Thabo Bester maarufu 'Mbakaji wa Facebook' na Dkt. Nandipha Magudumana wakamatiwa Arusha Tanzania. Wafahamu kwa undani wapenzi hawa

Thabo Bester maarufu 'Mbakaji wa Facebook' na Dkt. Nandipha Magudumana wakamatiwa Arusha Tanzania. Wafahamu kwa undani wapenzi hawa

Huyo Doctor ni Mke wa Mtu, ana watoto 2 na Mume wake, ila alikua anamsaliti Mume wake kwa Kutembea na Msela kabla Msela hajafungwa Jela!

Coz Msela kafungwa 2012, kabla ya hapo walikua Wapenzi tayari, na Doctor akaachana na Mume wake kwa ajiri ya Msela, ila huyo mwana kitambo alikua na Michongo ya kwenda Mbele, anaenda anarudi, akifanya issue za Modeling, akaja kupata pesa nyingi (anajua mwenyewe alikozipata).

So vile alikua anajulikana ni Model na ana connection Ulaya, akawa anawadanganya Wadada kuwafanyia mpango wakawe Model Ulaya, hasa kupitia facebook, na alikua anawalenga wale high class tu, ndo hivyo akawa anawabaka wengine kuwaua, so kuna Mdada mmoja alibakwa akasalimika kuuwa huyo ndo alimfungulia kesi, na hata wakati tukio la moto linatokea, baadye Serikali kutoa taarifa kuwa aliyekufa sio yeye, bado wananchi wengi waliamini ni yeye ndo alikufa!

Doctor keshamfungulia Mashtaka Kaka ake wa kuzaliwa, kwa madai anataka kumdhuru!

Kaka ake aliitisha Mkutano na wana habari akimtuhumu Dada ake kwa kusaliti Ndoa yake, na kwamba anatumika Kuziingiza Pesa chafu za Mhalifu kwenye Mzunguko, ni kama vile Doctor alikua na Access ya pesa za Mwana, coz alianza kununua Nyumba za kifahari kwa bei mbaya!
Mwisho akamtaka Dada ake arudi kwa Mumewe...!

Cha ajabu katika Watu waliokamatwa kwa kuandaa na kutekeleza mpango wa Kuunguza Gereza, Kuua Mfungwa asiye na Hatia na kumtorosha Mhalifu, ni Baba ake Mzazi na huyo Doctor!!!

Duh!! Dunia ina mambo sana!
 
Demu fight huyo, sio hawa matapeli wetu kila kukicha invoice kwenye majangaaa anakula hivi au hata anakuletea msala
Fighter wapi kilichokuwa kinamzuzua pesa za huyo bester. Huyo bester akiwa gerezani alikuwa anaendesha kampuni ya utapeli akijidai ni investor yuko newyork akishirikiana na huyo demu. Hiyo kampuni ya mambo ya real estate pia imepiga pesa za watu kwa mamilion ya dollar. Pia report zinaonyesha hata kabla ya kutoroka jamaa alikuwa anaingia gerezani na kutoka na hiyo nyumba demu aliyopanga kukaa na jamaa ilikuwa karibu na yalipo makazi ya raisi cyril.
Bester ana pesa nyingi ya upigaji ndio maana demu anamwelewa ila ndio demu mwenyewe kajiharibia maisha. Nilikuwa nasoma comments za wasouth wanasema background ya demu ni kwa kazaliwa ushagoo mjini ni wakuja ndio maana kazuzuka na mtu kama bester hadi kuharibu career yake
 
Fighter wapi kilichokuwa kinamzuzua pesa za huyo bester. Huyo bester akiwa gerezani alikuwa anaendesha kampuni ya utapeli akijidai ni investor yuko newyork akishirikiana na huyo demu. Hiyo kampuni ya mambo ya real estate pia imepiga pesa za watu kwa mamilion ya dollar. Pia report zinaonyesha hata kabla ya kutoroka jamaa alikuwa anaingia gerezani na kutoka na hiyo nyumba demu aliyopanga kukaa na jamaa ilikuwa karibu na yalipo makazi ya raisi cyril.
Bester ana pesa nyingi ya upigaji ndio maana demu anamwelewa ila ndio demu mwenyewe kajiharibia maisha. Nilikuwa nasoma comments za wasouth wanasema background ya demu ni kwa kazaliwa ushagoo mjini ni wakuja ndio maana kazuzuka na mtu kama bester hadi kuharibu career yake
Demu ni risk taker..
 
