Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama unashinda mtandaoni kuandika upuuzi, unafuu wa maisha utapatikana wapi? halafu unajiita Ukombozi wa Fikra. acha kutumika kijana. umri wako bado ni mdogo. wewe unashinda humu kuandika yasiyo na tija kwa taifa kwa ujira wa shilingi 2000 kwa siku, wenzako wanatumia milioni 700 kuandaa mkutano wa kifedhuli pale Jangwani
Acha ulevi wa buku 7,kwani maisha ni Jk? Huyu ndio anatufanya tuishi maisha magumu kwa kukumbatia mafisadi,wauza sembe,majangili nk
huoni hataaibu unaazisha mada halafu unaanza kujijibu na kuchangia kwa id zako zingine sijui hamnazo.
Nitajie watu makini watatu wa chadema kama utawapata make slaa kashifa kibao,mbowe ndiyo,Lisu mmbea na mnafiki sijui utamtaja nani.CCM ni chama cha ajabu sana...na kina watu wajinga sijawahi kuona...angalia vijana wao kwenye mtandao...wanashidwa kujibu hoja...wanaongea vitu ambavyo havipo...NI UJINGA MKUBWA...MNAABISHA CHAMA...KINAONEKANA HAKINA WATU MAKINI...NINGEKUWA NAPE NINGEWAPIGA MARUFUKU....KUKITETEA CHAMA KWENYE MITANDAO kwa mtindo huo wa KIJINGA kabisa
Wewe ni TEAM SLAA, TEAM ZITTO au TEAM SHIBUDA?
CCM ni chama cha ajabu sana...na kina watu wajinga sijawahi kuona...angalia vijana wao kwenye mtandao...wanashidwa kujibu hoja...wanaongea vitu ambavyo havipo...NI UJINGA MKUBWA...MNAABISHA CHAMA...KINAONEKANA HAKINA WATU MAKINI...NINGEKUWA NAPE NINGEWAPIGA MARUFUKU....KUKITETEA CHAMA KWENYE MITANDAO kwa mtindo huo wa KIJINGA kabisa
sasa mmeanza kuungana na yule askofu KILAINI amiyesema kuwa JK ni chaguo la Mungu. wakati ule mlimshambulia sana mpaka mkasababisha aondolewe DAR ES SALAAM na kupelekwa Kagera ambako pia amenyimwa uhuru wa kuongea
Cheki unavyojigonga kwani jk alikuzaa au unataka akuletee kiroba cha unga nyumbani kwenu mkiambiwa fuateni uzazi wa mpango hamtaki utaiva tu.Acha ulevi wa buku 7,kwani maisha ni Jk? Huyu ndio anatufanya tuishi maisha magumu kwa kukumbatia mafisadi,wauza sembe,majangili nk
Acha kukurupuka fisadi wewe,
CCM ni chama cha ajabu sana...na kina watu wajinga sijawahi kuona...angalia vijana wao kwenye mtandao...wanashidwa kujibu hoja...wanaongea vitu ambavyo havipo...NI UJINGA MKUBWA...MNAABISHA CHAMA...KINAONEKANA HAKINA WATU MAKINI...NINGEKUWA NAPE NINGEWAPIGA MARUFUKU....KUKITETEA CHAMA KWENYE MITANDAO kwa mtindo huo wa KIJINGA kabisa
Cheki unavyojigonga kwani jk alikuzaa au unataka akuletee kiroba cha unga nyumbani kwenu mkiambiwa fuateni uzazi wa mpango hamtaki utaiva tu.
Najua ukweli huuma limekuchoma unadhani hatukujui wenzako kitambo tulishakubaini siye.
soma uelewe kilaza wewe,kusudi sio kumweka Jk madarakani ili alete maendeleo,bali kuwafungua watz kupitia udhaifu wake ili tz ikombolewe kutoka kwa mkoloni mweusi ccm
maendeleo yapi? Kama ni maendleo ya wauza sembe,wezi,mafisadi,majangili kama kinana,wala rushwa hapo nakuunga mkono mkuu