Mnyime ile kitu inayo mfanya awe mpole akiwa juu yako.
Nipo best...huonekani
Ikizidi kila Mara inapoteza maana.Kumbe hampendi kuambiwa samahani eeeh! Will not apologize kwenu kwa neno "samahani" tena!!!
Kwani kuna tatizo gani mtu akikosea afu akaomba msamaha? Me naweza nikawa nishakusamehe hata kabla hujaniomba msamaha, but kukiri kuwa umekosea na ukaomba msamaha nafikiri ni uungwana zaidi. Tatizo sasa mtu hadi akiri kuwa amekosea ni kimbembe, wengi asipokugeuzia kesi basi atakwambia tu "basi yameisha eeh" mweeee
Akisema hivyo ndo kuomba msamaha hukohuko....
mahondaw mi gf wangu nimemuweka pending mbishi, hashauriki, hapendi kujishusha..yaani kosa anafanya yeye kwa ubishi wake mi ndo nashuka na kupotezea mambo...
Naungana na wewe dawa yake inachemka.
Mimi nikigundua nimekosa
ninachofanya ni kuamka asubuhi sana na kujiandalia vitu vyangu mwenyewe
bila kumuamsha majeruhi wangu naenda zangu job kimyakimya nikiwa
nimeacha hela zaidi kuliko kawaida kwenye dressing
table,siku hiyo ntapiga sana simu kujua mambo yanaendaje hapo home au
kazini kwake kama atakua kazini,ile nikitoka tu kazini moja kwa moja
uchumi supermarket au mlimani city kuna vitu ambavyo ananipmbaga
nimchikulie lakini najifanyaga nipo busy ila kwa siku hiyo namchukulia
in excess,baada ya hapo moja kwa moja home tena nikiwa sober cpitii
maeneo yetu yale!!!kama kuna mechi ya arsenal siku hiyo naangalizia
yumbani sio jackeys tena.....basi hapo utamwona tu anacheka na kusema
"we unajifanya mjanja sana,ukirudia teenaa...."..wanawake
bwana!!!
Mimi nikigundua nimekosa ninachofanya ni kuamka asubuhi sana na kujiandalia vitu vyangu mwenyewe bila kumuamsha majeruhi wangu naenda zangu job kimyakimya nikiwa nimeacha hela zaidi kuliko kawaida kwenye dressing
table,siku hiyo ntapiga sana simu kujua mambo yanaendaje hapo home au kazini kwake kama atakua kazini,ile nikitoka tu kazini moja kwa moja uchumi supermarket au mlimani city kuna vitu ambavyo ananipmbaga nimchikulie lakini najifanyaga nipo busy ila kwa siku hiyo namchukulia in excess,baada ya hapo moja kwa moja home tena nikiwa sober cpitii maeneo yetu yale!!!kama kuna mechi ya arsenal siku hiyo naangalizia yumbani sio jackeys tena.....basi hapo utamwona tu anacheka na kusema "we unajifanya mjanja sana,ukirudia teenaa...."..wanawake bwana!!!
Mimi anipe hela tu kuanzia laki mbili namsamehe.... pesa inategemeana na ukubwa wa kosa
hahahaha wewe mtoto
Hahaha we unajua anavyoisema lakini "eeeh na wewe mwanamke una ngebe jamani, yaishe basi eeh". Yani shida yake tu asiseme "samahani". Tushazoea lakini, maake bora hata huyo anayesema yaishe. Mwingine utageuziwa kesi afu mwisho wa siku wewe ndo utatakiwa uombe msamaha khaa
ikichemka nimiminie namie kwenye kichupa hata nusu lita tu