Bongo Muvi wangekuwa na jicho la kuona mbali, wangechangamkia hii kesi kwa kutengeneza muvi kali na ya kusisimua sana kuhusiana na hili sakata la Dokta na jamaa yake mbakaji.

Muhimu tu polisi na magereza, watoe ushirikiano kwenye ishu ya majengo yao, na pia kutoa wataalam wa kusaidia hiyo muvi.

Ila kwa bahati mbaya ndiyo hivyo tena! Muda huu watakuwa wanasubiria tu 2025 ifike, ili watumiwe na ccm kwenye kampeni za uchaguzi mkuu kwa malipo kiduchu.
Si wamechukua mikopo ya 40m kwa ajili ya kutengeneza movie kali au washanunua masimu ya gharama na uchafu mwingine?
 
Si wamechukua mikopo ya 40m kwa ajili ya kutengeneza movie kali au washanunua masimu ya gharama na uchafu mwingine?
Kwa aina ya akili zao zilivyo, ni wachache tu ndiyo wataitumia hiyo mikopo kwa matumizi sahihi. The rest wataitumia ndivyo isivyo.

Labda wapate semina elekezi kabla ya kukopeshwa.
 
Fighter wapi kilichokuwa kinamzuzua pesa za huyo bester. Huyo bester akiwa gerezani alikuwa anaendesha kampuni ya utapeli akijidai ni investor yuko newyork akishirikiana na huyo demu. Hiyo kampuni ya mambo ya real estate pia imepiga pesa za watu kwa mamilion ya dollar. Pia report zinaonyesha hata kabla ya kutoroka jamaa alikuwa anaingia gerezani na kutoka na hiyo nyumba demu aliyopanga kukaa na jamaa ilikuwa karibu na yalipo makazi ya raisi cyril.
Bester ana pesa nyingi ya upigaji ndio maana demu anamwelewa ila ndio demu mwenyewe kajiharibia maisha. Nilikuwa nasoma comments za wasouth wanasema background ya demu ni kwa kazaliwa ushagoo mjini ni wakuja ndio maana kazuzuka na mtu kama bester hadi kuharibu career yake
Huyu dada hata kama ni u risk taker sio wa design hii imagine watoto wake maskini watakuwa bila mama
 
Hii inanikumbusha mapenzi ya bonnie &clyde majambazi waliokua wapenzi na wakapendana sana miaka mingi huko Marekani

Huyu dada hata kama ni u risk taker sio wa design hii imagine watoto wake maskini watakuwa bila mama
Halafu now wamevujisha voice note ya bester eti akiwa anamtishia asipofanya anachotaka ana watu nje ya gereza watamshughulikia eti ni vn ya wakati bester akiwa bado hajatoroka.
Yani wanatengeneza mazingira iwe kuwa alikuwa victim.
Hawa watu wanajua what they are doing.
Na ukiachilia mbali hilo, huyu dada alihusika kuiba maiti 3 ambapo moja alidai ni maiti ya baba yake akaenda kuitupa mtoni, na moja aliizika kwake na moja ndo ikatumika kuchomwa moto. Kisha baada ya tukio la moto akaenda kuidai eti maiti ya mumewe ambaye ni bester akaienda kuifanyia mazishi ya kuichoma moto kisha kudai insurance.
Hawa jamaa ni criminals wa kiwango cha movie ya netflix
 
Hata mkeo ukitaka akuelewe usimpelekee moto kama mke,mpelekee kama kahaba chumba na kitanda akione chamoto hutapata usumbufu
 
View attachment 2581457

Jeshi la polisi Tanzania limewakamata mbakaji maarufu wa Afrika Kusini, Thabo
Bester, na mpenzi wake Dokta Nandipa Magudumana.

Stori ikoje?

2000s Thabo Bester alikuwa anabaka, kupora vitu, na kuwauwa wanawake ambao alikuwa anawatongoza kupitia mitandao ya kijamii. Alikua anaangalia wenye magari na vitu vya thamani.

2012 akafungwa miaka 50 gerezani.

2013 Nandipha ambaye ni daktari wa watoto aliolewa na bwana Oscar Magudumana na wakazaa watoto wawili. Wakatengana bila kupeana talaka; wakati huo dokta alikuwa kashazama penzini na mhuni Bester anayeny** debe gerezani. Yaani walianza mahusiano akiwa bado kwenye ndoa.

