Thawabu niliyoipata kwa kuepuka kuzini na wanafunzi

Thawabu niliyoipata kwa kuepuka kuzini na wanafunzi

Ukifaulu Dar es salaam ndio nitatia neno.
Hahahahaaaaa. Hakuna jipya rafiki. Their attitude is the same. No matter geographical location. Kwa haiba niliyo nayo naturally, mwanzoni, huwa wanajipa moyo "aa,huyu maharage ya mbeya,maji mara moja" badala yake wanakutana na surprise. Kuna ambao waliwahi "kunishtaki" kwamba eti kwa nini siwatongozi?.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Yaani mitego ya wanafunzi, mijimama aka mishangingi na wake za watu kuichomoka inabidi Mungu wa Yusuph akusimamie.

Watoto wa siku hizi wana vijua hivi vitu mapema sana. Unakuta kibinti cha shule kinadate na mtu umri wa babu yake na hakijali kabisa. Walimu wanapitia magumu sana ila wengi wao huwaga wanaishia kuwagonga wanafunzi.
 
Yaani mitego ya wanafunzi, mijimama aka mishangingi na wake za watu kuichomoka inabidi Mungu wa Yusuph akusimamie.

Watoto wa siku hizi wana vijua hivi vitu mapema sana. Unakuta kibinti cha shule kinadate na mtu umri wa babu yake na hakijali kabisa. Walimu wanapitia magumu sana ila wengi wao huwaga wanaishia kuwagonga wanafunzi.
Ni kweli vishawishi vipo sana tu,lakini, ukiamua kuvishinda ni a MUST THING. Kushindwa au kushinda ni jambo la hiyari. Wewe binafsi unaamua ushinde au ushindwe. Lipo ndani ya uwezo.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Salaam wana JF,

Mimi ni mwanaume ambaye ninawiwa kutoka moyoni kujishughulisha na
"Lishe ya ubongo" yaani Elimu. Ndoto zangu za maisha zimeegemea kwenye Elimu zaidi.

Sasa katika harakati za kuwafundisha wanafunzi huko mashuleni na mtaani pia nimekuwa nikikutana na mitego ya hatari kutoka kwa wanafunzi wangu wa kike. Ni visa vingi sana kwa kweli. Lakini hakuna hata kimoja nilichonasa. Nimeruka mitego yote kwa zaidi ya miaka kumi sasa.

Kubwa kuliko ni pale binti mmoja(kidato cha pili wakati huo) akiwa amekaa dawati la mwisho kabisa aliwahi kuivuta sketi yake nusu ya mapaja yake,halafu akaichanua miguu yake kwa wastani wa nyuzi zaidi ya tisini(Obtuse angle) tena kimkakati kabisa na akahakikisha namuona na hakuonesha kushtuka kabisa zaidi zaidi alilegeza macho yake kwa matamanio ya kingono. Mazingira aliyokuwepo yalimpa ujasiri wa kufanya hayo yote bila wenzake kumshtukia. Lakini mimi niliendelea kufundisha hadi namaliza kisha kusign out.

Nilikuwa napangua visa vyao kwa kutumia akili ya ziada sana maana na wao walikuwa wananitega kijanja mno(ingawa kuna ambao walikuwa wanatumwa kwa makusudi mahususi). Kiukweli kwa mwanaume asiye na uwezo wa kuudhibiti "uanaume wake" kuingia mkenge kwenye ile mitego ilikuwa ni kugusa tu.

Ndugu mwana JF,usidhani kwamba nilikuwa mjinga kuikwepa mitego ile katikati ya kizazi hiki cha zinaa.
La hasha! nilikuwa najua manufaa ya nikifanyacho ambayo hadi leo nayafurahia kwa furaha ambayo sina maneno ya kuielezea nikaeleweka kwa namna ninavyotamani nieleweke.

Baadhi ya manufaa hayo ni;
1. Mungu alizidi kuniamini na kuwekeza zaidi talanta zake ndani yangu ambazo si kwa ajili yangu tu bali kwa ajili ya watu wengine pia wake kwa waume.

