Thabo Bester maarufu 'Mbakaji wa Facebook' na Dkt. Nandipha Magudumana wakamatiwa Arusha Tanzania. Wafahamu kwa undani wapenzi hawa

Thabo Bester maarufu 'Mbakaji wa Facebook' na Dkt. Nandipha Magudumana wakamatiwa Arusha Tanzania. Wafahamu kwa undani wapenzi hawa

Nakubaliana nawe kipengele cha hawa suspects (isipokua Mr. Bester)kuwa mahakama zetu ziwahukumu kama illegals wanavyofanyiwa sio kuwapigia magoti SA na kuwarudisha, nchi yetu ni huru na sheria zake LAZIMA ziheshimiwe, kwenye magereza yetu kuna wahamiaji haramu wengi tu, na hawa wawili ni sehemu yao no favour, na pia Dr.Nandipa hana kesi kule SA,hajafunguliwa mashitaka yeyote na hii ni fact mkuu
We unajuaje kua ni wahamiaji haramu? Wao walikua wanapita kuelekea Kenya, habari za huko kwao zinasema hivyo, na lazima walikua wanapita na vibali halali, sasa uhamiaji haramu unatoka wapi
 
Kifo ni adhabu? Mbona kinatupata wote.
Wazungu wamefuta hio kitu. Leo unamhukumu mtu kufa kesho unakufa mwenyewe bila hukumu. Binadamu huwa tunajifariji tu.
Tungekuwa tunaishi milele vasi kifo kingekuwa adhabu. We don't know wgat happen after death.
... China, Iran, US kote huko wananyonga mzee sio wajinga wale! Adhabu ina pande mbili; muhimu zaidi ni kutoa onyo kwa waliobaki.
 
Huyo Doctor ni Mke wa Mtu, ana watoto 2 na Mume wake, ila alikua anamsaliti Mume wake kwa Kutembea na Msela kabla Msela hajafungwa Jela!

Coz Msela kafungwa 2012, kabla ya hapo walikua Wapenzi tayari, na Doctor akaachana na Mume wake kwa ajiri ya Msela, ila huyo mwana kitambo alikua na Michongo ya kwenda Mbele, anaenda anarudi, akifanya issue za Modeling, akaja kupata pesa nyingi (anajua mwenyewe alikozipata).

So vile alikua anajulikana ni Model na ana connection Ulaya, akawa anawadanganya Wadada kuwafanyia mpango wakawe Model Ulaya, hasa kupitia facebook, na alikua anawalenga wale high class tu, ndo hivyo akawa anawabaka wengine kuwaua, so kuna Mdada mmoja alibakwa akasalimika kuuwa huyo ndo alimfungulia kesi, na hata wakati tukio la moto linatokea, baadye Serikali kutoa taarifa kuwa aliyekufa sio yeye, bado wananchi wengi waliamini ni yeye ndo alikufa!

Doctor keshamfungulia Mashtaka Kaka ake wa kuzaliwa, kwa madai anataka kumdhuru!

Kaka ake aliitisha Mkutano na wana habari akimtuhumu Dada ake kwa kusaliti Ndoa yake, na kwamba anatumika Kuziingiza Pesa chafu za Mhalifu kwenye Mzunguko, ni kama vile Doctor alikua na Access ya pesa za Mwana, coz alianza kununua Nyumba za kifahari kwa bei mbaya!
Mwisho akamtaka Dada ake arudi kwa Mumewe...!

Cha ajabu katika Watu waliokamatwa kwa kuandaa na kutekeleza mpango wa Kuunguza Gereza, Kuua Mfungwa asiye na Hatia na kumtorosha Mhalifu, ni Baba ake Mzazi na huyo Doctor!!!
Wengi hawajui hilo wanadai eti mapenzi BIG NO kuna deal za pesa haramu ndio inawaunganisha mapenz ni geresha tu
 
We unajuaje kua ni wahamiaji haramu? Wao walikua wanapita kuelekea Kenya, habari za huko kwao zinasema hivyo, na lazima walikua wanapita na vibali halali, sasa uhamiaji haramu unatoka wapi
Kumbe wewe ni pumbavu mkubwa, hujapata Habari kuwa walikua na more than 3passports each na hazina immigrations stamps za nchi yeyote, pls uwe unapata as much as informations kuhusiana na mada husika kabla ya kuchangia
 
Naona Tanzania tume roll over kama malaya, na kumrudisha illegal immigrant Dr.Nandipa, mbona hatufanyi hivi kwa illegals wengine kutoka somalia or Ethiopia?huwa tunawapeleka kwa court of law
 
