Thanks God for Giving us Kikwete

Thanks God for Giving us Kikwete

Mkuu, bila shaka huyu atakuwa Team ya Slaa maana anaonesha ana chuki binafsi na JK
Yes team slaa ndiyo waliomezeshwa chuki za jadi na mzee wao slaa ila wakumbuke vitanda walivyovitandika lazima watavitandua tu.
 
mimi naonaga kama tanzania haina rais....kama juzi nimeshangaa....chikawe anasema sheria ikenda bungeni hatabadilishwa ..huku kikwete anakutana na watu kwa ajili ya mabadiliko....wakati mwingine akina will malechela wanamdharau na kumpiga vijembe anawaangalia tu...kwa swala ambalo...its his signature legacy..katiba mpya...udhaifu mwingine ni wa kujitakia tu
 
Mungu alitaka watanzania wapitie mateso kama Ayubu, na wana wa Israel kabla ya kupata ukombozi wa kweli 2015.

Watanzania Tuzidi Kuwa wavumilivu kwani Nchi ya Ahadi sasa tunaikalibia T 2015 CDM.
 
maendeleo yapi? Kama ni maendleo ya wauza sembe,wezi,mafisadi,majangili kama kinana,wala rushwa hapo nakuunga mkono mkuu

hata kuandika huo upuuzi wako humu nayo ni maendeleo. kabla ya JK Tanzania watu wengi walikuwa wanatumia internet? tumshukuru sana JK maana wengine ndo mnapata ujira kupitia kwake
 
Mkuu, bila shaka huyu atakuwa Team ya Slaa maana anaonesha ana chuki binafsi na JK

Mtu akiongea ukweli kuhusu serikali ya JK anaonekana ana chuki binafsi na pia mfuasi wa Chadema. Hii nchi ndio maana hatuendelei kutokana na mawazo finyu kama haya.
 
Mungu alitaka watanzania wapitie mateso kama Ayubu, na wana wa Israel kabula ya kupata ukombozi wa kweli 2015.
Ni kweli katika dhana ya nchi isitawalike na migogoro ya kuchinja iliyopandwa na chadema wapo watanzania wamepata shida sana.
 
mimi naonaga kama tanzania haina rais....kama juzi nimeshangaa....chikawe anasema sheria ikenda bungeni hatabadilishwa ..huku kikwete anakutana na watu kwa ajili ya mabadiliko....wakati mwingine akina will malechela wanamdharau na kumpiga vijembe anawaangalia tu...kwa swala ambalo...its his signature legacy..katiba mpya...udhaifu mwingine ni wa kujitakia tu

Ni kama ule wa kwako wa kukubali kutumiwa wakati huna mbele wala nyumba.
 
Udhaifu wa kikwete ndio mwanzo wa watz kujua kuwa wananyonywa hivyo ni kusudi la Mungu kumweka madarakani

sasa mmeanza kuungana na yule askofu KILAINI amiyesema kuwa JK ni chaguo la Mungu. wakati ule mlimshambulia sana mpaka mkasababisha aondolewe DAR ES SALAAM na kupelekwa Kagera ambako pia amenyimwa uhuru wa kuongea
 
CCM ni chama cha ajabu sana...na kina watu wajinga sijawahi kuona...angalia vijana wao kwenye mtandao...wanashidwa kujibu hoja...wanaongea vitu ambavyo havipo...NI UJINGA MKUBWA...MNAABISHA CHAMA...KINAONEKANA HAKINA WATU MAKINI...NINGEKUWA NAPE NINGEWAPIGA MARUFUKU....KUKITETEA CHAMA KWENYE MITANDAO kwa mtindo huo wa KIJINGA kabisa
 
Mwenyezi Mungu huwa ana makusudi kwa kila jambo linalokuja kwa wanadamu, zuri au baya! Imani yangu inanituma kuwa alimleta Kikwete ili Tanzania ipate ukombozi kamili toka kwa CCM (wakoloni weusi). Hizi ndo sababu zangu: -

1. Baadaya Kikwete kushindwa kura za maoni 2005 alianzisha mtandao wa kusaka urais tangia hapo. Mtandao ambao ndio chanzo cha makundi ya CCM na ambayo hayawezi kuisha ndani ya chama hicho. (Kikwete muasisi wa makundi)

2. Kikwete na mtandao wake walinunua wahariri wa vyombo vya habari ili kumpamba Kikwete na kuwachafua washindani wake. (Rejea kauli za Sumaye) Walipoingia madarakani na seriksli yao ikawa regerege wakawageuka waandishi wanaowakosoa na kufungia vyombo vyao. (Mwanahalisi, Kulikoni, Mwananchi, Mtanzania nk) Ccm ikatengeneza uadui na waandishi.

