Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
- Matola you know better kweli mimi level ya DC? please
Le Mutuz
Hivi hapo dar kuna tofauti gani na karagwe?
Hilo ndio kubwa jinga bwana.
- hahahaha na umekuja mbio kujibu hahaha kubwa dogo au? hahaha
Le Mutuz
- Free Ideas ni mwanamke yupo nchi moja ulaya yenye code namba +467 kwanza kanipigia simu na matusi mengi sana and then kaanza kutuma message za matusi kwenye simu yangu, hahahahah kama hamuwezi hii mijdala wacheni mimi mbona sikasiriki? hahahahahahaa kaandika mgazeti huoo nimemjibu mgazeti kakasirika anaaanza kurusha matusi tena ya kizamani sana jamani kama hamuwezi this game wacheni, tuwachieni tunaoweza bana pole sana hahahaha
Le Mutuz
- Free Ideas ni mwanamke yupo nchi moja ulaya yenye code namba +467 kwanza kanipigia simu na matusi mengi sana and then kaanza kutuma message za matusi kwenye simu yangu, hahahahah kama hamuwezi hii mijdala wacheni mimi mbona sikasiriki? hahahahahahaa kaandika mgazeti huoo nimemjibu mgazeti kakasirika anaaanza kurusha matusi tena ya kizamani sana jamani kama hamuwezi this game wacheni, tuwachieni tunaoweza bana pole sana hahahaha
Le Mutuz