(Hili alikuwa ananiambia na kunithibitishia kwa kinywa chake
mwenyewe). Alikuwa ananivika
furaha ya ajabu moyoni mwangu yenye kuashiria kwamba anapendezwa na maamuzi yangu hayo(Ni kawaida Mungu kunipongeza kwa style hii)

2. Kuepuka kutembea na mwanafunzi mmoja nyumbani kwao(baada ya yeye kuvizia tupo mimi na yeye tu akaniwekea bonge ya mtego wa kingono ngono), kumenitengenezea connection ya kupata zaidi ya shilingi milioni 9 (Baba yake ndiye kawa connector). Naamini ningejifanya chizi na kudiriki kuanza kutembea na binti yake kuna siku angeshtukia mchezo na kwa vyovyote tungekuwa maadui na ningeukosa msaada wake huu muhimu.

3. Wanajamii wanaonizunguka wananiheshimu kipekee sana hasa baada ya kujiridhisha kwamba mwanafunzi mikononi mwangu anakuwa salama kiroho, kiakili na kimwili pia. Hata wahuni hapa mtaani wananiheshimu sana na huwa wananitania wakisema "yaani ningekuwa ndio wewe vitoto vikijilengelesha ningekuwa navifyatua sana, unakwama wapi
ticha?". Mimi huwa nawajibu " Ni kwa sababu mmechagua kuishi
maisha ya kujikinai".

4. Imeniongezea kujiamini zaidi.

NB: Namshukuru sana Mungu kwa
kutupa sisi wanadamu uhuru wa
kuchagua either "raha ya
muda mfupi" au "raha ya milele"
ili mwisho wa yote kila mtu
awajibike kwa maamuzi yake.

Mbarikiwe sana!

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Amini sana tucha tupo pamoja kupambania kombe japo njia nyembamba na imesongwa muda mwingine tunatoa mguu nje ila tunajirudi
 
Salaam wana JF,

Mimi ni mwanaume ambaye ninawiwa kutoka moyoni kujishughulisha na
"Lishe ya ubongo" yaani Elimu. Ndoto zangu za maisha zimeegemea kwenye Elimu zaidi.

Sasa katika harakati za kuwafundisha wanafunzi huko mashuleni na mtaani pia nimekuwa nikikutana na mitego ya hatari kutoka kwa wanafunzi wangu wa kike. Ni visa vingi sana kwa kweli. Lakini hakuna hata kimoja nilichonasa. Nimeruka mitego yote kwa zaidi ya miaka kumi sasa.

Kubwa kuliko ni pale binti mmoja(kidato cha pili wakati huo) akiwa amekaa dawati la mwisho kabisa aliwahi kuivuta sketi yake nusu ya mapaja yake,halafu akaichanua miguu yake kwa wastani wa nyuzi zaidi ya tisini(Obtuse angle) tena kimkakati kabisa na akahakikisha namuona na hakuonesha kushtuka kabisa zaidi zaidi alilegeza macho yake kwa matamanio ya kingono. Mazingira aliyokuwepo yalimpa ujasiri wa kufanya hayo yote bila wenzake kumshtukia. Lakini mimi niliendelea kufundisha hadi namaliza kisha kusign out.

Nilikuwa napangua visa vyao kwa kutumia akili ya ziada sana maana na wao walikuwa wananitega kijanja mno(ingawa kuna ambao walikuwa wanatumwa kwa makusudi mahususi). Kiukweli kwa mwanaume asiye na uwezo wa kuudhibiti "uanaume wake" kuingia mkenge kwenye ile mitego ilikuwa ni kugusa tu.

Ndugu mwana JF,usidhani kwamba nilikuwa mjinga kuikwepa mitego ile katikati ya kizazi hiki cha zinaa.
La hasha! nilikuwa najua manufaa ya nikifanyacho ambayo hadi leo nayafurahia kwa furaha ambayo sina maneno ya kuielezea nikaeleweka kwa namna ninavyotamani nieleweke.

Baadhi ya manufaa hayo ni;
1. Mungu alizidi kuniamini na kuwekeza zaidi talanta zake ndani yangu ambazo si kwa ajili yangu tu bali kwa ajili ya watu wengine pia wake kwa waume.

(Hili alikuwa ananiambia na kunithibitishia kwa kinywa chake
mwenyewe). Alikuwa ananivika
furaha ya ajabu moyoni mwangu yenye kuashiria kwamba anapendezwa na maamuzi yangu hayo(Ni kawaida Mungu kunipongeza kwa style hii)

2. Kuepuka kutembea na mwanafunzi mmoja nyumbani kwao(baada ya yeye kuvizia tupo mimi na yeye tu akaniwekea bonge ya mtego wa kingono ngono), kumenitengenezea connection ya kupata zaidi ya shilingi milioni 9 (Baba yake ndiye kawa connector). Naamini ningejifanya chizi na kudiriki kuanza kutembea na binti yake kuna siku angeshtukia mchezo na kwa vyovyote tungekuwa maadui na ningeukosa msaada wake huu muhimu.

