The 1st 2013 Kenyan Presidential Debate

The 1st 2013 Kenyan Presidential Debate

Nyani Ngabu ninatabiri mgombea wako Uhuru atashindwa uchaguzi huu na hata mdahalo huu nadhani ameshindwa.
Kumbukumbu yangu imenirudisha kwa wagombea wako kama John mcCain, Prof. Lipumba na Romney!
 
Last edited by a moderator:
Huyo Julie Gichuru, hosts citizen weekend edition.
Hata citizen at 9.
Ni moja ya watangazaji mahiri sana na mara zote nilizoona akifanya mahojiano huwa navutiwa sana na uwezo wake!
 
I totally agree with you boys, she is hott and brainy which is rare.
Can we leave kenneth to be kenneth? Let him speak out his beautifully and handsomely made mind. Did you know.our very own kenneth is.only 47, lol
There you are Nyani Ngabu, i hope King'asti will also agree with us!...

Back to the topic...


This Guy Kenneth must lower his emotion! Please King'asti advise accordingly...
 
Last edited by a moderator:
Nyani Ngabu ninatabiri mgombea wako Uhuru atashindwa uchaguzi huu na hata mdahalo huu nadhani ameshindwa.
Kumbukumbu yangu imenirudisha kwa wagombea wako kama John mcCain, Prof. Lipumba na Romney!

Hahahaaa haya bana. Wewe nikumbushie machungu tu lakini jua kwamba Hillary atagombea tena 2016 na safari hii atashinda. Au umesahau kama mimi ni Team Clinton?

Halafu sidhani kama Uhuru anafanya vibaya kwenye huu mdahalo. The guy is very well-spoken and he knows his stuff.
 
Love the candidates profiles. Hii ukipeleka tbc1 wanaku-tidomhando fasta!
 
Mkuu pole. Subiri gesi ya Mtwara ikifika miaka mitano ijayo mambo yatakuwa sawa.

Martha amempiga msumari Kenyatta kuhusu kesi yake ya Hague na pia amemsahihisha Odinga ambaye ameongopa kwamba kura ilipigwa bungeni kuamua kama mahakama ya kuwashitaki watuhumiwe iwe Kenya ama ICC. Martha amesema kura haikupigwa. Raila kanywea.

Kenyatta linajibu maswali kwa ufasaha na kujiamini. Nadhani amepata ile kitu ya Tarime.

Ile kitu ya tarime inafanya Kazi... Ndio maana akaenda break kuongeza....
 
Hahaha na kweli Tarime ni jirani tu na nairobea. Akikosa cha Tarime anakamatia kitu cha Somalia.
So far unaona nani amejipambanua vizuri kati ya farasi wawili?

Mkuu mimi naona huyu Political Scientist cum economist, Mr. Kenyatta anamfunika Odinga kwenye huu mdahalo so far.
 
373813367.jpg
 
Hahahaaa haya bana. Wewe nikumbushie machungu tu lakini jua kwamba Hillary atagombea tena 2016 na safari hii atashinda. Au umesahau kama mimi ni Team Clinton?

Halafu sidhani kama Uhuru anafanya vibaya kwenye huu mdahalo. The guy is very well-spoken and he knows his stuff.


Mkuu ni kweli Kenyatta amewakamata. Swali la the Heague ilikuwa limmalize lakini kapambana nalo kwa ustadi mkubwa. Raila amebaki kuhema tu.
 
Back
Top Bottom