Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,684
- 4,315
Mtoto uleavyo ndivyo akuavyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo MSOMALI MS...GE HUYO.....anatutafuta WANANCHI.Mmh ya kweli hayo?
Huyo ni mjinga kupita kiasi yaani, ana hoja mbovu sana..! Ni UtopoloSielewi hata umeandika wadudu gani hapo juu.
Hivi unaelewa maana ya "kufungiwa kujihusisha na shughuli za mpira"?
Kwani huo u MC haukuwa kwenye shughuli ya mpira?
Halafu wewe ndie unajiona "mwanasheria"!! hii nchi ina mambo sana...
Jamaa huwa anajifichia kwenye kichaka cha 'mimi sina ushabiki wa Usimba wala Uyanga" lakini comments zake always zinamuumbua na kumuonesha ni mtu wa ajabu kiasi gani katika mahaba ya timu anayoishabikiaSielewi hata umeandika wadudu gani hapo juu.
Hivi unaelewa maana ya "kufungiwa kujihusisha na shughuli za mpira"?
Kwani huo u MC haukuwa kwenye shughuli ya mpira?
Halafu wewe ndie unajiona "mwanasheria"!! hii nchi ina mambo sana...
Uzuri Manara aliisha wahi kusema hata ukiwa Engineer linapokuja suala la Yanga unakuwa kama hamnazo hivi...Nilikuwa namuona Engineer Hersi anafanya mambo yake kisomi, kumbe nae hamna kitu, ameiharibu sana title yake ya "Rais wa klabu".
Mtu unajua kabisa, Manara amefungiwa kujihusisha na shughuli za mpira ndani ya Tanzania, halafu eti unadai "kumualika" kwenye shughuli yako akawe MC!.
Kwani ile haikuwa shughuli ya mpira? Kama walitaka kumualika wangemualika kwenye harusi, lakini sio kumpeleka pale uwanjani, lile lilikuwa kosa la makusudi linalostahili adhabu kali kwa wote wawili.
Kesi inaisha ki Masikhara [emoji23][emoji23][emoji23]Sasa TFF ni ya kushindana na CCM[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo kesi kinana anapiga simu moja tuuu
Ule ulikua uhuni unaochafua taswira ya nchi.
Aongezewe mingine. Mjinga sana huyo Manara.
Huyu bwana hizi sifa za kusema sio shabiki ni kujificha tu, ni Yanga kindaki ndaki, jaribu kufatilia comments katika mijadala inayohusu simba na yanga utaona mrengo wake ulipoWe nawe usijitoe ufahamu ukajivurugia sifa yako ya kutokuwa shabiki wa hizi timu
Ukishafungiwa kujihusisha na tukio lolote linalo husiana na mpira husuasani lile linalo husiana na TFF halafu ikatokea event ya mpira ukajitokeza kama MC
Hapo utakuwa umeshiriki, kwani kazi ya manara ni kucheza?
Si ndio hiyo hiyo kuongea, sasa alivyofungiwa mlitafsiri sheria kama kafungiwa kucheza?
Kama ni Usomali (uasili) hata Karia ni Msomali na mgeni rasmi ni Msomali kwahiyo Wasomali walikutana jana.Huko kinye FC wenye akili ni wawili tu.
Jk na Mzee Manara baba yake Haji
Wengine ni misukule tu na itakuja hapa sio muda mrefu.
Uhuni wa kutoheshimu mamlaka hauwezi kuvumiliwa.
Waziri anaheshimu mamlaka inakuwaje mtu baki tu unaonesha mabavu dhidi ya mamlaka?
Ingekuwa enzi za mwendazake,huyu mtu anatekwa na kuminywa korodani aache kuketa usomali hapa nchini.
Hivi anajua matokeo ya yeye kama rais wa club kama yanga kuwa kinyume na mamlaka yakoje?
Hivi anachukulia poa suala hili?Au anataka kulazimisha serikali iingilie na nchi ifungiwe na FIFA?
Hivi level ya kufikiri licha ya kutokuwa na akili kumbe ipo chini kiasi hiki?
Huyo MSOMALI MS...GE HUYO.....anatutafuta WANANCHI.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Mkuu proskaeur Nadhani wewe umemuelewa ndo maana mimi GHAZWAT nampiga mawe ya utosi mpaka aache Unafiki wake ajipambambanue ili watu wajue wanaongea na nani hapa, japo Kwangu binafsi najua kuwa huyu ni Utopolo Pure..!Jamaa huwa anajifichia kwenye kichaka cha 'mimi sina ushabiki wa Usimba wala Uyanga" lakini comments zake always zinamuumbua na kumuonesha ni mtu wa ajabu kiasi gani katika mahaba ya timu anayoishabikia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna kinyonge??Sawa endelea Dada kumkashifu maumbile yake. [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Mi nishamjua kitambo sanaHuyu bwana hizi sifa za kusema sio shabiki ni kujificha tu, ni Yanga kindaki ndaki, jaribu kufatilia comments katika mijadala inayohusu simba na yanga utaona mrengo wake ulipo