3. Wanajamii wanaonizunguka wananiheshimu kipekee sana hasa baada ya kujiridhisha kwamba mwanafunzi mikononi mwangu anakuwa salama kiroho, kiakili na kimwili pia. Hata wahuni hapa mtaani wananiheshimu sana na huwa wananitania wakisema "yaani ningekuwa ndio wewe vitoto vikijilengelesha ningekuwa navifyatua sana, unakwama wapi
ticha?". Mimi huwa nawajibu " Ni kwa sababu mmechagua kuishi
maisha ya kujikinai".

4. Imeniongezea kujiamini zaidi.

NB: Namshukuru sana Mungu kwa
kutupa sisi wanadamu uhuru wa
kuchagua either "raha ya
muda mfupi" au "raha ya milele"
ili mwisho wa yote kila mtu
awajibike kwa maamuzi yake.

Mbarikiwe sana!

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Soo motivational

Waalimu wasome hapa
 
Kwanza kabisa nakupongeza kwa kushinda vishawishi.
Swali langu, wakati unashinda vishawishi hivyo geto ulikua na kipoozeo.?
Hapana sikuwa nacho,licha ya ukweli kwamba mtaani nako nilikuwa nakutana na vishawishi vya kimkakati kutoka kwa wadada na wamama. Siri kuu ni kuwa na uwezo wa kuudhibiti mwili na tamaa zake kwa kuenenda kiroho. Spiritual world is so powerful enough to master the physical world.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli vishawishi vipo sana tu,lakini, ukiamua kuvishinda ni a MUST THING. Kushindwa au kushinda ni jambo la hiyari. Wewe binafsi unaamua ushinde au ushindwe. Lipo ndani ya uwezo.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Tunatofautina Yusuph aliweza kuukwepa mtego wa mke wa mfalme wa Misri, ila Daudi alishindwa kuzibiti tamaa zake za mwili akaishia kupita na mke wa mmoja wa makamanda wake.

So tunatofautiana sometimes hata washika dini huteleza cha msingi ni kuendelea kumuomba Mungu.
 
Tunatofautina Yusuph aliweza kuukwepa mtego wa mke wa mfalme wa Misri, ila Daudi alishindwa kuzibiti tamaa zake za mwili akaishia kupita na mke wa mmoja wa makamanda wake.

Hivi tunatofautiana sometimes hata washika dini huteleza cha msingi ni kuendelea kumuomba Mungu.
Wote hao waliamua. Yusufu aliamua kushinda kwa kukimbia. Daudi aliamua kushindwa kwa kuzisikiliza na kuzitii tamaa za mwili wake zilizoibuka dhidi ya yule mke wa mtu. Ni suala la hiyari sio la bahati mbaya. Ukiamua hakuna wa kukuzuia.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Wote hao waliamua. Yusufu aliamua kushinda kwa kukimbia. Daudi aliamua kushindwa kwa kuzisikiliza na kutii tamaa za mwili wake zilizoibuka dhidi ya yule mke wa mtu. Ni suala la hiyari sio la bahati mbaya. Ukiamua hakuna wa kukuzuia.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo wewe kushinda hiko kishawishi ndio unajiona upo perfect. Binadamu hatujakamilika unaweza ukawa upo strong eneo moja la kiroho ila ukawa dhaifu eneo lingine na kiroho. So husijiproud sana hata huyo Daudi hakupenda alicho kifanya bali tu aliteleza kama binadamu.
 
Kwa hiyo wewe kushinda hiko kishawishi ndio unajiona upo perfect. Binadamu hatujakamilika unaweza ukawa upo strong eneo moja la kiroho ila ukawa dhaifu eneo lingine na kiroho. So husijiproud sana hata huyo Daudi hakupenda alicho kifanya bali tu aliteleza kama binadamu.
Sipo hapa kujisifu,nipo hapa kushuhudia uhalisia ulivyo bila ushabiki. Ndio maana mwisho wa yote kila mtu huwajibika kwa maamuzi yake.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom