Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
mi wangu ana jeurii moja matata......hata akosee haombi ng'o...dawa yake ipo jikoni
kuwa makini na dawa yako, kuna nyingne unaweza mpa na matokeo yake yakawa hasi zaidi ukataman bora usingempa hiyo dawa