Kulingana na ripoti, Bester alikuwa akiwasiliana na Dk Nandipha akiwa bado gerezani. Mrembo akasuka mpango wa kutafuta mahali pa kujificha akitoroka gerezani.

2020, Septemba, Mrembo huyo alikodi nyumba kupitia kampuni ya 4Tune Property Smiths; mkataba ukawa na majina yake na mumewe Bester (ila jina likaandikwa lingine na kazi ikawa ni mtaalamu anayefanya kazi ulaya). Kodi ilikuwa ni Tshs Milioni 5 kwa mwezi (R 4000).

2021 Mei, Kakake Dk. Nandipha, Nkosinathi Sekeleni, alimtuhumu kwa kumsaliti mumewe na kulala na mbakaji Bester. akamtuhumu pia kuwa anatakatisha fedha za Bester kupitia kampuni yake ya Optimum Medical Solutions. Dokta akafungua kesi mahakamani ya kuharibiwa jina na kutishiwa kuuwawa na kaka yake.

2022, Mei, ulitokea moto gerezani na Bester akajumuishwa kuwa mmoja ya waliochomwa vibaya na kufariki.

Dokta Nandipha alienda kudai mabaki ya Bester ayazike akiwa kama "mke wake wa sheria ya kimila".

2022, Juni, kuna watu waliwatonya Polisi Afrika Kusini kuwa mfungwa aliyedhaniwa kuwa amefia kwenye moto gerezani yuko anafanya shopping ya nguo akiwa na dokta Nandipha. Msako ndio ukaanza.

2022, Mwishoni, Nandipa alinunua gari la kifahari la Tshs milioni 170 na akaliendesha mpaka mpaka wa Zimbabwe kisha akalitelekeza huko.

2023, Aprili, Thabo Bester, Dokta Nandipa Magudumana pamoja na mwingine ambaye inasemekana ni mfanyakazi wa dokta wakakamatwa Tanzania wakitoroka.
------------
Mapenzi.


Graphic yako inasababisha mtu amkumbuke ripota mwingine wa online.

Buni kitu kipya
 
We fala, nyaanoko, kwa maoni yako ya kipumbavu uliyokua ukisema yameishia wapi? Mbona mpaka sasa wahalifu wako kwao, mwanamke yuko lumande, mtuhumiwa yuko gerezani, na G4S kama kampuni ya ulinzi wa gereza alilotoroka wanajibu kwa nn mtuhumiwa aliondoka kwao, shenzi we unajifanya unajua kila kitu na hauna lolote, mshamba mkubwa
Basi baba msamehe amekosa.
 
Basi baba msamehe amekosa.
Hawa wapuuzi wanaojifanyaga wanaandika KiswaEnglish humu ni wale wameendaga kwenye vishule fulani halafu hawana akili, ndiyo alivyo huyo punguani, we panda juu uone michango yake utaelewa
 
Tembea ukijipiga kifua Tanzania ina jeshi imara la polisi" in magufuli voice
khiii
JamiiForums-2043058772.jpg
 
View attachment 2581457

Jeshi la polisi Tanzania limewakamata mbakaji maarufu wa Afrika Kusini, Thabo
Bester, na mpenzi wake Dokta Nandipa Magudumana.

Stori ikoje?

2000s Thabo Bester alikuwa anabaka, kupora vitu, na kuwauwa wanawake ambao alikuwa anawatongoza kupitia mitandao ya kijamii. Alikua anaangalia wenye magari na vitu vya thamani.

2012 akafungwa miaka 50 gerezani.

2013 Nandipha ambaye ni daktari wa watoto aliolewa na bwana Oscar Magudumana na wakazaa watoto wawili. Wakatengana bila kupeana talaka; wakati huo dokta alikuwa kashazama penzini na mhuni Bester anayeny** debe gerezani. Yaani walianza mahusiano akiwa bado kwenye ndoa.

Kulingana na ripoti, Bester alikuwa akiwasiliana na Dk Nandipha akiwa bado gerezani. Mrembo akasuka mpango wa kutafuta mahali pa kujificha akitoroka gerezani.

2020, Septemba, Mrembo huyo alikodi nyumba kupitia kampuni ya 4Tune Property Smiths; mkataba ukawa na majina yake na mumewe Bester (ila jina likaandikwa lingine na kazi ikawa ni mtaalamu anayefanya kazi ulaya). Kodi ilikuwa ni Tshs Milioni 5 kwa mwezi (R 4000).

