Thank You People, Kwanza ilikuwa Cocacola, Now Vibe MagazineTz

Thank You People, Kwanza ilikuwa Cocacola, Now Vibe MagazineTz

Status
Not open for further replies.
Dada Neema aliwezaje kuishi miaka yote hiyo na janaume lisilo na akili kama wewe?ndo maana hata JK kakunyima ukuu wa wilaya,wenzako kina Kolimba's,Mongela's,Mzindakaya's, walipewa ukuu wa wilaya,wewe je mbulura hata uenyekiti kata huna,kazi kufurahia jina lako eti limeandikwa kwenye kopo.

- Ungemuuliza sasa hivi yupo na nani toka niondoke hahaha inaelekea unamjua sana sirudi huko tena, hahahaha hao uliowataja wote wanashinda hapa ofisini kwangu hivi kweli ulitegemea mimi niende kuwa Mkuu wa Wilaya ya Karagwe yaani nihamie Karagwe? hahahahahahahaa Are U kidding me or what unajua mshahara wa DC au unakurupuka tu kama kichaa, pole sana!! hahahaha

Le Mutuz
 
weeh awe mkuu wa wilaya halafu after school bush zimpite? na instagram paty je nani aandae!!!.....haa haaaaa haaaa

- Masikini wa Mungu mngeujua viziri Ukuu wa Wilaya wala msingeulilia kweli usilolijua ni kama usiku wa giza so unaamini Ukuu wa Wilaya ni baab kubwa sana, hahahahahaha

Le Mutuz
 
weeh awe mkuu wa wilaya halafu after school bush zimpite? na instagram paty je nani aandae!!!.....haa haaaaa haaaa

- hahahahaha duh!! kumbe kuna ngumbaru humu mnaaanza kujivua nguo wenyewe kuwa kichwani zero duh!! hahaha

Le Mutuz
 
- Masikini wa Mungu mngeujua viziri Ukuu wa Wilaya wala msingeulilia kweli usilolijua ni kama usiku wa giza so unaamini Ukuu wa Wilaya ni baab kubwa sana, hahahahahaha

Le Mutuz

si ndio maana mi nmebisha we wala huna haja na ukuu wa wilaya....we ni king of all social network...you know..haa haaaaa
 
- Ungemuuliza sasa hivi yupo na nani toka niondoke hahaha inaelekea unamjua sana sirudi huko tena, hahahaha hao uliowataja wote wanashinda hapa ofisini kwangu hivi kweli ulitegemea mimi niende kuwa Mkuu wa Wilaya ya Karagwe yaani nihamie Karagwe? hahahahahahahaa Are U kidding me or what unajua mshahara wa DC au unakurupuka tu kama kichaa, pole sana!! hahahaha

Le Mutuz

Hapa inamaanisha ungekataa uteuzi wa muheshiwa Rais?

Kwa kumbukumbu zangu mwenye jeuri hiyo ni Jenerali Ulimwengu tu.
 
eti Matola unamaanisha?


quote_icon.png
By DEMBA

weeh awe mkuu wa wilaya halafu after school bush zimpite? na instagram paty je nani aandae!!!.....haa haaaaa haaaa

- au? hahahahahahaha

Le Mutuz
 
- Haya nakupenda mpaka NAUMWA baby love U more!!

Le Mutuz

Kama angekupigia simu nakukwambia anakuteuwa Kinondoni ningeunga mkono lakini kuwa Dc mashambani huko uache line za mujini zinapeperuka hiyo big no.

Madc ni kijiwe cha majobless, inashangaza mtu amestaafu kazi badala ya kula pensheni naye anaenda kusotea mshahara wa $1500.

Kama kuna kosa JK amelifanya au Pinda ni kumpa wilaya ya Kinondoni mshamba wakati wilaya ile inatakiwa iwe chini ya mtoto wa mjini.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom