Omary Ndama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2017
- 3,367
- 4,067
Ajenda ya NWO Ni ndefu Sana ukikubaliana na masharti yao hayo yooote unayozungumza ndivyo yanavyokuwa....nchi inapaa kiuchumi huku mnapoteza vizazi vya Asili....hapa tatizo Ni kupambana na Population tu...Shemales, trannies, ladyboys, trans gender wote wanafaha kwa kutumiwa kwenye sex tourism...... Tungetumia TZ tungepata sana fedha za kigeni
Hahaha..Sky hao watalii wenyewe wengi ni ma mtu ya hovyo hovyo yanatafuta sehemu za kufanyia ufirauniSi mmenunua Dreamliner ya kuleta watalii, subirini mziki wake
Kwa hiyo ukienda Japan unajipigia tu mabinti?!Daah inasikitisha sana...
Kama vile vijana wa kiume wa kiJapan wanvyoogopa wanawake... Hawajishugulishi kabisa na ngono...
Cc: mahondaw
Apa kuna ka ukweli Fulani.halafu hii thailand dini ya pili kwa idadi kubwa ya waumini ni uislamu. ya kwanza ni buddhism 94.50% ya pili ni islam 4.29%.
tumekuwa tukiaminishwa kwamba mashoga wengi hutokea ktk mataifa ya kikristo.
nilipita Bangkok nikielekea Philippines nikiwa na etihad airways ndege ilipata tatizo tulilala hotel moja nilijionea u sodomaNchi za wenzetu.mwanaume anaona aibu kumuaga mkewe eti anaenda bangkok sababu kumejaa umalaya
Mbona hapa.dar ni jambo la kawaidaa saana yaan kwenye clubs mpka wanaboaakwa sasa ushoga ni janga la kidunia kama ilivyo uraibu wa dawa za kulevya.
lengo la wazungu washenzi wa magharibi linaenda kutimia maana lengo lao la kwanza lilikuwa ni kufanya ushoga uzoeleke midomomi mwa watu ili uchukuliwe kama jambo la kawaida.
halafu hii thailand dini ya pili kwa idadi kubwa ya waumini ni uislamu. ya kwanza ni buddhism 94.50% ya pili ni islam 4.29%.
tumekuwa tukiaminishwa kwamba mashoga wengi hutokea ktk mataifa ya kikristo.
Unatafuta urudi jukwaa la Kenyahata ufilipino nako ni majanga.wanaume wao wengi wao ni mashoga.