Thamani (Value) ya Kombe la CAF Champion v/s CAF Confederation

Thamani (Value) ya Kombe la CAF Champion v/s CAF Confederation

Kimataifa
Yanga kafanikiwa kuliko Simba msimu huu
Hakuna kitu kama hicho kwasababu walikuwa wanashiriki mashindano tofauti na yenye hadhi tofauti.
Na bora yanga wangeenda moja kwa moja shirikisho tangu mwanzo ningekuelewa lakini kitendo cha kutolewa kilabu bingwa na kutupwa shirikisho kinaonesha kuwa bado yanya haina ubora kama watu wanavyo tuaminisha?
 
Shirikisho Simba tumezidiwa na Yanga.
Makombe ni ufahari, kwenye kabati watu wamaangalia makombe
Wakiuliza makombe ya kimataifa haijalishi lipi
Kwahiyo yanga analo kombe tayari?
Tungejudge kama Zote simba na Yanga zingekuwa zimeshiriki Shirikisho msimu husika.
Lakini iweje tusitumie kigezo cha Club Bingwa ambacho wote wameshiriki na Mwingine kuondolewa.
Lakini yule aliyoondolewa anaonekana bora kuliko aliyekaza.
Kiliwakuta nini yanga mpaka wakafika Shirikisho.
 
Kwa macho nimeshuhudia wakipoteza muda,
Mkuu naona unaiongelea Wydad utadhani ni polisi Tz.
Kwenye uwanja wa taifa hilo la kupoteza muda sikuliona labda ww una macho tofauti na watu wote walio angalia mpila pale, ningekuelewa iwapo ungesema washambuliaji walikosa baadhi ya nafasi za wazi.
Kuhusu huko Morocco Wydad ni timu kubwa kimbinu sio ya kwenda kucheza nayo kama vile unavyo cheza na polisi ni razima uhieshimu.

Kabla ya kuilaumu Simba kukosa goli huko Morocco mbona hujajiuliza kuwa mbona Wydad pamoja na ukubwa wao walishindwa kupata goli kwa Mkapa hali ya kuwa mechi ilikuwa open sana kwao kuliko hata ilivyo kuwa open kwa simba huko Morocco?

Hiyo mbinu unayo sema sijui kupushi kutafuta goli ugenini tulisha wahi kuitumia huko Congo dhidi ya Mazembe tukaambulia kipigo cha mbwa koko cha 4 kwa 1.
Hiyo mbinu uliyo taka itumike Morocco ndo hiyo hiyo ambayo ilitumika tulipo enda S.Afrika dhidi ya Kaiza chefu tukakumbana na kipigo cha mbwa mwizi .

Hiyo mbinu uliyo taka itumike Morocco ndo hiyo hiyo ambayo tuliitumia dhidi ya Al ahaly huko Misri na kwa Vita huko Congo kukakumbana na maafa ya kugongwa bao tano kila mechi.
 
Hakuna walicho izidi simba maana kombe walio kuwa wanashiriki wote Yanga alitolewa mapema sana kabla ya Simba.

Mashindano aliyo kuwa anashiriki Simba na anayo shiriki Yanga kwa sasa ni tofauti na yana hadhi ya tofauti na mashindano anayo shiriki Yanga kwa sasa yana hadhi ya chini.
Kwahio Simba anashiriki champions League ipi?
 
Hela ya kuingia robo fainali klabu bingwa Ni nyingi kuliko aliyebeba ubingwa wa shirikisho.

Hili Ni jukwaa la michezo.Na haha ulikuwa huyajui.

Ingekua huteseki ZAIDI na ZAIDI na kuumia ungepiga TU kimya.

Kitendo Cha kukomenti hivyo maana yake unateseka mno
Sasa wewe mbwiga Azam CAFC ina shilling ngapi? kwanini mna komaa nayo?
 
Wewe ni mpumbavu, there is money and crown, it is not all about money, na pia, kukosa 1bn sio sababu ya kuacha kuitafuta 500m, hauoni kama unaongea ujinga?

Ina maana simba ingekuwa ina nafasi ya kuendelea na shirikisho sasa hivi wangeacha? Mbona wanahangaika na ligi kuu Tanzania bara na Azam?

Mbona ujafananisha hilo kombe na ligi kuu na Azam, shida ni pale simba inapoweka malengo yake kama ni mashindano na Yanga, ndo maana wanafeli.
Hawana akili hawa mbumbumbu
 
Kwahiyo yanga analo kombe tayari?
Tungejudge kama Zote simba na Yanga zingekuwa zimeshiriki Shirikisho msimu husika.
Lakini iweje tusitumie kigezo cha Club Bingwa ambacho wote wameshiriki na Mwingine kuondolewa.
Lakini yule aliyoondolewa anaonekana bora kuliko aliyekaza.
Kiliwakuta nini yanga mpaka wakafika Shirikisho.
Cha msingi mmetoka hayo mengine ni ngonjera
 
Kwahio Simba anashiriki champions League ipi?
Simba imetolewa robo fainal ya champion league na yanga imeshatolewa kitambo Champion league sasa unailinganishaje simba na yanga kwa kigezo cha kombe la shirikisho hali ya kuwa Simba hakushiriki kwenye hilo kombe?

Simba na yanga wanatakiwa walinganishwe kwa kigezo champion league kwa sababu ndo kombe ambalo walishiriki wote.
 
sawa, umeeleweka mshindi.!
 

Attachments

  • IMG_20230429_200918.jpg
    IMG_20230429_200918.jpg
    7.1 KB · Views: 2
Simba imetolewa robo fainal ya champion league na yanga imeshatolewa kitambo Champion league sasa unailinganishaje simba na yanga kwa kigezo cha kombe la shirikisho hali ya kuwa Simba hakushiriki kwenye hilo kombe?

Simba na yanga wanatakiwa walinganishwe kwa kigezo champion league kwa sababu ndo kombe ambalo walishiriki wote.
kifupi wote wametoka tu kama Nyasa bullet's, Zalan, Vipers , Raja
 
Back
Top Bottom