Naona Tanzania tume roll over kama malaya, na kumrudisha illegal immigrant Dr.Nandipa, mbona hatufanyi hivi kwa illegals wengine kutoka somalia or Ethiopia?huwa tunawapeleka kwa court of law

Kule kwao tayari ni fugitive. lazima uelewe sheria za kimataifa kwanza. Walitoroka so wataongezewa na makosa mengine juu hivyo ku prolong vifungo vyao
 
Kule kwao tayari ni fugitive. lazima uelewe sheria za kimataifa kwanza. Walitoroka so wataongezewa na makosa mengine juu hivyo ku prolong vifungo vyao
No mkuu fugitive ni Mr.Bester tu,Dr.Nandipa hana docket kule na hii ni fact, na inaposema international law una maana gani?,Malawi hadi leo haijamrudisha fugitives na tapering Bushiri na mke wake, wanafuata sheria zao na amini kipindi kile nchi Ina heshima Dr. Nandipa asingerudishwa SA, sio fugitive huyu
 
Acha kuchekesha. Polisi wa Tanzania anajuaje huyu mtu mgeni ni mhalifu anayetafutwa nchi jirani bila kupewa taarifa na huyo jirani mwenyewe!? Acha vioja. Wale wezi tu walioiba Cash In Transit za NBC walikuwa wanazurula tu huku askari wakila rushwa ya pesa zilizoibiwa, askari ahangaike kukamata mhalifu wa SA halafu njaa yake aiache wapi!?
Hivi unaelewa maana ya International Police we zombi?

International Police (Interpol) ni mtandao wa police kimataifa, kwa maana ya kwamba Interpol imeundwa na nchi wananchama walioridhia kuwa katika umoja huo, sisi Tz tukiwa wamoja wao.

Hivyo unavyosikia Interpol usidanganywe na movie za Hollywood eti Interpol ni wamarekani tu ndo huwa wanatoka US wanaenda Cambodia, wanaenda South Africa, wanakuja Somalia, wanaenda Urusi kukamata wahalifu, never! Zombi wewe!

Nchi zote wanachama wa Interpol zina haki sawa ya kuchangia nguvukazi katika umoja na kwa hapa kwetu Tz unaposikia Interpol wa Tanzania elewa ni hawa hawa askari police wa Tz unaowaona ila wao wamewekwa kitengo cha Interpol kipo pale jengo la police Mkoa Wa Dodoma pembeni ya makao makuu ya Police Tz. Hawa askari wao wanashughulikia masuala yote ya uhalifu unaovuka mipaka ya nchi kwa kushirikiana na Interpol wa mataifa mengine, usifikiri Interpol ni wazungu tu mshamba ww

CC: kina kirefu , Bia Ya Moto
 
Polisi wanashea taarifa za kihalifu hasa uhalifu unaovuka mipaka kama uharamia,biashara ya silaha,usafirishaji binadamu kwa njia za panya nk,na katika kusimamia hilo inakuwepo kanzidata ya wahalifu wote wanaotafutwa ambapo kupitia Kitengo cha Interpol kila nchi taarifa hizo hufika na kufanyiwa kazi na Polisi wa nchi hiyo husika.
Hilo jamaa ni zombi, likisikia interpol sijui linajua ni wazungu kutoka marekani, halijui nchi zote wanachama wa interpol zinatumia hao hao local police wake kufanya kazi za interpol kwa maana ya kwamba wapo katika kitengo cha police wa kimataifa na wanafanya kazi kwa kushirikiana na interpol wa nchi nyingine
 
Hivi unaelewa maana ya International Police we zombi?

International Police (Interpol) ni mtandao wa police kimataifa, kwa maana ya kwamba Interpol imeundwa na nchi wananchama walioridhia kuwa katika umoja huo, sisi Tz tukiwa wamoja wao.

Hivyo unavyosikia Interpol usidanganywe na movie za Hollywood eti Interpol ni wamarekani tu ndo huwa wanatoka US wanaenda Cambodia, wanaenda South Africa, wanakuja Somalia, wanaenda Urusi kukamata wahalifu, never! Zombi wewe!

Nchi zote wanachama wa Interpol zina haki sawa ya kuchangia nguvukazi katika umoja na kwa hapa kwetu Tz unaposikia Interpol wa Tanzania elewa ni hawa hawa askari police wa Tz unaowaona ila wao wamewekwa kitengo cha Interpol kipo pale jengo la police Mkoa Wa Dodoma pembeni ya makao makuu ya Police Tz. Hawa askari wao wanashughulikia masuala yote ya uhalifu unaovuka mipaka ya nchi kwa kushirikiana na Interpol wa mataifa mengine, usifikiri Interpol ni wazungu tu mshamba ww

CC: kina kirefu , Bia Ya Moto
Zombi mume wako, maku wewe.
 
