Shezanempress
JF-Expert Member
- Dec 28, 2022
- 311
- 343
Huyo Doctor ni Mke wa Mtu, ana watoto 2 na Mume wake, ila alikua anamsaliti Mume wake kwa Kutembea na Msela kabla Msela hajafungwa Jela!
Coz Msela kafungwa 2012, kabla ya hapo walikua Wapenzi tayari, na Doctor akaachana na Mume wake kwa ajiri ya Msela, ila huyo mwana kitambo alikua na Michongo ya kwenda Mbele, anaenda anarudi, akifanya issue za Modeling, akaja kupata pesa nyingi (anajua mwenyewe alikozipata).
So vile alikua anajulikana ni Model na ana connection Ulaya, akawa anawadanganya Wadada kuwafanyia mpango wakawe Model Ulaya, hasa kupitia facebook, na alikua anawalenga wale high class tu, ndo hivyo akawa anawabaka wengine kuwaua, so kuna Mdada mmoja alibakwa akasalimika kuuwa huyo ndo alimfungulia kesi, na hata wakati tukio la moto linatokea, baadye Serikali kutoa taarifa kuwa aliyekufa sio yeye, bado wananchi wengi waliamini ni yeye ndo alikufa!
Doctor keshamfungulia Mashtaka Kaka ake wa kuzaliwa, kwa madai anataka kumdhuru!
Kaka ake aliitisha Mkutano na wana habari akimtuhumu Dada ake kwa kusaliti Ndoa yake, na kwamba anatumika Kuziingiza Pesa chafu za Mhalifu kwenye Mzunguko, ni kama vile Doctor alikua na Access ya pesa za Mwana, coz alianza kununua Nyumba za kifahari kwa bei mbaya!
Mwisho akamtaka Dada ake arudi kwa Mumewe...!
Cha ajabu katika Watu waliokamatwa kwa kuandaa na kutekeleza mpango wa Kuunguza Gereza, Kuua Mfungwa asiye na Hatia na kumtorosha Mhalifu, ni Baba ake Mzazi na huyo Doctor!!!
Duh!! Dunia ina mambo sana!