BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
- Thread starter
-
- #21
Sipondi kupanda daladala huyo alikuwa ni icon pale Clouds Tv kwenye upande vipindi vya burudani alifanya kazi nzuri sana ghafla Clouds wakasitisha mkataba wake na alishawahi kudai wakati anapitia changomoto za ugonjwa ofisi yake walikataa kugharamia matibabu yake.Wewe kwenye maisha yako una nini? Mpaka uone mtu kupanda dala dala ni kuishiwa
He was a major simp, halaf unakuwa simp kwa malayaJamaa alichora mpaka tatoo!
Hakuna ufahari wowote kwenye daladalaBongo hata ukipanda daladala kwa sababu ni mwanamazingira tu unaepuka kutumia gari lako kuongeza carbon emissions, unaonekana umelosti. 😂😂😂
Si kila mtu anatafuta au kujali ufahari.Hakuna ufahari wowote kwenye daladala
Ngada ni balaa potential nyingi zimepotea..Anguko lake ni ngada tu brother hakuna mtu
Hatari sanaHe was a major simp, halaf unakuwa simp kwa malaya
hivi unafahamu umaskini unaanzia kwenye mindset na maskini ndio hucomplicate vitu kwenye maishaHakuna ufahari wowote kwenye daladala
Na kwenye vikao alikuwa anachelewaHuyo fala alikuwa mshamba wa mapenzi, tulimuambia hakusikia
Umasikini unaanzia pale unaposhindwa kuafford basic needshivi unafahamu umaskini unaanzia kwenye mindset na maskini ndio hucomplicate vitu kwenye maisha
Ni Casto Dickson aka mwananchi wa kawaida, alikuwa mtangazaji wa kipindi kimoja wapo pale clouds media (Siz Kitaa ksma sijakosea).Jamiiforum ya siku hizi ni ya kijinga jinga yaan mpaka nafika hapa sielewi hata huyo jamaa ni nan
Chaliifrancisco njoo utoe majibu hapa ni nani huyu jamaa
Dah sasa mimi ndo nilikuwa nakutegemea wewe mtoto wa mjini kumbe tena na wewe huko dar ni mgeni kama mimi tu hapaBeira Baby Boy a.k.a London Boy mimi huyo mtu simjui asee sijawahi fika huko daslama.
Asante sana ubalikiweNi Casto Dickson aka mwananchi wa kawaida, alikuwa mtangazaji wa kipindi kimoja wapo pale clouds media (Siz Kitaa ksma sijakosea).
Waulize wadaslam banaDah sasa mimi ndo nilikuwa nakutegemea wewe mtoto wa mjini kumbe tena na wewe huko dar ni mgeni kama mimi tu hapa
Beira Baby Boy a.k.a London Boy mimi huyo mtu simjui asee sijawahi fika huko daslama.