T

Taa moja ya gari haikuwa inawaka, interpol wakamng'ang'ania, akajitetea kuwa taa imeharibika tu maana alikua hajagundua mpaka walipomsimamisha, akaomba wamruhusu aende maana ilikua ni usiku sana na alikua akitoka harusini. Jamaa wakagoma, wakamtishatisha, baadaye , wakaamua kumpeleka Kituoni, maana aligoma kusomeka. Kufika Kituoni ndiyo mkuu wake anastuka na kumshtua yule kamaa kuhusu aliyemkamata, jamaa akatokomea, yule mkuu akaomba msamaha na kuagiza askari wamrudishe hadi nyumbani
We mshamba elewa dhana ya Interpol usituletee mambo ya movies zako za Hollywood hapa

Hakuna interpol wa hapa Tz anayepiga doria., mshamba wewe. Hivi unaelewa kwanza maana ya interpol we zombi?

Nikutaarifu tu we mwanamama, jeshi la police Tz askari waliopo kitengo cha interpol hawazidi 50, nao ni kama tu coordinators na Interpol wa nchi nyingine.

Ishu huwa hivi, mfano gaidi katoroka Misri, na Misri ni mwanachama wa Interpol, watashea taarifa Interpol dunia, hivyo taarifa hizo zitapokewa na kila nchi mwanachama wa Interpol, na kwa hapa kwetu Tz taarifa hizo pia zitapokewa makao makuu ya police na askari police hawa hawa unaowajua lakini waliopo kitengo cha Interpol (Fahamu kwa hapa kwetu hicho ni kitengo tu kama vitengo vingne ndani ya police).

Wakishapokea taarifa hizo hicho kitengo cha Interpol kitashea taarifa hizo na makao ambao watatoa maelekezo kwa kamandi zote kumhusu mhalifu na kazi itafanywa na local police. Mhalifu akikamatwa atakabidhiwa kwa kitengo cha Interpol kuendelea na taratibu zingine ambapo watawasiliana na interpol wenzao wa misri kuona namna ya kumkabidhi jambazi mwenzako. Hapo hakuna mzungu aliyekuja Tz kukamata, hakuna mama wala baba yako mnayeangalia nae movie za Hollywood aliyekuja na mabunduki
 
We mshamba elewa dhana ya Interpol usituletee mambo ya movies zako za Hollywood hapa

Hakuna interpol wa hapa Tz anayepiga doria., mshamba wewe. Hivi unaelewa kwanza maana ya interpol we zombi?

Nikutaarifu tu we mwanamama, jeshi la police Tz askari waliopo kitengo cha interpol hawazidi 50, nao ni kama tu coordinators na Interpol wa nchi nyingine.

Ishu huwa hivi, mfano gaidi katoroka Misri, na Misri ni mwanachama wa Interpol, watashea taarifa Interpol dunia, hivyo taarifa hizo zitapokewa na kila nchi mwanachama wa Interpol, na kwa hapa kwetu Tz taarifa hizo pia zitapokewa makao makuu ya police na askari police hawa hawa unaowajua lakini waliopo kitengo cha Interpol (Fahamu kwa hapa kwetu hicho ni kitengo tu kama vitengo vingne ndani ya police).

Wakishapokea taarifa hizo hicho kitengo cha Interpol kitashea taarifa hizo na makao ambao watatoa maelekezo kwa kamandi zote kumhusu mhalifu na kazi itafanywa na local police. Mhalifu akikamatwa atakabidhiwa kwa kitengo cha Interpol kuendelea na taratibu zingine ambapo watawasiliana na interpol wenzao wa misri kuona namna ya kumkabidhi jambazi mwenzako. Hapo hakuna mzungu aliyekuja Tz kukamata, hakuna mama wala baba yako mnayeangalia nae movie za Hollywood aliyekuja na mabunduki
Dah, we jamaa maandazi kweli. Sasa unayemsimulia hayo ambaye hajui ni nani? Tatizo mnasoma juu juu bila kuelewa kina cha hoja.
Hebu onyesha niliposema askari wa Interpol ndiyo walioenda kuwakamata hao jamaa?
Inawazekana ukawa na matatizo ya kiakili, lakini acha niende na wewe hivyohivyo, maana hii ni sehemu huru ya watu kuweka wazi mawazo yao na wewe umetuonyesha kilichoyajaza mawazo yako ni hicho umekiandika.
Halafu wanaume timamu huwa hawawi na tabia ya kuongea wakitukana kama wewe, hizi ni tabia za Mashoga. Wanaume siku zote ni watulivu na huongea bila hisia za kuhemushwa. Kwa hilo nakupa pole sana. Unahitaji therapist
 