2021 Mei, Kakake Dk. Nandipha, Nkosinathi Sekeleni, alimtuhumu kwa kumsaliti mumewe na kulala na mbakaji Bester. akamtuhumu pia kuwa anatakatisha fedha za Bester kupitia kampuni yake ya Optimum Medical Solutions. Dokta akafungua kesi mahakamani ya kuharibiwa jina na kutishiwa kuuwawa na kaka yake.

2022, Mei, ulitokea moto gerezani na Bester akajumuishwa kuwa mmoja ya waliochomwa vibaya na kufariki.

Dokta Nandipha alienda kudai mabaki ya Bester ayazike akiwa kama "mke wake wa sheria ya kimila".

2022, Juni, kuna watu waliwatonya Polisi Afrika Kusini kuwa mfungwa aliyedhaniwa kuwa amefia kwenye moto gerezani yuko anafanya shopping ya nguo akiwa na dokta Nandipha. Msako ndio ukaanza.

2022, Mwishoni, Nandipa alinunua gari la kifahari la Tshs milioni 170 na akaliendesha mpaka mpaka wa Zimbabwe kisha akalitelekeza huko.

2023, Aprili, Thabo Bester, Dokta Nandipa Magudumana pamoja na mwingine ambaye inasemekana ni mfanyakazi wa dokta wakakamatwa Tanzania wakitoroka.
------------
Mapenzi.


Huyu demu anaonekana kamą ni mgonjwa wa akili
 
Thabo bester ambaye anafahamika kama mbakaji wa Facebook alipata umaarufu South Africa baada ya kukakamatwa kutokana na tukio la kumbaka na kumuua mpenzi wake mwanamitindo maarufu Namfundo

Bester alikuwa na tabia ya kutumia Facebook kuwarubuni wasichana kuwa atawasaidia kuwa wanamitindo WA kimataifa na mwisho kuishia kuwabaka na kuwaua.

Alitoroka jela mwaka 2022 alikokuwa akitumikia kifungo cha maisha baada ya kudanganya kifo chake , ilipita mwaka na dunia ilipatwa na mshituko baada ya kukamatwa April 2023 nchini Tanzania.

Taifa la Tanzania na viunga vyake ilipatwa mshituko kutokana kutowahi kuona tukio kama ilo na wasifu WA bwana thabo ambao unaonyesha ni mtu hatari zaidi kutokana na uharifu aliowatendea waliokumbana Naye na hafai kabisa kwa jamii.

Mwaka 2022 march ililipotiwa bwana bester amekufa Kwa moto kwenye chumba chake akiwa gereza la Mangaung correctional center karibu na Bloemfontein na iliiaminika amekufa mpaka alipodakwa April 2023 nchini Tanzania mkoani Arusha akiwa na mpenzi wake ambaye ni Dr Magudumana .aliyemsaidia kutoroka gerezani Kwa kudanganya kifo chake na ndiye aliyechora mchoro wote Kwa kuingiza mwili WA mtu aliyekufa tayari gerezani na Kisha kuwasha moto chumba na Kisha kuwaaminisha walinzi WA ilo gereza lenye ulinzi mkali kuwa mwili ni wa Thabo.

Ule mwili ulikuja kugundulika sio wa Thabo baada ya vipimo vya DNA kufanyika na harakati za kumsaka ndo zilipoanzia.

Thabo alikuwa ni mtu anayejimudu kifedha Kwa sababu alikuwa na kampuni ya kitapeli ya ujenzi aliyoianzisha Kwa ushirikiano na mpenzi WAke Dr.Nandipa Magudumana ambayo walikuwa wakiwahaidi kuwahudumia watu vifaa vya ujenzi na wakilipia hawahudumii, jamaa alikuwa na utajiri unaokadiliwa $500k za kimarekani na ndizo alizotumia kutekeleza uharifu wake.

Haifaamiki kama nandipha kama ni mke wake halali WA ndoa na taarifa za familia Yao hazifahamiki sana.

Baada ya kukamatwa walisafilishwa kuelekea south Africa ambapo wanaendelea kusikiliza hukumu zao kabla ya kurudisha gerezani Kwa kupigwa miaka ya kutosha kutokana na kuongeza makosa zaidi tofauti na awali.

images.jpeg
 
Mimi nahitaji kujua Thabo na Nandipha walikutana vipi hadi kua na mahusiano moto moto wakati Nandipha alikua kaolewa na Thabo alikua gerezani???
 
Back
Top Bottom