Thanx God....17 yrs...Still getting stronger

Miaka ikienda mnakuwa kama mmekutana jana
Ya kweli haya? au wewe tu bahati yako? maana tunawaona wanafamilia wengi mtaani miaka hiyo wababa hawashikiki, hongera tena na tena
 
Ya kweli haya? au wewe tu bahati yako? maana tunawaona wanafamilia wengi mtaani miaka hiyo wababa hawashikiki, hongera tena na tena
Shantel mdogo wangu kila mtu na bahati yake katika hili swala, na sio hiyo mikiki wengine hatupitii, tunapitia sana tu ila tunakuwa wagumu tu
unajua bila kupitia hayo nahisi unakuwa sio imara sana
 


Herzlichen Glückwunsch . . . .!!!
Ich gratuliere . . . . zur Hochzeit!

. . . Alles Gute...
 
Congratulations Gaga,17 yrs is a lifetime,wengine hawajavuka hata five month's and for us ambao bado we have no clue what it's like to live with someone for that long
 
Herzlichen Glückwunsch . . . .!!!
Ich gratuliere . . . . zur Hochzeit!

. . . Alles Gute...
CPU huu ni uchoyo bwana, naomba nitafasirie
 
Congratulations Gaga,17 yrs is a lifetime,wengine hawajavuka hata five month's and for us ambao bado we have no clue what it's like to live with someone for that long
Huwezi jua mpaka uingie bushloiz, ahsante sanasana
 
Hongera sana Gaga msalimie sana Shemeji yetu na watoto.
nimeipenda hii post yako mungu awalinde awaitie nguvu muendelee kuwa imara ,..till end of time.
Nitakuja kuwatembelea mpenzi ....
 
Congratulations Gaga nataka next time ukiandika hapa useme "Thanx God.......50 yrs Still Getting Stronger"
 
Aisee hili yuziful sredi lilinipitaje hivihivi?

yaani Gaga hata kuniPM mshkaji wangu?

Hongera sana asee. Hongera sana mtu wangu....

Mi nshakata kumi. Siku nikifikisha 15 kama niko hai, wallah patakuwa hapatoshi.
 
Kila la kheri dada kaza uzi, shikilia ulichoshika ndicho chako ati.
 
Aisee hili yuziful sredi lilinipitaje hivihivi?

yaani Gaga hata kuniPM mshkaji wangu?

Hongera sana asee. Hongera sana mtu wangu....

Mi nshakata kumi. Siku nikifikisha 15 kama niko hai, wallah patakuwa hapatoshi.
Ahsante babu, nili ku promise lakini, unakumbuka?
wewe sijui ulipotelea wapi, na kuna watu walikuwa wanakutafuta sana uwajibu maswali
yao kwenye thread ya ulikuwa wapi siku zote......ukaingia mitini
 
Hongera sana Gaga msalimie sana Shemeji yetu na watoto.
nimeipenda hii post yako mungu awalinde awaitie nguvu muendelee kuwa imara ,..till end of time.
Nitakuja kuwatembelea mpenzi ....
Nitamsalimia aisee, karibu sana kwetu, wasalimie na wewe huko kwenu
 
Thankd Gaga for sharing thsi with us and Happy Anniversary, Sijui bado uko Hanemuni? LOL Keep going
 
Ahsante tutafika tu kwa rehema zake muumba, au sio....thanx TF
Utafika tu ila tuombee sisi ambao hata hatujaanza hiyo safari by the way honeymoon imeisha au bado lol!!!
 

Asante kwa hadith nzuri, inapendeza. Hapo penye rangi nyekundu na maandishi makubwa ndio pamenigusa zaidi. Watu wengi hukumbwa na hilo, mfano mtu anaweza kumuacha mkewe ama mumewe kwa vishawishi au kwa kutomuona kuwa hapendezi. Kisha baadae aliyeachwa akipata mwengine, yule mume ama mke wa kwanza huanza kujuta kwa alimuacha na wakati mwengine hufikia hatua ya kuleta vurugu. Hii yote ni kwa kuwa aliyeachwa amepanda thamani baada kuachika ama kupotezwa na mume ama mke wa kwanza.
 
Utafika tu ila tuombee sisi ambao hata hatujaanza hiyo safari by the way honeymoon imeisha au bado lol!!!
Vijana wa siku hizi mnawezekana? unataka uwe na nyumba na gari ndio uoe, utajuaje sijui mtu kafata penzi, nyumba au gari, nawaombea sana aisee....honeymoon was mmmmmh yamy yamy na libonge la zawadi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…