Kumbe wewe ni pumbavu mkubwa, hujapata Habari kuwa walikua na more than 3passports each na hazina immigrations stamps za nchi yeyote, pls uwe unapata as much as informations kuhusiana na mada husika kabla ya kuchangia
We fala, nyaanoko, kwa maoni yako ya kipumbavu uliyokua ukisema yameishia wapi? Mbona mpaka sasa wahalifu wako kwao, mwanamke yuko lumande, mtuhumiwa yuko gerezani, na G4S kama kampuni ya ulinzi wa gereza alilotoroka wanajibu kwa nn mtuhumiwa aliondoka kwao, shenzi we unajifanya unajua kila kitu na hauna lolote, mshamba mkubwa
 
We fala, nyaanoko, kwa maoni yako ya kipumbavu uliyokua ukisema yameishia wapi? Mbona mpaka sasa wahalifu wako kwao, mwanamke yuko lumande, mtuhumiwa yuko gerezani, na G4S kama kampuni ya ulinzi wa gereza alilotoroka wanajibu kwa nn mtuhumiwa aliondoka kwao, shenzi we unajifanya unajua kila kitu na hauna lolote, mshamba mkubwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
View attachment 2581457

Jeshi la polisi Tanzania limewakamata mbakaji maarufu wa Afrika Kusini, Thabo
Bester, na mpenzi wake Dokta Nandipa Magudumana.

Stori ikoje?

2000s Thabo Bester alikuwa anabaka, kupora vitu, na kuwauwa wanawake ambao alikuwa anawatongoza kupitia mitandao ya kijamii. Alikua anaangalia wenye magari na vitu vya thamani.

2012 akafungwa miaka 50 gerezani.

2013 Nandipha ambaye ni daktari wa watoto aliolewa na bwana Oscar Magudumana na wakazaa watoto wawili. Wakatengana bila kupeana talaka; wakati huo dokta alikuwa kashazama penzini na mhuni Bester anayeny** debe gerezani. Yaani walianza mahusiano akiwa bado kwenye ndoa.

Kulingana na ripoti, Bester alikuwa akiwasiliana na Dk Nandipha akiwa bado gerezani. Mrembo akasuka mpango wa kutafuta mahali pa kujificha akitoroka gerezani.

2020, Septemba, Mrembo huyo alikodi nyumba kupitia kampuni ya 4Tune Property Smiths; mkataba ukawa na majina yake na mumewe Bester (ila jina likaandikwa lingine na kazi ikawa ni mtaalamu anayefanya kazi ulaya). Kodi ilikuwa ni Tshs Milioni 5 kwa mwezi (R 4000).

2021 Mei, Kakake Dk. Nandipha, Nkosinathi Sekeleni, alimtuhumu kwa kumsaliti mumewe na kulala na mbakaji Bester. akamtuhumu pia kuwa anatakatisha fedha za Bester kupitia kampuni yake ya Optimum Medical Solutions. Dokta akafungua kesi mahakamani ya kuharibiwa jina na kutishiwa kuuwawa na kaka yake.

2022, Mei, ulitokea moto gerezani na Bester akajumuishwa kuwa mmoja ya waliochomwa vibaya na kufariki.

Dokta Nandipha alienda kudai mabaki ya Bester ayazike akiwa kama "mke wake wa sheria ya kimila".

2022, Juni, kuna watu waliwatonya Polisi Afrika Kusini kuwa mfungwa aliyedhaniwa kuwa amefia kwenye moto gerezani yuko anafanya shopping ya nguo akiwa na dokta Nandipha. Msako ndio ukaanza.

2022, Mwishoni, Nandipa alinunua gari la kifahari la Tshs milioni 170 na akaliendesha mpaka mpaka wa Zimbabwe kisha akalitelekeza huko.

2023, Aprili, Thabo Bester, Dokta Nandipa Magudumana pamoja na mwingine ambaye inasemekana ni mfanyakazi wa dokta wakakamatwa Tanzania wakitoroka.
------------
Mapenzi.

Hii inanikumbusha mapenzi ya bonnie &clyde majambazi waliokua wapenzi na wakapendana sana miaka mingi huko Marekani
 
Back
Top Bottom