3. Kikwete katika uchaguzi uliopita baada ya kukabwa vilivyo na Dr Slaa, washauri wake na chama chake wakamshauri kuelekeza siasa misikitini kujaribu kuokoa jahazi. Yanayotokea baada ya hapo kila mmoja anaona. (Kikwete muasisi wa udini) Wenye macho wanaweza kuona CCM itakavyoangushwa na udini.

4. Kauli yake ya maisha bora iliwapa matumaini watanzania kuwa inawezekana wamepata mkombozi mpya. Matumaini yoa yanayeyuka kama barafu na sasa tafiti zinaonyesha watanzania hawana imani na serikali, Kikwete na CCM.

Yote haya yakiweza kufanyiwa kazi na upinzani sioni CCM ikiokoka. Ni mpango wa Mungu Kikwete kusababisha ukombozi?
Kilaza lazima umjue tu, hapo tu ndipo uliponichosha, sasa ndugu unashindwa hata kuandika kiswahili fasaha, hiyo regerege ndio nini??
 
Mtu akiongea ukweli kuhusu serikali ya JK anaonekana ana chuki binafsi na pia mfuasi wa Chadema. Hii nchi ndio maana hatuendelei kutokana na mawazo finyu kama haya.

wewe bavicha acha kudanganya watu ukweli gani unaujua wewe zaidi ya chuki mlizopandikizwa na mzee wenu eti popote pale ukiona jina la rais we tukana tu jk ndiye kiboko yenu mtaenda mtarudi yupo tu,
 
CCM ni chama cha ajabu sana...na kina watu wajinga sijawahi kuona...angalia vijana wao kwenye mtandao...wanashidwa kujibu hoja...wanaongea vitu ambavyo havipo...NI UJINGA MKUBWA...MNAABISHA CHAMA...KINAONEKANA HAKINA WATU MAKINI...NINGEKUWA NAPE NINGEWAPIGA MARUFUKU....KUKITETEA CHAMA KWENYE MITANDAO kwa mtindo huo wa KIJINGA kabisa
Ni kama ule wa kwako wa kukubali kutumiwa wakati huna mbele wala nyumba.
 
CCM ni chama cha ajabu sana...na kina watu wajinga sijawahi kuona...angalia vijana wao kwenye mtandao...wanashidwa kujibu hoja...wanaongea vitu ambavyo havipo...NI UJINGA MKUBWA...MNAABISHA CHAMA...KINAONEKANA HAKINA WATU MAKINI...NINGEKUWA NAPE NINGEWAPIGA MARUFUKU....KUKITETEA CHAMA KWENYE MITANDAO kwa mtindo huo wa KIJINGA kabisa

kweli mkuu umeona mbali,umeona ee?
 
Acha ulevi wa buku 7,kwani maisha ni Jk? Huyu ndio anatufanya tuishi maisha magumu kwa kukumbatia mafisadi,wauza sembe,majangili nk

kama unashinda mtandaoni kuandika upuuzi, unafuu wa maisha utapatikana wapi? halafu unajiita Ukombozi wa Fikra. acha kutumika kijana. umri wako bado ni mdogo. wewe unashinda humu kuandika yasiyo na tija kwa taifa kwa ujira wa shilingi 2000 kwa siku, wenzako wanatumia milioni 700 kuandaa mkutano wa kifedhuli pale Jangwani
 
Tangu jk awe rais kunawatu hawalali wakimuombea mabaya lakini jk ni chaguo la mungu mabaya yote hayamfiki yanawarudi kama nini.
 
Back
Top Bottom