Kwangu binafsi najua kuwa huyu ni Utopolo Pure..!
 
Engineer aliyesoma madrasa unategemea nini
Wenye akili ni wawili tu timu mafi.
 
Huyu bwana hizi sifa za kusema sio shabiki ni kujificha tu, ni Yanga kindaki ndaki, jaribu kufatilia comments katika mijadala inayohusu simba na yanga utaona mrengo wake ulipo
Mi nishamjua kitambo sana
 
Back
Top Bottom