Ndo nakushangaa umeomba coca wakuandike kwenye kopo halafu unajiita star wewe sio star sema unajipendekeza kwa ma star yani kwa lugha ya kawaida we ni mdananda.........kama wadananda wengine tofauti ni kwamba wewe akili zako zipo tumboni.............- Cocacola wenyewe wametoa makopo kwa Mastar, lakini hata wewe unaweza kuwaomba wakakutengenezea mimi sikuwaomba ndio tofauti ya mimi na wewe sawa hahahahahahah umeumia inaonekana duh kopo tu!!
Le Mutuz
- dogo janja hahahahahaha genius hahahahaha
Le Mutuz
ha ha ha haaa!Lemutuz nikikukuta mti umekudondokea nachukua jiwe naweka juu.
Wangeweka na haka kapicha ingenoga sana.
jinsi ulivyo na tumbo kubwa lazima utakuwa unaja mba jam ba ovyo coz tumbo lina viporo vya hata siku nne hujavifyatua, vimechacha na kuoza
Le koppoozzz
Damn hii Kali huyu babu ni cartoon
Mkuu alafu hilo kopo unafanyia nini?
Wangeweka na haka kapicha ingenoga sana.
Umenichekesha sana leo
Lakin si ingenogaa, au sio?
jinsi ulivyo na tumbo kubwa lazima utakuwa unaja mba jam ba ovyo coz tumbo lina viporo vya hata siku nne hujavifyatua, vimechacha na kuoza