Thank You Cocacola I am Humbled !

Thank You Cocacola I am Humbled !



- Kampuni ya Cocacola hivi kuanzia leo imeanza kutoa heshima kwa all Super Stars wa Tanzania ambao wana ushawishi mkubwa katika jamii kwa kuwatengenezea makomo maalum ya Soda zao ambayo yataanza kuuzwa madukani hivi karibuni.

Ma Star wengi leo wamekabishiwa rasmi makopo hayo yenye majina yao ambayo ni mfano wa makopo ya soda zitakazoanza kuuzwa madukani hivi karibuni, baadhi ya Ma Star waliopewa makopo hayo leo ni pamoja na Mshindi wa Big Brother Idriss, Wema Sepetu, Aunt Ezekiel, Martin Kadinda na Le Mutuz Nation.

- Naomba again kuwashukuru sana wapenzi wangu wengi hasa wa hapa JF haya yasingewezekana bila ya nyinyi and I mean it nawashukuru sana from the bottom of my soul, thank you JF hasa Celebrity Forum na I am humbled sana!!

Le Mutuz
Masupastaaa
 

Attachments

  • IMG-20150116-WA0039.jpg
    IMG-20150116-WA0039.jpg
    16.9 KB · Views: 390
Ni jambo la kawaida sana mkuu hakuna jipya katika hilo
 

Attachments

  • 1423148594859.jpg
    1423148594859.jpg
    35.1 KB · Views: 323
haya majina ya watu kwenye coca yamenifanya niache kunywa kabisa coca, unakwenda dukani una hamu ya cocacola, cunakuta coca zote zina majina ya watu wanaokuhukia............!!!!!!!
 
Hii imekaavipi wakuu, nimeona kurasa eatv kuwa kampuni ya vinywaji laini ya Coca-Cola inaleta soda zenye lebel ya majina ya watu. Ukweli wa suala hili ukoje?[/QUOTE]

Ukweli wa swala hili ni jambo la kusikitisha kabisa, we fikiria uone jina lako watu wanalinywa si mazereu hayo!
 
Le mutuz sifa zote zimekwisha,mwanzoni alidhani kwamba coke zote zitakuwa na majina ya kwao tu,kumbe hadi sie wa minjingu wametuweka,ila watu wanaweka majina yao kwenye hati za nyumba na si kwenye makopo.
 
Dah! Hawa Coke hawa!
 

Attachments

  • 1423422056534.jpg
    1423422056534.jpg
    34.6 KB · Views: 305
  • 1423422092939.jpg
    1423422092939.jpg
    33.7 KB · Views: 280
Jaman ilo kopo apo ni la kuedit mbona onesha kopo real tuone ila co ilo lakuedit....

ndugu hizo sio za ku edit ni soda zenyewe mbona ni kitu cha kawaida na wala sio cha kukufanya ushangae kama umemuona yesu kwani hapo unazani kuna kipi kipya hata ww ukitaka kwa jina lako sema kesho nikuletee pakiti zima yenye soda lenye majina yote ya familia yako
 

Attachments

  • 1423478878051.jpg
    1423478878051.jpg
    19.3 KB · Views: 287
  • 1423478891552.jpg
    1423478891552.jpg
    35.1 KB · Views: 269
ndugu hizo sio za ku edit ni soda zenyewe mbona ni kitu cha kawaida na wala sio cha kukufanya ushangae kama umemuona yesu kwani hapo unazani kuna kipi kipya hata ww ukitaka kwa jina lako sema kesho nikuletee pakiti zima yenye soda lenye majina yote ya familia yako

- Tofauti ni kwamba originally Cocacola ilituchagua wachache tukatengenezewa na kuletewa tulipo, maumivu yakwa kwa wanaodhani ni maarufu na hawakupewa ndio wanaolilia lia mpaka leo, ukweli ni ukweli na hadithi ni hadithi mimi ni mmoja wa waliochaguliwa na Cocacola wenyewe na kutengenezewa kopo, sio la kwenda kuwaomba na kujipanga foleni ndio tofauti yetu wanaolia lila in this thread ni wale wenye maumivu ya kutopewa na Cocacola wenyewe, hahahahahaha U know!1

Le Mutuz
 
- Tofauti ni kwamba originally Cocacola ilituchagua wachache tukatengenezewa na kuletewa tulipo, maumivu yakwa kwa wanaodhani ni maarufu na hawakupewa ndio wanaolilia lia mpaka leo, ukweli ni ukweli na hadithi ni hadithi mimi ni mmoja wa waliochaguliwa na Cocacola wenyewe na kutengenezewa kopo, sio la kwenda kuwaomba na kujipanga foleni ndio tofauti yetu wanaolia lila in this thread ni wale wenye maumivu ya kutopewa na Cocacola wenyewe, hahahahahaha U know!1

Le Mutuz
Nina miaka 20's lakini siwezi kulilia jina langu kuonekana coca cola.
Haya mambo hufanywa na wanafunzi Wa primary na olevel hata advance level hawezi kuwa na akili fupi kama hii
 
- Tofauti ni kwamba originally Cocacola ilituchagua wachache tukatengenezewa na kuletewa tulipo, maumivu yakwa kwa wanaodhani ni maarufu na hawakupewa ndio wanaolilia lia mpaka leo, ukweli ni ukweli na hadithi ni hadithi mimi ni mmoja wa waliochaguliwa na Cocacola wenyewe na kutengenezewa kopo, sio la kwenda kuwaomba na kujipanga foleni ndio tofauti yetu wanaolia lila in this thread ni wale wenye maumivu ya kutopewa na Cocacola wenyewe, hahahahahaha U know!1

Le Mutuz

hahahaha naunga hoja mkuu kabisa hata mm nilipigiwaa ni na cocacola ninaokona si vibaya kushare nao ila nilipeleka majina ya mke wangu na watoto wangu mm sikupenda sana
 
- Tofauti ni kwamba originally Cocacola ilituchagua wachache tukatengenezewa na kuletewa tulipo, maumivu yakwa kwa wanaodhani ni maarufu na hawakupewa ndio wanaolilia lia mpaka leo, ukweli ni ukweli na hadithi ni hadithi mimi ni mmoja wa waliochaguliwa na Cocacola wenyewe na kutengenezewa kopo, sio la kwenda kuwaomba na kujipanga foleni ndio tofauti yetu wanaolia lila in this thread ni wale wenye maumivu ya kutopewa na Cocacola wenyewe, hahahahahaha U know!1

Le Mutuz

Mtu una miaka 53,lakini bichwa limejaa ujinga tu.
 
Back
Top Bottom