William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Thread starter
-
- #201
Celebrity inanisaidia nini kwenye life yangu sijajua hela leo au jana niko kwenye game miaka na maisha murua,wala sihitaji kujikomba kwa m2 nipande kimaisha
So unaangalia uwingi wa peji. So useless. kunatofauti kubwa kati ya black person na dark person so we mazee ni dark person. Yani ua soo dark.
anastahili nini kaka yako huyu ....?
- Waliopanda kimaisha huwa hawana shida na wengine huwa wanajali maisha yao maana wanakuwa busy sana na maisha yao, sasa wewe umepanda na mimi nakutesa? hahahahahahahaha kumbe huwa unajikomba kwa watu maana unajisema mwenyewe hahahahaha
Le Mutuz
- Infact namtafutia mali yeye unajua sisi Christians tunaambiwa na Mungu kwenye bible kwamba "Baba mwenye busara huwaachia urithi watoto wake" so far nikifa leo nitamuachia urithi nilioupata kwa sababu ya kuwa Celebrity, au unasema ninakosea?
Le Mutuz
Wewe unamaisha gani toka umekimbia shida usa umerudi na kaptula na lile li sandoz lako mpka leo unashindwa hata na watoto maendeleo akili zako zitakua zimeganda
hivi wewe si ni mtu mzima kabisa?mbona haiba yako ya nje na ya ndani zipo low sana!
msiba huu
Haki huu uzi nimecheka mpaka basi... Yani ngachoka kabisa
Hua nashindwa kuelewa, ww kimuonekano ni mtu mzima ila mambo yako na majibu yako like not matured.... Undefined nimeshindwa nikuweke kundi ga!!!
- Ok wewe ni matured umekuja mbio kumjibu unmatured? Really? hahahahahaha mnanivunja mbavu U know hivi haya maswali yanaulizwa na Great Thinkers kweli? duh hahahahahaha
Le Mutuz
I knew this... Ptuu
I'm out
hili zee hili,akili yake matope tupu
Haki huu uzi nimecheka mpaka basi... Yani ngachoka kabisa
Hua nashindwa kuelewa, ww kimuonekano ni mtu mzima ila mambo yako na majibu yako like not matured.... Undefined nimeshindwa nikuweke kundi ga!!!
Le Mutuz is simply irresistible!
Dada Neema aliwezaje kuishi miaka yote hiyo na janaume lisilo na akili kama wewe?ndo maana hata JK kakunyima ukuu wa wilaya,wenzako kina Kolimba's,Mongela's,Mzindakaya's, walipewa ukuu wa wilaya,wewe je mbulura hata uenyekiti kata huna,kazi kufurahia jina lako eti limeandikwa kwenye kopo.- Umekuja mbio kujibu akili matope wewe ni nini le mbebezzz Super mutindizzzz u know hahahahahah
Le Mutuz
Dada Neema aliwezaje kuishi miaka yote hiyo na janaume lisilo na akili kama wewe?ndo maana hata JK kakunyima ukuu wa wilaya,wenzako kina Kolimba's,Mongela's,Mzindakaya's, walipewa ukuu wa wilaya,wewe je mbulura hata uenyekiti kata huna,kazi kufurahia jina lako eti limeandikwa kwenye kopo.