kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,421
- 18,760
eti awe celebrity, kwa kupiga picha na wasichana wenye umri wa mwanao, au kuwa celebrity kwenda kwenye show za wanafunzi school bash, unatia aibu jamaa yangu, sidhani mzee wako ambae watu na jamii inamuheshimu ikiwa anafurahia,- Mimi sikutafuta nililetewa ila wewe unatakiwa kulitafuta maana sio Celebrity kama mimi au hujaelewa bado? hahahahaha
Le Mutuz
......