Hakuna kitu kama hicho kwasababu walikuwa wanashiriki mashindano tofauti na yenye hadhi tofauti.Kimataifa
Yanga kafanikiwa kuliko Simba msimu huu
Kwahiyo yanga analo kombe tayari?Shirikisho Simba tumezidiwa na Yanga.
Makombe ni ufahari, kwenye kabati watu wamaangalia makombe
Wakiuliza makombe ya kimataifa haijalishi lipi
Mkuu naona unaiongelea Wydad utadhani ni polisi Tz.Kwa macho nimeshuhudia wakipoteza muda,
Jibu swali acha maneno mengiWakati tunacheza confederation wewe ulikuwa wapi?
Kwahio Simba anashiriki champions League ipi?Hakuna walicho izidi simba maana kombe walio kuwa wanashiriki wote Yanga alitolewa mapema sana kabla ya Simba.
Mashindano aliyo kuwa anashiriki Simba na anayo shiriki Yanga kwa sasa ni tofauti na yana hadhi ya tofauti na mashindano anayo shiriki Yanga kwa sasa yana hadhi ya chini.
Sasa wewe mbwiga Azam CAFC ina shilling ngapi? kwanini mna komaa nayo?Hela ya kuingia robo fainali klabu bingwa Ni nyingi kuliko aliyebeba ubingwa wa shirikisho.
Hili Ni jukwaa la michezo.Na haha ulikuwa huyajui.
Ingekua huteseki ZAIDI na ZAIDI na kuumia ungepiga TU kimya.
Kitendo Cha kukomenti hivyo maana yake unateseka mno
Hawana akili hawa mbumbumbuWewe ni mpumbavu, there is money and crown, it is not all about money, na pia, kukosa 1bn sio sababu ya kuacha kuitafuta 500m, hauoni kama unaongea ujinga?
Ina maana simba ingekuwa ina nafasi ya kuendelea na shirikisho sasa hivi wangeacha? Mbona wanahangaika na ligi kuu Tanzania bara na Azam?
Mbona ujafananisha hilo kombe na ligi kuu na Azam, shida ni pale simba inapoweka malengo yake kama ni mashindano na Yanga, ndo maana wanafeli.
Cha msingi mmetoka hayo mengine ni ngonjeraKwahiyo yanga analo kombe tayari?
Tungejudge kama Zote simba na Yanga zingekuwa zimeshiriki Shirikisho msimu husika.
Lakini iweje tusitumie kigezo cha Club Bingwa ambacho wote wameshiriki na Mwingine kuondolewa.
Lakini yule aliyoondolewa anaonekana bora kuliko aliyekaza.
Kiliwakuta nini yanga mpaka wakafika Shirikisho.
Simba imetolewa robo fainal ya champion league na yanga imeshatolewa kitambo Champion league sasa unailinganishaje simba na yanga kwa kigezo cha kombe la shirikisho hali ya kuwa Simba hakushiriki kwenye hilo kombe?Kwahio Simba anashiriki champions League ipi?
Swali liko wapi?Jibu swali acha maneno mengi
Na nyie mshachukua Shirikisho HongeraCha msingi mmetoka hayo mengine ni ngonjera
Tupo semi finalNa nyie mshachukua Shirikisho Hongera
Last season umecheza kombe la loser ulifika wapi?Swali liko wapi?
Unaumwa eehMwajuma elewa kuwa Man City anawinda apate kombe lolote la kimataifa haijalishi ni Europa, Eufa, Conference
kifupi wote wametoka tu kama Nyasa bullet's, Zalan, Vipers , RajaSimba imetolewa robo fainal ya champion league na yanga imeshatolewa kitambo Champion league sasa unailinganishaje simba na yanga kwa kigezo cha kombe la shirikisho hali ya kuwa Simba hakushiriki kwenye hilo kombe?
Simba na yanga wanatakiwa walinganishwe kwa kigezo champion league kwa sababu ndo kombe ambalo walishiriki wote.
Hiyo ni last season, kama tutazungumzia last season should be, last season vs last season.Last season umecheza kombe la loser ulifika wapi?
Vs ya nini nmekuuliza last season umecheza kombe lipi uliishia wapiHiyo ni last season, kama tutazungumzia last season should be, last season vs last season.
Kama ni this season iwe hivyo.
Unatumia Simba ya Last season kufananisha na Yanga ya mwaka huu?Vs ya nini nmekuuliza last season umecheza kombe lipi uliishia wapi